IQNA

Pezeshkian: Hujuma ya kijeshi ya Marekani-Israel haijatuachia chaguo lolote isipokuwa kujihami

Pezeshkian: Hujuma ya kijeshi ya Marekani-Israel haijatuachia chaguo lolote isipokuwa kujihami

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake kwa viongozi wa nchi rafiki na majirani kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel yameiacha Iran bila chaguo lolote isipokuwa kujilinda.
12:37 , 2026 Mar 05
Ayatullah Sistani alaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Iran

Ayatullah Sistani alaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Iran

IQNA – Kiongozi Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, amekemea kwa nguvu hujuma ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran, ambayo ilianza Jumamosi na hadi sasa imesababisha mamia kufa shahidi, wakiwemo watoto.
17:42 , 2026 Mar 04
Sheikh Ibrahim Zakzaky: Mauaji ya Ayatullah Khamenei ni vita dhidi ya binadamu  wote

Sheikh Ibrahim Zakzaky: Mauaji ya Ayatullah Khamenei ni vita dhidi ya binadamu  wote

IQNA– Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
14:02 , 2026 Mar 04
Wabahrain waandama kuhimiza kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya Imam Khamenei

Wabahrain waandama kuhimiza kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya Imam Khamenei

IQNA – Watu walifanya maandamano katika maeneo mbalimbali ya Bahrain, wakionyesha mshikamano wao na Iran na kutaka kulipiza kisasi kwa mauaji ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Ayatullah Seyed Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu Amrehemu).
15:12 , 2026 Mar 03
Mwanazuoni wa Misri asisitiza kufuata njia ya Shahidi Ayatullah Khamenei, atoa Fatwa ya kuunga mkono Iran

Mwanazuoni wa Misri asisitiza kufuata njia ya Shahidi Ayatullah Khamenei, atoa Fatwa ya kuunga mkono Iran

IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Misri amempongeza Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, na kusisitiza kwamba njia yake lazima iendelezwe na Umma ya Waislamu.
14:39 , 2026 Mar 03
Aragchi: Kuuawa Imam Khamenei ni kitendo hatari na ukiukaji wa sheria za kimataifa

Aragchi: Kuuawa Imam Khamenei ni kitendo hatari na ukiukaji wa sheria za kimataifa

IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya kigaidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kumuua Imam Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu haina mfano wake, ni hatari na ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa.
17:29 , 2026 Mar 02
Iran yatekeleza operesheni za kulipiza kisasi dhidi ya Marekani na Israel

Iran yatekeleza operesheni za kulipiza kisasi dhidi ya Marekani na Israel

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)  limetekeleza operesheni kadhaa za kulipiza kisasi hadi sasa kujibu uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
16:58 , 2026 Mar 02
Imam Khamenei ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na Israel

Imam Khamenei ameuawa shahidi katika hujuma ya kigaidi ya Marekani na Israel

IQNA-Kufuatia shambulio la kikatili la utawala wa Kizayuni na Marekani, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameuawa shahidi.
10:40 , 2026 Mar 01
12