iqna

IQNA

Kadhia ya Palestina
Wanaharakati wa kitamaduni na wasanii wa nchi za Magharibi wamekabiliwa na matatizo baada ya kueleza mshikamano wao na Gaza na kuchukua misimamo dhidi ya vita vya mauaji ya kimbari ya Israel.
Habari ID: 3479065    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04

Jinai za Israel
IQNA - Maafisa wa Palestina na makundi ya muqawama wamekaribisha uamuzi wa Umoja wa Mataifa wa kuuongeza utawala wa Israel kwenye 'Orodha ya Aibu' kwa kuua watoto katika vita vya Gaza.
Habari ID: 3478950    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08

Jinai za Israel
IQNA - Mufti katika jumuiya ya Kiislamu ya Serbia anasema kukabiliana na jinai zinazoendelea za Israel huko Gaza ni jukumu la wanadamu wote.
Habari ID: 3478934    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05

Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuhusu mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza kwamba, jinai hiyo ya kutisha uliyofanya utawala huo ghasibu inapasa iwaamshe na kuwatoa kwenye usingizi wa mghafala watu waliojisahau duniani na walioshindwa kuwa na msimamo.
Habari ID: 3478901    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/29

Jinai za Israel
IQNA-Rais wa Venezuela amezilaani Marekani na Umoja wa Ulaya kwa kutofanya lolote kukomesha mauaji "ya kutisha" na ya Kinazi ya Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3478899    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/29

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mjukuu wa mwanasiasa shujaa aliyepinga ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini Nelson Mandela amesisitiza kwamba mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina yanayotekelezwa na Israel hayakuanza Oktoba 7, 2023 baada ya Operesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa.
Habari ID: 3478898    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/28

Jinai za Israel
IQNA - Jumla ya misikiti 604 imeharibiwa kabisa katika Ukanda wa Gaza hadi sasa kutokana na mashambulizi ya utawala wa Israel katika maeneo ya makazi na yasiyo ya kijeshi.
Habari ID: 3478843    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/18

Jinai za Israel
IQNA-Afrika Kusini imeitaka Mahakama Kuu ya Umoja wa Mataifa iamuru kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Rafah kama sehemu ya kesi yake iliyofungua mjini The Hague inayoushutumu utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mauaji ya kimbari, ikisema utawala huo "lazima uzuiwe" ili kunusuru maisha ya Wapalestina.
Habari ID: 3478840    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/17

Jinai za Israel
IQNA-Zaidi ya watoto 15,000 wanaripotiwa kuuawa shahidi na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.
Habari ID: 3478832    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/16

Ukombozi wa Palestina
IQNA-Ismail Haniyah, Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema bila shaka utawala wa Kizayuni wa Israel hatimaye utaondolewa katika maeneo yote ya Wapalestina.
Habari ID: 3478831    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/16

Palestina
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema adui leo anataka kuongoza maoni ya umma ya mataifa juu ya suala la Gaza, kwa himaya ya vyombo vya habari, habari za uongo, simulizi zisizo za kweli, na upotoshaji wa ukweli, akisisitiza umuhimu wa nafasi na wajibu wa waandishi na wana utamaduni katika kukabiliana na njama hii.
Habari ID: 3478830    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/16

Watetezi wa Palestina
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimekaribisha uungwaji mkono wa nchi hiyo kwa hatua za kisheria zilizochukuliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala haramu Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).
Habari ID: 3478819    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/14

Jinai za Israel
IQNA - Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amesema zile siku za utawala wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina bila kuadhibiwa zimefika ukingoni.
Habari ID: 3478802    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/10

Jinai za Isarel
Mkuu wa timu ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) ametahadharisha kuwa mazingira ya kuidhaminia Gaza maji safi, chakula na dawa za matibabu yamefika marhala hatari na kwamba hatua ya kukifunga kivuko cha Rafah kunaifanya hali ya wakazi wa ukanda huo kuwa mbaya zaidi.
Habari ID: 3478796    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/09

Harakati
IQNA - Vuguvugu la wanafunzi lililoanza katika vyuo vikuu vya Marekani na kuenea katika mataifa mengine linaahidi mfumo wa dunia wenye haki na haki, mwanadiplomasia wa Tunisia alisema.
Habari ID: 3478790    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/08

Hija 2024
IQNA Afisa wa ngazi za juu wa Msafara wa Hija wa Iran amewataka Wairani wanaolekea katika ibada ya Hija mwaka huu kuzingatia zaidi Qur'ani Tukufu, masaibu yanayowakumba Waislamu wa Gaza na suala la umoja wa Waislamu wakiwa katika ibada ya Hija
Habari ID: 3478775    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05

Jinai za Israel
IQNA-Afisa wa Umoja wa Mataifa anasema uharibifu uliosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza haujawahi kuonekana tangu Vita vya Pili vya Dunia, huku akikadiria kuwa ujenzi mpya wa eneo hilo la Palestina unaweza kuchukua miaka 80 na kugharimu hadi dola bilioni 40.
Habari ID: 3478771    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/04

Watetezi wa Palestina
IQNA - Vuguvugu la wanafunzi wanaounga mkono Palestina, wanaokabiliwa na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel, limeenea kote nchini Marekani licha ya ukandamizaji wa polisi, huku wanafunzi wa vyuo vikuu vingi kama vile Yale, New York, Harvard, Texas huko Austin, na Kusini mwa California wakijiunga nayo.
Habari ID: 3478759    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/03

Jinai za Israel
IQNA: Wakati kukiwa na ongezeko la wito wa kimataifa kwa Israel kujizuia na mashambulizi zaidi Gaza na ripoti za Mei Mosi za mashambulizi mengine mabaya, wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wamesisitiza kuhusu athari mbaya zinazoendelea za vita hiyo na haja ya kuhakikisha njia za kuaminika za usambazaji wa misaada kwa watu wanaohitaji kwa udi na uvumba zinapatikana.
Habari ID: 3478756    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/02

Jina za Israel
IQNA - Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameitaja ripoti kuhusu kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki huko Gaza kuwa ni ya kushtusha, huku ushahidi wa awali ukionyesha utawala haramu wa Israel umehusika katika jinai hiyo.
Habari ID: 3478724    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23