iqna

IQNA

isis
TEHRAN (IQNA) - Shirika la Ushirikkiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) limelaani vikali hujuma ya bomu ambayo ililenga msikiti huko Quetta, Pakistan na kupelekea watu kadhaa kuuawa na kujeruhiwa.
Habari ID: 3472368    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/13

TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi vimeharibu pango kubwa zaidi la magaidi wa ISIS (Daesh) kaskazini mwa Iraq.
Habari ID: 3472365    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/12

TEHRAN (IQNA) - Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) limedai kuhusika na hujuma dhidi ya msikiti nchini Pakistan ambapo watu wasiopungua 15 wamepoteza maisha.
Habari ID: 3472364    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/11

TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Darul Iftaa ya Misri imelaani vikali hatua ya gazeti la Kimarekani la Washington Post kumsifu kinara wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) aliyeuawa kuwa eti alikuwa 'mwanazuoni wa kidini aliyishi kwa unyenyekevu na usahali'.
Habari ID: 3472195    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/31

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wasiopungua 62 wameuawa na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa katika hujuma kadhaa za kigaidi zilizotokea leo ndani ya msikiti wakati wa Sala ya Ijumaa katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3472176    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/18

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN - (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali katika Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) inaonyesha kuwepo uchochezi unaotekelezwa na Marekani, baadhi ya nchi za eneo na vyombo vya habari ili kuuwezesha utawala wa Kizayuni Kuanzisha vita
Habari ID: 3471939    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/03

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wameua watu wasiopungua 207 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 500 katika wimbi kubwa la hujuma ambazo zimelenga makanisa na mahoteli nchini Sri Lanka .
Habari ID: 3471923    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/21

TEHRAN (IQNA)- Kinara wa kundi la kigaidi linalofugamna na ISIS au Daesh nchini Mali ameuawa katika mapigano.
Habari ID: 3471650    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/28

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wameushambulia msikiti wakati wa Swala ya Ijumaa katika mkoa wa Paktia mashariki mwa Afghanistan na kuua waumini wasiopungua 31 na kujeruhi wengine zaidi ya 80.
Habari ID: 3471619    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha masikitiko yake makubwa kutokana na kuuawa watu wasio na hatia katika hujuma za hivi karibuni za kigaidi nchini Afganistan na kusema: "Lengo la Marekani katika kuhamishia Afghanistan magaidi wa ISIS (Daesh) ni kuhalalisha uwepo wake katika eneo sambamba na kudhamini usalama wa utawala wa Kizayuni."
Habari ID: 3471376    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/30

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Iraq limefanikiwa kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija ambao ulikuwa ngome kuu ya mwisho ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini humo.
Habari ID: 3471206    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/06

Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrullah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu harakati ya Hizbullah cha nchini Lebanon amesema ushindi mwingine mkubwa umekaribia nchini humo kwani katika kipindi kifupi kijacho, magaidi wote wa ISIS au Daesh watafurushwa katika mpaka mzima wa Lebanon na Syria na usalama kurejea eneo hilo.
Habari ID: 3471141    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/25

IQNA (TEHRAN)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la ISIS ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.’
Habari ID: 3471129    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/19

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Iraq limeyakomboa maeneo yote ya mji wa Mosul ambao ulikuwa makao ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh na kwa utaratibu huo kuangamiza khilafa bandia ya kundi hilo la kitakfiri iliyokuwa imetangazwa mjini humo.
Habari ID: 3471042    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/29

TEHRAN (IQNA)-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran limetekeleza shambulizi la makombora na kulenga ngome za magaidi wa ISIS au Daesh nchini Syria ambapo mamia ya magaidi wameangamizwa.
Habari ID: 3471025    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/19

TEHRAN (IQNA)-Maelfu ya watu, wengi wao wakiwa Waislamu, wameandamana katika mji wa Cologne magharibi mwa Ujerumani kupinga ugaidi unaotendwa kwa jina la Uislamu.
Habari ID: 3471023    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/18

Hujuma za kigaidi za kundi la ISIS mjini Tehran Jumatano zimeendelea kulaania kimataifa.
Habari ID: 3471013    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/08

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam Seyed Mehdi Taqavi mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA), ni kati ya watu waliouawa shahidi katika hujuma ya kigaidi katika Bunge la Iran.
Habari ID: 3471012    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/07

TEHRAN (IQNA)-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya Marekani nchini Syria na kutoa wito kwa walimwengu kupinga sera kama hizo.
Habari ID: 3470922    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/08

TEHRAN (IQNA)-Marekani imelaaniwa vikali kwa kutekeleza hujuma iliyo kinyume cha sheria dhidi ya Syria Ijumaa alfajiri na kulenga kituo cha kijeshi ambacho hutumiwa na ndege zinazowashambulia magaidi wa ISIS.
Habari ID: 3470921    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/07