IQNA

Kundi la mwisho la Wairan Iran lawasili Ardhi ya Wahyi kwa Hija 1447

Kundi la mwisho la Wairan Iran lawasili Ardhi ya Wahyi kwa Hija 1447

IQNA – Kwa kuwasili kwa kundi la mwisho la Wairni mjini Madina kwa ajili ya Hija ya mwaka 1447 (2026), mchakato wa kuwasafirisha waumini kuelekea Ardhi ya Wahyi umekamilika. Zaidi ya waumini 30,000 wamesafiri kutoka nchini humo kwenda Ardhi ya Wahyi kupitia safari za ndege 130 kwa ajili ya Ibada ya Hija mwaka huu.
17:10 , 2026 May 20
Tarjuma mpya ya Qur’an Tukufu kwa Kiukreni  

Tarjuma mpya ya Qur’an Tukufu kwa Kiukreni  

IQNA-Nchini Ukraine, Uislamu una historia ya muda mrefu inayorudi hadi karne ya 10, na leo hii unaendelea kuwepo kama sehemu muhimu ya jamii ya kidini nchini humo.
19:17 , 2026 May 19
Harufu ya waridi mkoani Isfahan, Iran

Harufu ya waridi mkoani Isfahan, Iran

IQNA – Kampuni ya Kilimo na Viwanda ya Sepahan Zarrin Dam, iliyo chini ya Taasisi ya Mostazafan, imefanikiwa kuigeuza shamba lake la waridi lenye ukubwa wa hekta 24 kuwa mojawapo ya vituo muhimu vya uzalishaji wa maua ya waridi katika mkoa wa Isfahan nchini Iran. Hali hii imewezekana kupitia matumizi bora ya uwezo na rasilimali zake za kilimo, na hivyo kuchangia uzalishaji wa bidhaa hii yenye thamani kubwa katika eneo hilo.
19:03 , 2026 May 19
Shule ya Sana’a yawaenzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu

Shule ya Sana’a yawaenzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Sherehe imefanyika katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a, siku ya Jumatatu, kuwaenzi na kuwatunuku zawadi wanafunzi waliohifadhi Qur’an Tukufu.
18:58 , 2026 May 19
Kiongozi wa Yemen: Vitendo vya kuvunjia heshima Qur’an Tukufu ni sehemu ya njama ya Wazayuni

Kiongozi wa Yemen: Vitendo vya kuvunjia heshima Qur’an Tukufu ni sehemu ya njama ya Wazayuni

IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul-Malik al-Houthi, ameeleza kuwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’an Tukufu ni sehemu ya njama za kutekeleza mpango wa Kizayuni dhidi ya Umma wa Kiislamu.
18:47 , 2026 May 19
Bodi ya kuhakikisha usahihi katika uchapishaji wa Qur’an Tukufu yazinduliwa Punjab, Pakistan

Bodi ya kuhakikisha usahihi katika uchapishaji wa Qur’an Tukufu yazinduliwa Punjab, Pakistan

IQNA – Katika juhudi za kulinda Kitabu Kitukufu cha Qur’an dhidi ya makosa ya uchapishaji au mabadiliko yoyote ya kimaandishi, serikali ya mkoa wa Punjab nchini Pakistan imerejesha upya Bodi ya Qur’an ya mkoa huo. Serikali ya Punjab imeunda upya Bodi ya Qur’an ya Punjab kwa muhula wa miaka mitatu, ikisisitiza tena ahadi yake ya kulinda utukufu, usahihi, na uchapishaji mwafaka wa Qur’an Tukufu kwa mujibu wa miongozo ya kikatiba, kisheria, na kidini.
18:34 , 2026 May 19
Uchunguzi  baada ya watu 5 kuuawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti Marekani

Uchunguzi baada ya watu 5 kuuawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti Marekani

IQNA – Watu watatu waliokuwa ndani ya Msikiti wa Kituo cha Kiislamu cha San Diego nchini Marekani wamepoteza maisha kufuatia hujuma ya kigaidi Jumatatu. Polisi wamethibitisha kuwa washambuliaji wawili, ambao ni vijana, pia wamefariki dunia, na kufanya jumla ya watu watano kupoteza maisha katika tukio ambalo maafisa wanaliita shambulizi linaloweza kuwa limechochewa na chuki dhidi ya Uislamu.
10:26 , 2026 May 19
Sikiliza Qari wa Iran akisoma Aya za Surah Fussilat

