iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani
IQNA - Makumi ya watoto huko Rafah, kusini mwa Gaza, ambao wamehitimu katika mafunzo ya
Habari ID: 3478360    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/16

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA –Raundi ya mwisho ya toleo la 8 la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wanafunzi wa shule za Kiislamu duniani itaanza mjini Tehran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478351    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani yanaendelea nchini Mauritania ambayo yanalenga kuchagua wawakilishi wa nchi hiyo ya Kiafrika kwa ajili ya mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3478348    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kimataifa ya mabingwa katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu na utamaduni wa Kiislamu yamepangwa kufanyika nchini Misri msimu huu wa kiangazi.
Habari ID: 3478346    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
IQNA - Waislamu wa Uholanzi wamesambaza nakala za Qur’ani Tukufu zenye tafsiri ya Kiholanzi ili kujibu la jaribio la mrengo mkali wa kulia la kuchoma kitabu kitakatifu cha Waislamu mwezi uliopita.
Habari ID: 3478342    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/12

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mpango wa Qur'ani kwa watoto nchini Misri umepokelewa vyema sana katika majimbo tofauti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3478341    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/12

Harakati za Qur'ani
IQNA - Misikiti mikubwa nchini Misri itakuwa imeandaa programu za Khatm al Qur’an (kusoma Quran nzima) katika siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Shaaban.
Habari ID: 3478336    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11

Waliobobea
IQNA – Muhammad Abdul Hadi Muhammad al-Hilbawi alizaliwa katika wilaya ya Bab al-Sharia mjini Cairo mnamo Februari 9, 1946, alianza kuhifadhi Qur’ani Tukufu akiwa mtoto chini ya uongozi wa babu yake.
Habari ID: 3478328    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/10

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA-Mahakama ya Uhajiri ya Uswidi (Sweden) imetangaza kwamba, mtafuta hifadhi wa Iraq, ambaye amefanya vitendo kadhaa vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu, atafukuzwa nchini humo.
Habari ID: 3478324    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mashabiki wa soka wanamtaja Mousa Mohammad Mousa Sulaiman Al-Tamari kama "Messi wa Jordan".
Habari ID: 3478318    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Qur'ani Tukufu
IQNA - Maonyesho yanayoangazia kazi za sanaa za Qur'ani Tukufu na bidhaa husika kutoka Iran yamezinduliwa katika mji mkuu wa Thailand wa Bangkok.
Habari ID: 3478317    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Teknolojia
IQNA - Kongamano la teknolojia ya Qur'ani Tukufu limepangwa kufunguliwa katika mji mkuu wa Saudia wa Riyadh wikendi hii. Itahudhuriwa na kundi la wataalam, wasomi na weledi wa teknolojia.
Habari ID: 3478316    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanayoendelea Port Said, Misri, limewataja washindi wa duru ya kwanza.
Habari ID: 3478314    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/06

Pepo Katika Qur'ani / 4
IQNA – Imebainishwa katika aya za Qur’ani Tukufu kwamba dunia hii ni mahali ambapo mwonekano wa mambo unadhihiri na akhera ni mahali pa kuteremshwa Malakut yao.
Habari ID: 3478309    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 40 wanashiriki katika mashindano ya 19 ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Algeria.
Habari ID: 3478307    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Utamaduni
IQNA - Waandaaji wa toleo la 55 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo wanasema Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu ni vitabu vinavyouzwa kwa wingi zaidi katika hafla hiyo ya kitamaduni.
Habari ID: 3478306    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Pepo Katika Qur'ani /3
IQNA – Qur’ani Tukufu, katika Surah Muhammad (SAW), inataja mito minne peponi ambayo ndani yake kuna maji safi, maziwa, Sharaban Tahur (mvinyo usiolewesha), na asali safi inayotiririka.
Habari ID: 3478298    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Watetezi wa Qur'ani
IQNA - Washiriki wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani huko Port Said, Misri, walifanya maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa wa Gaza.
Habari ID: 3478294    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Harakati za Qur'ani
IQNA - Vituo kadhaa vya Qur'ani vimejengwa kwenye njia ya mamilioni ya wafanyaziara wanaotaka kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Musa Kadhim (AS) nchini Iraq.
Habari ID: 3478290    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Pepo Katika Qur'ani /2
IQNA – Wakati uzuri wa pepo hauelezeki au kudirikiwa kikamilifu na mwanadamu, Qur'ani Tukufu inailinganisha na mandhari ya ajabu katika dunia hii ambayo daima ni ya kijani kibichi na yenye shime na mito ya maji safi ambayo inapita chini ya bustani zake.
Habari ID: 3478285    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01