iqna

IQNA

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 27 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478643    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa  mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara 2024 walitunukiwa katika hafla iliyofanyika Doha, Qatar, Ijumaa.
Habari ID: 3478642    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Harakati za Qur'ani
IQNA - Taasisi moja ya Kiislamu nchini  Iran imetangaza kuwa imekamilisha tafsiri ya Kiswidi ya Qur'ani Tukufu katika hatua ya "kupambana na ujahilia" au ujingakufuatia matukio kadhaa ya kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini humo mwaka jana.
Habari ID: 3478639    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478637    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478631    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/05

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478628    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/04

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Maonyesho 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yalifikia tamati Jumanne usiku.
Habari ID: 3478626    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/03

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 23 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478625    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/03

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kitabu cha mwongozo cha kusoma nakala za nukta nundu (braille) za Qur'ani Tukufu kimezinduliwa nchini Indonesia.
Habari ID: 3478618    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/02

Ramadhani katika Quran
IQNA - Usiku wa Qadr, au Laylatul Qadr unaojulikana pia kama Usiku wa Hatima, una sifa nzuri kama zilivyoangaziwa katika Qur'ani Tukufu. Fadhila hizi hutumika kuwahimiza waumini wanufaike na usiku huu ambao unapatikana katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478617    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/02

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 22 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478615    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/02

Nasaha
IQNA - Rais wa Iran Ebrahim Raisi amesema Qur'ani Tukufu inaweza kujibu maswali yote ambayo wanadamu wanayo, akibainisha kuwa majibu haya yanaweza kupatikana kwa njia ya ijtihad.
Habari ID: 3478614    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

Harakati za Qur'ani
IQNA - Tafsiri au tarjuma ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Dusun imezinduliwa katika hafla ya Jumapili huko Kota Kinabalu, Malaysia
Habari ID: 3478613    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 21 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478609    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Karim Mansouri alisoma aya za Qur'ani Tukufu katika Kipindi cha Televisheni cha Mahfel kinachorushwa kila siku kupitia Kanali ya Tatu ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB).
Habari ID: 3478607    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/31

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 20 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478606    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/31

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 19 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478602    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/30

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 18 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478597    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 17 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478594    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/28

Harakati ya Qur'ani
IQNA - Katika kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Hassan Mujtaba (AS), mkusanyiko mkubwa zaidi wa wanaharakati Qur'ani Tukufu nchini Iran umefanyika katika Uwanja wa Azadi mjini Tehran wenye uwezo wa kubeba watu laki moja.
Habari ID: 3478589    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/27