iqna

IQNA

Harakati za Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wahifadhi wa Qur'ani wapatao 150 wanaume na wanawake kaskazini mwa Gaza walikusanyika kwa ajili ya kikao cha Qur'ani, ambao walisoma Qur'ani nzima nzima kwa kikao kimoja, pamoja na kuwepo vita vya mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3479432    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Jinai za Israel
IQNA - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa alielezea kile kinachotokea katika Ukanda wa Gaza kuwa "hakikubaliki kabisa" baada ya wafanyakazi sita wa Umoja wa Mataifa kuuawa katika shambulio la anga la utawala haramu  wa Israel kwenye shule katika eneo la Palestina.
Habari ID: 3479423    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/12

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano yalifanyika katika maeneo tofauti ya Yemen siku ya Ijumaa kulaani ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza na pia vitendo vya Waisraeli vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479395    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mamlaka za Ufaransa zilimkamata na kisha kumwachilia muuguzi Imane Maarifi, ambaye alitumia siku 15 kujitolea kama tabibu katika Ukanda wa Gaza wakati huu wa vita vya mauaji ya kimbari vya ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479394    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/07

Jina za Israel
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kisilamu ya Palestina, kwa kifupi Hamas, imesema leo Jumanne kwamba, Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni anawadanganya wafuasi wake na serikali ya Marekani anapodai kupata ushindi katika vita vya Ghaza kwani hajafanikisha lengo hata moja zaidi ya kuua kwa umati na kikatili watu wasio na hatia.
Habari ID: 3479373    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03

Watetezi wa Palestina
IQNA - Maandamano ya kukaa ndani yameandaliwa na wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo cha Juu cha Qur'ani Tukufu katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a kulaani kitendo cha jeshi la utawala haramu wa Israel kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu hivi karibuni na ukatili wao dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479366    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Qur'ani Tukufu
IQNA – Mohamed Farid Alsendiony alikuwa qari mashuhuri wa Misri na ulimwengu wa Kiislamu, na mmoja wa kizazi cha kwanza cha maqari wenye kufuata mtindo wa Misri.
Habari ID: 3479337    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Jinai za Israel
IQNA - Kuvunjiwa heshima kwa Qur'ani Tukufu na wanajeshi wa Israel huko Gaza kumelaaniwa vikali na wanazuoni wa Yemen, ambao wametaka kuchukuliwa hatua dhidi ya ukatili wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Palestina.
Habari ID: 3479329    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/26

Arbaeen 1446
IQNA- Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesisitiza kuwa misimamo yote ya uungaji mkono wa Palestina inatokana na harakati ya Imam Hussein (AS) na akasema: Kukusanyika kwetu leo ​​katika barabara ya kuelekea Karbala ni dhihirisho la ushindi harakati ya Imam Hussein (AS) na dalili zinaashiria kuangamizwa Israel na ushindi wa uhakika wa Gaza.
Habari ID: 3479327    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/25

Siku ya Msikiti
IQNA - Siku ya Misikiti Duniani mwaka huu itaangazia jinai za Israel na masaibu ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, afisa mmoja anasema.
Habari ID: 3479297    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18

Muqawama
IQNA - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Ghaza na ukimya na kutochukua hatua kwa baadhi ya nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3479284    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/16

Jinai za Israel
IQNA - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema wote waliouawa katika shambulio la bomu la Israel katika shule moja katika mji wa Gaza walikuwa raia.
Habari ID: 3479263    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Jinai Israel
IQNA - Jeshi la Israel lilifanya mashambulizi ya anga dhidi ya shule moja katikati mwa Mji wa Gaza wakati Wapalestina waliokimbia makazi yao walipokuwa wakiswali alfajiri, na kuua takriban watu 100.
Habari ID: 3479256    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/10

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479202    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30

IQNA-Kongresi ya Marekani imekosolewa sana kwa kumpa Waziri Mkuu wa Israel, katili Benjamin Netanyahu, jukwaa la kuhutubia wawakilishi na maseneta wa nchi hiyo licha ya kiongozi huyo kutambuliwa kuwa ni mhalifu wa kivita na mtenda jinai dhidi ya binanadamu kutokana na mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.
Habari ID: 3479180    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/25

Kadhia ya Palestina
Wanaharakati wa kitamaduni na wasanii wa nchi za Magharibi wamekabiliwa na matatizo baada ya kueleza mshikamano wao na Gaza na kuchukua misimamo dhidi ya vita vya mauaji ya kimbari ya Israel.
Habari ID: 3479065    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04

Jinai za Israel
IQNA - Maafisa wa Palestina na makundi ya muqawama wamekaribisha uamuzi wa Umoja wa Mataifa wa kuuongeza utawala wa Israel kwenye 'Orodha ya Aibu' kwa kuua watoto katika vita vya Gaza.
Habari ID: 3478950    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08

Jinai za Israel
IQNA - Mufti katika jumuiya ya Kiislamu ya Serbia anasema kukabiliana na jinai zinazoendelea za Israel huko Gaza ni jukumu la wanadamu wote.
Habari ID: 3478934    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05

Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuhusu mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza kwamba, jinai hiyo ya kutisha uliyofanya utawala huo ghasibu inapasa iwaamshe na kuwatoa kwenye usingizi wa mghafala watu waliojisahau duniani na walioshindwa kuwa na msimamo.
Habari ID: 3478901    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/29

Jinai za Israel
IQNA-Rais wa Venezuela amezilaani Marekani na Umoja wa Ulaya kwa kutofanya lolote kukomesha mauaji "ya kutisha" na ya Kinazi ya Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3478899    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/29