Sikiliza Qari wa Iran akisoma Aya za Surah Fussilat

IQNA – Qari mashuhuri wa kimataifa kutoka Iran, Ali Ridha Ridhai, hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani Tukufu katika hafla ya Qur’ani iliyofanyika katika haram takatifu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini-mashariki mwa Iran. Katika hafla hiyo, alisoma aya za 30 hadi 36 za Surah Fussilat, sura ya 41 ya Qur’ani Tukufu. Sikiliza kisomo chake hapa:
17:24 , 2026 May 18
Uungaji mkono kwa Palestina wajitokeza katika sherehe za Ubingwa wa Ligi ya Uturuki

Uungaji mkono kwa Palestina wajitokeza katika sherehe za Ubingwa wa Ligi ya Uturuki

IQNA – Mchezaji wa Ufaransa, Sacha Bouy, alivutia hisia wakati wa sherehe za ubingwa wa Ligi ya Uturuki za klabu yake Galatasaray, alipohudhuria hafla ya kukabidhiwa kombe akiwa amebeba bendera ya Palestina.
17:22 , 2026 May 18
Juhudi mpya za kuwaelimisha Mahujaji kuhusu adabu za Msikiti wa Mtume

Juhudi mpya za kuwaelimisha Mahujaji kuhusu adabu za Msikiti wa Mtume

IQNA – Juhudi mpya za kuimarisha uelimishaji na uhamasishaji zimetangazwa ili kuwasaidia mahujaji na wageni waelewe vyema adabu za kuingia, kuswali na kutoa salamu kwa Mtume Muhammad (S.A.W.) katika Msikiti wa Mtume maarufu kama Al Masjid An Nabawi uliopo Madina.
17:18 , 2026 May 18
Mwezi mwandamo wa Dhul‑Hijja umeonekana, Idd al‑Adhha ni Mei 27

Mwezi mwandamo wa Dhul‑Hijja umeonekana, Idd al‑Adhha ni Mei 27

IQNA – Baada ya kuonekana kwa mwezi mwandamo katika anga ya Saudi Arabia jioni ya Jumapili, mwezi mtukufu wa Dhul‑Hijja umeanza rasmi, na kwa msingi huo Siku ya Idd al‑Adhha, itfanyika tarehe 27 Mei.
17:07 , 2026 May 18
Tarjuma mpya ya Qur’ani kwa Kiswidi yazinduliwa Stockholm

Tarjuma mpya ya Qur’ani kwa Kiswidi yazinduliwa Stockholm

IQNA – Toleo jipya la tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kiswidi limezinduliwa katika hafla maalum iliyofanyika jijini Stockholm, mji mkuu wa Uswidi, kwa ushirikiano na Taasis ya Restu kutoka Malaysia.
16:55 , 2026 May 18
Maisha ya Imam Jawad (AS); mfano wa kuigwa na vijana wa leo

Maisha ya Imam Jawad (AS); mfano wa kuigwa na vijana wa leo

IQNA – Sira na maisha ya Imam Jawad (AS), akiwa ni Imamu maasumu wa umri mdogo zaidi katika Ahul Bayt (AS), ni kielelezo bora kwa watu wote, hususan kizazi cha vijana, katika kufikia kilele cha wokovu duniani na Akhera, amesema mwanazuoni mmoja.
15:46 , 2026 May 17
Kuondoa vikwazo vya lugha: Tafsiri ya lugha 17 yazinduliwa katika maeneo matakatifu ya Uislamu

Kuondoa vikwazo vya lugha: Tafsiri ya lugha 17 yazinduliwa katika maeneo matakatifu ya Uislamu

IQNA – Mamlaka zinazosimamia Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume mjini Madina zimeanza kutumia mfumo wa tafsiri ya papo kwa papo kwa lugha nyingi.
15:38 , 2026 May 17
Mlipuko mkubwa watikisa eneo la viwanda la 'Israel' karibu na Al-Quds

Mlipuko mkubwa watikisa eneo la viwanda la 'Israel' karibu na Al-Quds

IQNA – Mlipuko mkubwa umetokea katika kituo cha viwanda katika eneo la Beit Shemesh karibu na mji mtakatifu wa Al‑Quds (Jerusalem), huku mtikisiko wake ukihisiwa katika maeneo mbalimbali ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina la 'Israel'.
15:31 , 2026 May 17
10 11 12 13