iran - Ukurasa 2

IQNA

IQNA – Majina ya wale wanaostahiki kushiriki katika hatua ya fainali ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran yametangazwa.
Habari ID: 3481277    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
Habari ID: 3481275    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Waziri wa Mambo ya Kidini wa Pakistan ametoa mwaliko rasmi kwa wataalamu na wasomaji wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani yanayotarajiwa kufanyika nchini humo.
Habari ID: 3481274    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Mwanasiasa na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Iran ametoa wito kwa nchi zenye Waislamu wengi kuunda umoja wa kisiasa na kiuchumi ili kuimarisha msimamo wao wa pamoja dhidi ya miungano ya mataifa ya Magharibi kama vile NATO na Umoja wa Ulaya.
Habari ID: 3481270    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA – Kwa mwaname mmoja kutoka Iran ambaye ameweka juhudi kwa muda wa miongo miwili kuhifadhi Qur’ani Tukufu, kitabu hiki kitakatifu si tu maandiko ya kidini, bali ni mwongozo wa kibinafsi na chemchemi ya utulivu wa kina.
Habari ID: 3481269    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 39 ya Kitaifa ya Qur’ani na Etrat kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Iran imepangwa kufanyika katika mji wa kati wa Isfahan.
Habari ID: 3481268    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA –Qari na Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Qur’ani cha televisheni ya Iran, Mahfel, amesema kuwa kipindi hicho kimepata umaarufu mkubwa kimataifa, kikivutia watazamaji kutoka ulimwengu wa Kiislamu na hata katika maengine ya dunaini.
Habari ID: 3481263    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limewaonya maadui wa Iran hususan utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani kwamba, watakabiliwa na majibu makali na madhubuti ya Jamhuri ya Kiislamu iwapo watafanya makosa yoyote mapya au kufanya kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.
Habari ID: 3481262    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA – Mwanaharakati kutoka Malaysia amesema kuwa mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuangazia mambo yanayowafungamanisha na kushikamana kukabiliana na changamoto za pamoja.
Habari ID: 3481257    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/20

Katika Kikao Nchi za Kiislamu Doha
IQNA-Katika kilele cha dharura cha nchi za Kiarabu na Kiislamu kilichofanyika jijini Doha, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, alitoa onyo kali kuhusu mashambulizi ya Israeli ya Septemba 9 dhidi ya Qatar, akisema kuwa tukio hilo linaonyesha wazi kuwa hakuna nchi ya Kiarabu au Kiislamu iliyo salama dhidi ya uchokozi wa utawala wa Tel Aviv.
Habari ID: 3481239    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/15

Mtazamo
IQNA – Shambulizi la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kipindi cha miaka 45 iliyopita, hususan kuhusu msimamo wa kutokufanya maridhiano na utawala wa Tel Aviv. Hayo ni kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya Asia ya Magharibi.
Habari ID: 3481228    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14

IQNA – Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa wanawake uliofanyika Tehran wametoa wito wa kususiwa kwa kina kwa utawala wa Kizayuni, wakilaani vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea dhidi ya Gaza.
Habari ID: 3481210    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/09

IQNA – Wanasayansi watatu mashuhuri ambao ni Mohammad K. Nazeeruddin kutoka India, Mehmet Toner kutoka Uturuki, na Vahab Mirrokni kutoka Iran wametangazwa kuwa washindi wa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya mwaka 2025.
Habari ID: 3481206    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/09

Ayatullah Mohammad Hassan Akhtari
IQNA – Miongoni mwa malengo makuu ya shughuli na mikakati ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu ni kuvuta hisia za dunia kuhusu dhulma na masaibu yanayowakumba ndugu zetu Wapalestina, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3481182    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/04

IQNA – Baraza la Mipango na Uratibu kutoka ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu katika Masuala ya Hija na Ziara, pamoja na Shirika la Hija na Ziara la Iran, wameanza maandalizi ya safari ya Hija ya mwaka ujao.
Habari ID: 3481177    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/03

IQNA-Ujumbe wa viongozi wa kidini kutoka Iran, wakiongozwa na Ayatullah Alireza Arafi na Ayatullah Ahmad Mobaleghi, umefanya ziara ya siku tatu nchini Malaysia kwa lengo la kuimarisha mahusiano ya muda mrefu ya kielimu na kidini kati ya mataifa hayo mawili.
Habari ID: 3481159    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Zaidi ya Wa iran i milioni tano wanasubiri kwa hamu nafasi yao ya kwenda kufanya ibada ya Umrah, afisa mmoja amesema.
Habari ID: 3481156    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanajitahidi kuimarisha uhusiano kati ya washiriki duniani kote badala ya kuwa mashindano ya muda mfupi pekee, amebaini mtaalamu.
Habari ID: 3481148    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28

IQNA – Hatua ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Saba ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu imefanyika katika Shirika la Qur’ani la Wanazuoni wa Iran, Jumanne.
Habari ID: 3481141    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/26

IQNA – Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa hatua ya pamoja kusaidia Gaza na Palestina.
Habari ID: 3481136    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/26