Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kigeni na kibeberu hayataweza kuilazimisha Syria ifuate matakwa yao.
Habari ID: 3310591 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/02
Msomi wa chuo kikuu nchini Senegal ametoa hotuba kali mbele ya balozi wa Saudi nchini humo ambapo ameukosoa utawala wa Saudi Arabia kwa sera zake za undumakuwili na unafiki hasa uungaji mkono wake wa ugaidi na jinai dhidi ya watu wa Yemen.
Habari ID: 3309969 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/01
Huku mashambulio makali ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya Yemen yakiwa yanaingia katika mwezi wake wa tatu, maelfu ya raia wa nchi hiyo wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku miundombinu ya nchi hiyo ikiharibiwa kabisa.
Habari ID: 3309308 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/30
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesikitishwa sana kuhusu kuakhrishwa mkutano wa mazungumzo ya amani Yemen.
Habari ID: 3308524 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani limeahidi kupeleka misaada ya Iran nchini Yemen. Meli ya Iran ilikuwa ipeleke misaada ya kibinadamu moja kwa nchini Yemen lakini ikashindwa kufanya hivyo kutokana na kuendelea hujuma za katika Bandari ya Hudaydah.
Habari ID: 3307026 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/24
Utawala haramu wa Israel unapanga kuipatia Saudi Arabia msaada mkubwa wa makombora ili kufanikisha vita vyake dhidi ya watu wa Yemen.
Habari ID: 3306968 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/24
Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ubeberu kinara wake akiwa Marekani ndio chanzo kikuu cha kutokea ujahili wa kisasa.
Habari ID: 3304290 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Saudi Arabia imefanya kosa kubwa la kuivamia na kuishambulia kinyama Yemen na bila ya shaka yoyote madhara ya jinai wanazofanya huko Yemen yatawarejea wenyewe.
Habari ID: 3300744 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/14
Meli ya misaada ya kibinadamu ya Iran kwa ajili ya wananchi wanaondelea kushambuliwa kinyama na Saudi Arabia huko Yemen inaendelea na safari yake baada ya kuondoka katika bandari ya Bandar Abbas, kusini mwa Iran.
Habari ID: 3292005 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/12
Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma ya kinyama ya Saudi Arabia katika jirani ya Yemen ni kosa la kistratejia.
Habari ID: 3277848 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/10
Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeendelea hujuma zake za kikatili nchini Yemen na mara hii zimehujumu kwa mabomu msikiti wa kihistoria ujulikanao kama Masjid Imam Hadi AS katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3276823 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Mamilioni ya wananchi Waislamu wa Iran wameandamana kote nchini baada ya Sala ya Ijumaa kulaani jinai za utawala wa Saudia dhidi ya watu wa Yemen. Wananchi katika miji mikubwa kama vile Tehran, Qom, Mashhad na miji mingine 770 kote nchini.
Habari ID: 3276822 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kusitisha hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3269138 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/07
Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia haijafikia malengo yake katika uvamizi wa kijeshi ilioanzisha huko Yemen.
Habari ID: 3262998 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/06
Saudi Arabia inaishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku. Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuna ushahidi kuwa Saudia imetumia mabomu yaliyopigwa marufuku katika hujuma zake za angani dhidi ya maeneo ya raia nchini Yemen. Mabomu hayo ya vishada yametengenezwa nchini Marekani.
Habari ID: 3251579 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/04
Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amelaani mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa nchi hiyo na kusema taifa la Yemen litaendelea kulinda haki zake dhidi ya wavamizi na kamwe halisalimu amri.
Habari ID: 3180156 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/20
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara ya kwanza kabisa tokea yalipoanza mashambulio ya kijeshi ya Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen amesikika akitoa kauli ya kutaka mashambulio hayo ya kijeshi yakomeshwe mara moja.
Habari ID: 3159650 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/17
Ayatullah Rafsanjani
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Saudi Arabia haitofikia malengo yake kwa mashambulizi yake ya anga dhidi ya wananchi wa Yemen.
Habari ID: 3156548 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/16
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen na kuitaja kuwa jinai huku akiuonya utawala huo kibaraka wa Marekani kuwa utapata hasara kubwa.
Habari ID: 3148169 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa hajachukua hatua yoyote kuhusiana na maelewano ya mazungumzo ya nyuklia kati ya taifa hili na kundi la 5+1 kwa kuwa hadi sasa haijafika wakati wa kutoa maamuzi hasa kwa kutilia maanani kwamba bado viongozi wa serikali wamesema kuwa, bado makubaliano hasa hayajafikiwa.
Habari ID: 3116071 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/10