qurani tukufu - Ukurasa 30

IQNA

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 8
IQNA - Buhtan (kusingizia uongo na pia kusengenya), yaani kutoa taarifa ya uwongo inayoharibu sifa ya mtu, huwa na matokeo mabaya kwa mtu binafsi na jamii.
Habari ID: 3479582    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12

Fasihi ya Qur'ani
IQNA - Profesa wa chuo kikuu anasema mashairi ya malenga maarufu Muirani wa karne ya 14, Hafez (Hafidh) Shirazi yamejaa marejeleo ya aya n na mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479576    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11

Qur'ani na Maisha
IQNA - Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia Fadillah Yusof amesisitiza umuhimu wa Qur'ani Tukufu kama mfumo elekezi wa utawala, mwenendo wa kibinafsi, na maelewano ya kijamii.
Habari ID: 3479573    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11

Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule mpya za kuhifadhi Qur'ani zimefunguliwa nchini Ghana na Senegal na rais wa Chuo Kikuu cha Al Qasimia cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3479570    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 7
IQNA - Buhtan (kusema uongo, kusingizia na pia kusengenya), ni kitendo ambacho hutendwa kwa ulimi n.k ili kuharibu sifa ya mtu na huchukuliwa kuwa ni dhambi kubwa katika Uislamu.
Habari ID: 3479563    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08

Harakati za Qur'ani
IQNA – Kozi ya Tafsiri ya Qur’ani Tukufu imefanyika katika mji wa Basrah, Kusini mwa Iraq, kwa kushirikisha zaidi ya wanafunzi 1,000.
Habari ID: 3479553    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07

Ḥaqq al-Nas ((Haki za Watu) / 62
IQNA-Sababu ya kuharamishwa riba ni kuzuia kupotea mali za watu na pia kuzuia hamu ya watu kutoa sadaka na kutenda amali njema na zaidi ya yote kuzuia kuenea ufisadi na dhulma.
Habari ID: 3479546    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06

IQNA – Mtu mmoja nchini Urusi (Russia) ambaye alikuwa amepewa kifungo cha jela kwa kuvunjia hesima Qur'ani Tukufu sasa anakabiliwa na shtaka jipya.
Habari ID: 3479535    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/04

Muqawama
IQNA – Qari wa Lebanon ameema moja ya vipaumbele vya Sayyid Hassan Nasrallah, ambaye aliuawa shahidi tarehe 27 Septemba katika hujuma ya kigaidi ya Israel, ilikuwa ni kusoma Qur'an na kuishi kwa mujibu wa mafundisho ya kitabu hicho kitukufu.
Habari ID: 3479529    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/03

Qiraa ya Qur'ani
Qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qari mtoto Msomali Abdullah Hassan Hussein. Katika klipu hii anasema aya za 17 hadi 23 za Surah Insan
Habari ID: 3479513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30

Maadili ya Mtu Binafsi / Hatari za Ulimi 6
IQNA – Khusuma ni neno la Kiarabu lenye maana ya uhasama au uadui. Katika maadili ya Kiislamu, inarejelea kugombana na wengine kwa malengo mbali mbali.
Habari ID: 3479505    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/28

IQNA- Serikali ya Kazakhstan imekosolewa kwa kumtoza faini mwigizaji kwa kunukuu kutoka kwa Qur'ani Tukufu katika chapisho la Instagram.
Habari ID: 3479496    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Maelezo ya mashindano yajayo ya kitaifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia yalitolewa na Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Dawah na Miongozo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479486    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/25

Harakati za Qur'ani
IQNA – Bunge la Qur’ani la Ulimwengu wa Kiislamu, ambalo kuanzishwa kwake kulipendekezwa na mkuu wa Jumuiya ya Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) wiki iliyopita, linalenga kukuza ukaribu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479484    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Harakati za Qur'ani
IQNA - Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti huko Tehran kitaandaa Kongamano la pili la Kimataifa la Mafunzo ya Taaluma za Qur'ani mapema mwaka ujao.
Habari ID: 3479476    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

Waislamu Nigeria
IQNA - Shule ya Amirul Muminin (AS) huko Abuja, mji mkuu wa Nigeria, imezindua kozi za kuhifadhi Qur'ani kwa wavulana na wasichana.
Habari ID: 3479475    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

IQNA - Idara ya Kaburi la Hafidh, mshairi wa Kiirani wa karne ya 14, huko Shiraz liliandaa halqa za Qur'ani Tukufu mnamo Septemba 18, 2024, kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3479472    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

Onyo
IQNA – Taasisi za Al-Azhar na Dar al-Ifta nchini Misri zimetangaza kuwa kuunda na kutangaza klipu za visomo vya Qur'ani vinavyoambatana na muziki ni marufuku, kwani inachukuliwa kuwa ni kutoheshimu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479469    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu  (ICRO) amependekeza kuanzishwa kwa bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3479467    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22

Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu ya siku nne ya Al-Quran kwa waliosilimu ilihitimishwa kwa hafla ya kutunukiwa washiriki wa kozi hiyo katika Kituo cha Da'wah cha Kiislamu (PDI) siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3479466    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/22