Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itashiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani nchini Tunisia
Mashindano hayo yanatazamiwa kufanyika baadaye mwezi huu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3147174 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa hajachukua hatua yoyote kuhusiana na maelewano ya mazungumzo ya nyuklia kati ya taifa hili na kundi la 5+1 kwa kuwa hadi sasa haijafika wakati wa kutoa maamuzi hasa kwa kutilia maanani kwamba bado viongozi wa serikali wamesema kuwa, bado makubaliano hasa hayajafikiwa.
Habari ID: 3116071 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhmaa Ali Khamenei amesema katika mazungumzo yake na Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki aliyeko safarini hapa nchini kwamba mwamko wa Kiislamu ndiyo sababu kuu ya wasiwasi wa maadui wa Uislamu.
Habari ID: 3108936 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuondolewa vikwazo ni sehemu ya mazungumzo ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1.
Habari ID: 3021914 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/22
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amejiunga na taifa la Iran katika kuadhimisha siku kuu ya Nowruz ya kuwadia mwaka mpya wa Hijria Shamsia.
Habari ID: 3015830 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20
Tehran (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtunuku zawadi msichana Mu iran i mwenye umri wa miaka 8 aliyehifadhi kikamilifu Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 2985092 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani kila mara unapokaribia muda ulioainishwa kwa ajili ya kumalizika mazungumzo, huwa kikwazo cha kukwamisha suala hilo na kwamba wanafanya hivyo ili kufikia malengo yao kupitia hila hizo.
Habari ID: 2971496 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/13
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mkakati wa kuhakikisha inageuka na kuwa kitovu cha utalii halali kwa lengo la kuwavutia Waislamu milioni 15 kutoka maeneo mbali mbali duniani.
Habari ID: 2910925 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: “Taifa la Iran daima limeonesha kuwa lina irada imara na lina uwezo na kuvunja njama za adui.”
Habari ID: 2869495 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mafundisho ya dini tukufu ya Kiislamu yanatuamrisha kuamiliana vyema, kwa insafu na uadilifu na wafuasi wa dini nyinginezo za mbinguni.
Habari ID: 2862975 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/17
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema malengo na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu haiwezi kubadilika.
Habari ID: 2840031 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11
Mamillioni ya wananchi wa Iran leo wamejitokeza na kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kuadhimisha mwaka wa 36 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 2840030 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya mgaidi wa kundi la Daesh (ISIL) kumuwa kinyama rubani wa Jordan aliyekuwa ametekwa nyara na kundi hilo.
Habari ID: 2811515 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, amesema mafanikio makubwa yaliyopatikana katika teknolojia ya Nano na Bioteknolojia ni mfano na kipimo cha maendeleo katika sekta mbalimbali nchini
Habari ID: 2792669 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kadhia ya Palestina ndiyo yenye umuhimu mkubwa zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kusimama kidete hadi pale malengo ya Palestina yatakapotimia na hapana shaka kuwa vijana watashuhudia siku hiyo.
Habari ID: 2770295 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/27
Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu duniani wanaendelea kulaani kitendo cha hivi karibuni cha jarida moja la Ufaransa la Charlie Hebdo kuchora vibonzo vinavyomvunjia heshima Mtumu Mtukufu wa Uislamu, Mohammad SAW.
Habari ID: 2766561 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/26
Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kamanda wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yataendelea hadi Quds Tukufu ikombolewe.
Habari ID: 2743221 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/22
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amewataka Waislamu kuwa macho katika kukabiliana na njama za maadui wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 2689576 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/09
Tehran-IQNA- Waislamu nchini Uganda Jumamosi iliyopita waliadhimisha Maulid (kumbukumbu ya kuzaliwa ) Bwana Mtume Muhammad SAW huku wakitoa wito wa amani na umoja katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki inayokumbwa na migawanyiko miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 2677812 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/06
TEHRAN (IQNA)-Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani bunge la Iran Ali Larijani amesisitiza kuhusu umoja wa Waislamu na kuongeza kuwa tafauti miongoni mwa madhehebu ya Kiislamu si kubwa na kwamba maadui wanatumia tafauti ndogo zilizopo kuibua migogoro miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 2672174 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/05