iqna

IQNA

Jitihada
IQNA - Licha ya mashambulizi ya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ambayo yamepelekea watu ya 23,000 kupoteza maisha na malaki kuyahama makazi yao, mafunzo ya Qur'ani Tukufu yanaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.
Habari ID: 3478163    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wasomaji au maqari 1,300 wamejiandikisha kushiriki Mashindano ya 7 ya Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara
Habari ID: 3478145    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/04

Qur'ani Tukufu
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kilichapisha ripoti inayofafanua shughuli zake za Qur'ani mnamo 2023.
Habari ID: 3478139    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03

Ahul Bayt (AS)
IQNA - Idadi kadhaa ya maqari au wasomaji Qur'ani Tukufu kutoka Iraq na nchi nyingine watashiriki katika programu ya usomaji wa Qur'ani Tukufu katika Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq.
Habari ID: 3478134    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02

Taazia
IQNA - Mwanaume anayejulikana kama Hafidh mzee zaidi wa Qur'ani Tukufu katika Jimbo la Kafr El-Shaikh nchini Misri ameaga dunia katika mji aliozaliwa akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3478132    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/02

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kikao cha Khitmah ya Qur'ani Tukufu (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) kimefanyika katika msikiti mkubwa huko Brunei kuashiria mwisho wa mwaka wa 2023.
Habari ID: 3478126    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01

Mashindano ya Qur'ani ya Meshkat
IQNA – Usajili umeanza kwa ajili ya Toleo la Tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat, ambayo hufanyika mtandaoni chini ya usimamizi wa Taasisi ya Qur'ani ya Meshkat.
Habari ID: 3478122    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu huko Port Said, Misri, yataanza Februari 1, 2024.
Habari ID: 3478121    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/31

Qur’ani Tukufu Inakabiliana na Ubaguzi wa Rangi/3
IQNA – Watu hupotosha na kughushi ukweli kwa sababu tofauti, mojawapo ikiwa ni ubaguzi wa rangi na ukabila.
Habari ID: 3478115    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
IQNA - Wataalamu kumi na sita mashuhuri wa Qur'ani Tukufu watahudumu katika jopo la majaji wa Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran katika hatua ya awali.
Habari ID: 3478100    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Programu ya kila wiki ya Khatm Qur'an (kusoma Qur'ani Tukufu kuanzia mwanzo hadi mwisho) ilifanyika nchini Misri kwa kushirikisha maqari kutoka nchi mbalimbali.
Habari ID: 3478098    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Hatua ya awali ya Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3478095    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mamlaka ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya Masuala ya Kiislamu na Wakfu (GAIAE) imechapisha takriban nakala 100,000 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478094    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Mazungumzo na Qur'ani Tukufu /59
IQNA - Mwenyezi Mungu ameahidi ujira unaozidishwa mara kumi kwa matendo mema au amali njema, na kuwatia moyo waumini kushiriki katika idadi inayoongezeka ya matendo ya kweli na ya yenye ikhlasi ya wema.
Habari ID: 3478093    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Tafsiri ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Ingawa kumekuwepo na juhudi nyingi za wanazuoni wa Kiislamu katika uwanja wa tafsiri ya Qur'ani Tukufu tangu kuja kwa Uislamu, kuna ukosefu wa kazi katika tafsiri ya kisaikolojia ya Kitabu Kitukufu.
Habari ID: 3478088    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Uislamu na Ukristo
IQNA - Uislamu na Ukristo ni dini zenye mitazamo sawa kuhusu mambo kadhaa. Linapokuja suala la mtazamo wa dini hizi mbili kuhusu Nabii Isa (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) imani zote mbili zinamtambua Iss kama mtu muhimu, lakini kuna hitilafu kuhusu maisha yake, utume na hatima yake.
Habari ID: 3478087    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Qur’ani Tukufu Inakabiliana na Ubaguzi wa Rangi/1
IQNA - Kutafakari kunaweza kuzingatiwa kama kigezo cha kutathmini maendeleo au kurudi nyuma kwa jamii.
Habari ID: 3478080    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Qur'ani Tukufu
IQNA - Haitham Salim Ayyash, mtaalamu wa Qur'ani wa Lebanon, alisisitiza haja ya walimu wa Qur'ani kuwa na ufahamu wa kina wa mafundisho ya Kitabu hicho Kitukufu.
Habari ID: 3478079    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Profesa wa jiografia wa Misri ana nakala ndogo sana ya Qur’ani Tukufu (Msahafu) ambayo ni ya miaka 280 iliyopita.
Habari ID: 3478074    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 42 Qur'ani Tukufu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) yamezinduliwa katika mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478071    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21