iqna

IQNA

Jinai za Israel
IQNA - Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway amelaani "vita vya kikatili" vya utawala wa Israel huko Gaza na ukiukaji wake wa kanuni za vita.
Habari ID: 3479584    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13

Watetezi wa Palestina
IQNA - Wataalamu na wasomii walioshiriki katika mkutano wa kimataifa wa haki za binadamu mjini Tehran wameikosoa nchi za Magharibi kwa undumilakuwili na unafiki kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3479571    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10

Jinai za Israel
IQNA - Idadi ya Wapalestina waliouawa kwa mabomu na risasi za Israel katika Ukanda wa Gaza tokea Oktoba mwaka jana sasa imepindukia 42,000, wengi wakiwa ni wanawake na watoto.
Habari ID: 3479569    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10

Jini za Israel
IQNA-Serikali ya Iraq imelaani vikali njama ya utawala haramu wa Israel ya kutaka kumuua kiongozi mkuu wa Kiislamu nchini humo Ayatullah Sayyid Ali Sistani.
Habari ID: 3479567    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maonyesho ya vibonzo vinavyoonyesha vipengele tofauti vya jinai za utawala wa Israel yalizinduliwa katika mji mkuu wa Uturuki wa Ankara.
Habari ID: 3479566    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09

Watetezi wa Palestina
IQNA - Katika kuadhimisha kumbukumbu ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa dhidi ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mwaka jana,  waandamanaji wanaounga mkono Palestina wamejitokeza kwa wingi katika mitaa ya Manhattan, New York, Jumatatu usiku.
Habari ID: 3479564    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09

Muqawama
IQNA - Balozi wa Yemen nchini Iran amesema taifa la Yemen litaendelea kuwa na msimamo thabiti katika kuunga mkono harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu huko Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479560    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08

Muqawama
IQNA - Mchambuzi mashuhuri wa Lebanon anasema jinsi Iran inavyojibu kwa shambulio linalowezekana la Israel itaunda mustakabali wa eneo hilo.
Habari ID: 3479559    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08

Muqawama
IQNA - Utawala wa Israel haujapata mafanikio yoyote yanayoonekana huko Gaza tangu Oktoba 7 mwaka jana zaidi ya kuwaua Wapalestina wapatao 42,000, wengi wao wakiwa wanawake na watoto.
Habari ID: 3479555    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07

Msaada
IQNA - Idadi kubwa ya wataalam wa matibabu wa Iran wametoa wametan gaza utayari wao wa kwenda Lebanon kuwahudumia watu wa nchi hiyo ya Kiarabu huku utawala wa Kizayuni, ukiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479552    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07

Watetezi
IQNA-Rais wa zamani wa Ireland amekosoa jibu la jamii ya kimataifa kwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479539    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/05

Watetezi wa Haki
IQNA -Maandamano yamefanyika nchini Kanada kulaani vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479481    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Jinai za Israel
IQNA-Rais Gustavo Petro wa Colombia amelaani kimya kinachoonyeshwa kwa vita vya kinyama vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza, na kusisitiza kwamba mauaji ya kimbari yanafanyika huko Palestina.
Habari ID: 3479474    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23

Muqawama
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen kwa mara nyingine tena amesisitiza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa Wapalestina katika kukabiliana na vita vya mauaji ya kimbari ya Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479441    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/16

Waungaji mkono Palestina
IQNA - Harakati mashuhuri ya Yemen ya Ansarullah imesambaza video na picha za sherehe za Maulid ya Mtume Mtukufu (SAW) zilizofanyika kwenye sitaha ya meli ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3479439    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/15

Harakati za Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wahifadhi wa Qur'ani wapatao 150 wanaume na wanawake kaskazini mwa Gaza walikusanyika kwa ajili ya kikao cha Qur'ani, ambao walisoma Qur'ani nzima nzima kwa kikao kimoja, pamoja na kuwepo vita vya mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3479432    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Jinai za Israel
IQNA - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa alielezea kile kinachotokea katika Ukanda wa Gaza kuwa "hakikubaliki kabisa" baada ya wafanyakazi sita wa Umoja wa Mataifa kuuawa katika shambulio la anga la utawala haramu  wa Israel kwenye shule katika eneo la Palestina.
Habari ID: 3479423    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano yalifanyika katika maeneo tofauti ya Yemen siku ya Ijumaa kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza na pia vitendo vya Waisraeli vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479395    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mamlaka za Ufaransa zilimkamata na kisha kumwachilia muuguzi Imane Maarifi, ambaye alitumia siku 15 kujitolea kama tabibu katika Ukanda wa Gaza wakati huu wa vita vya mauaji ya kimbari vya ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479394    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07

Jina za Israel
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kisilamu ya Palestina, kwa kifupi Hamas, imesema leo Jumanne kwamba, Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni anawadanganya wafuasi wake na serikali ya Marekani anapodai kupata ushindi katika vita vya Ghaza kwani hajafanikisha lengo hata moja zaidi ya kuua kwa umati na kikatili watu wasio na hatia.
Habari ID: 3479373    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03