IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Palestina Hamas ililaani mauaji ya Salah al-Badrawil yaliyofanywa na utawala katili wa Israel, ikisisitiza kuwa kwa kila shahidi, mwenge wa Muqawama unazidi kuwa mkali.
Habari ID: 3480421 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, akiwapongeza wapiganaji wa Muqawama kwa ushindi wao katika Ukanda wa Gaza, amesisitiza kwamba kazi kubwa ya viongozi na wapiganaji wa Muqawama wa Palestina ipo katika "umoja na mshikamano" na "kusimama imara" dhidi ya adui, kuendesha mchakato mgumu wa mazungumzo, pamoja na uvumilivu na ustahimilivu wa wananchi, ambavyo vimeinua heshima ya Muqawama katika eneo.
Habari ID: 3480233 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Mchambuzi wa kisiasa wa Iraq alisema vita vya Gaza vilikuwa sehemu ya njama ya Marekani-Uzayuni za kuangamiza harakati za Muqawama au mapambano ya Kiislamu katika eneo la Asia Magharibi. Akizungumza katika mahojiano na IQNA kuhusu hali ya Gaza na usitishaji mapigano kati ya Hamas na utawala wa Israel, Sannan al-Saadi amesema Rais wa Marekani Donald Trump sasa anatafuta kukamilisha mradi huu.
Habari ID: 3480225 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/16
IQNA – Kongamano la Kimataifa la "Arbaeen na Utamaduni wa Muqawama" lilianza mjini Kerman, Iran, Jumanne.
Habari ID: 3480203 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/12
IQNA – Afisa mwandamizi wa Hamas alisema kuwa Operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa ina matokeo makubwa ya kistratejia ambayo yatashuhudiwa hivi karibuni.
Habari ID: 3480123 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/30
IQNA – Mkuu wa Ofisi ya Mashujaa, Waliojeruhiwa, na Mateka wa wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameelezea kuachiliwa kwa mateka wa Palestina kuwa sherehe ya kitaifa na alama ya umoja.
Habari ID: 3480105 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/27
Kadhia ya Palestina
IQNA-Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita huko Gaza, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwenye mitandao ya kijamii na kuandika: Subira na kusimama kidete kwa wananchi na Muqawama (mapambano ya Kiislamu) wa Wapalestina vimeulazimisha utawala wa Kizayuni kurudi nyuma.
Habari ID: 3480061 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/16
Diplomasia ya Muqawama
IQNA – Msimamo wa Yemen katika mhimili wa muqawama unatokana na msingi wa Imani, Qur'an Tukufu na mwongozo wa Mwenyezi Mungu, amesema balozi wa nchi hiyo nchini Iran.
Habari ID: 3480032 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11
Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesifu na kukutaja kuwa ni kwa kipekee kujitolea kwa kamanda mkuu wa Iran wa kupambana na ugaidi, Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, ambaye aliuawa mwaka 2020 akiwa pamoja na wanajihadi wenzake katika shambulio la kigaidi la ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad nchini Iraq.
Habari ID: 3479986 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa Marekani na washirika wake wanakoseka kikamilifu wanapodhani kwamba Muqawama umeishiwa nguvu na umefika ukingoni.
Habari ID: 3479913 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/17
Uchambuzi
IQNA - Mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wa Iran ametaja sababu nne ambazo anaamini zilisababisha kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad nchini Syria.
Habari ID: 3479888 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10
Uchambuzi
IQNA - Utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kwa nguvu zote kusambaratisha mhimili wa muqawama Asia Magharibi na kutenganisha makundi ya muqawama huko Iraq, Syria na Lebanon, amesema mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Iraq.
Habari ID: 3479870 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07
Muqawama
IQNA - Harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah imesema imepata ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni, na kuongeza kuwa adui Mzayuni alijidanganya na hivyo alishindwa kudhoofisha azma ya Hizbullah.
Habari ID: 3479821 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/28
Muqawam
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa pongezi kwa mashahidi wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kusema kwamba wameleta heshima katika kambi ya muqawama .
Habari ID: 3479715 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/07
IQNA - Qari wa Iran Seyed Sadeq Moslemi hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani Tukufu kwa nia ya kuwezesha harakati ya muqawama (mapambano ya Kiislamu) ya Wapalestina ipate ishindi dhidi ya adui Mzayuni.
Habari ID: 3479632 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/22
Muqawama
IQNA-Ndege ya kivita isiyo na rubani ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelenga makazi ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu huko Caesarea, kaskazini mwa Tel Aviv, baada ya kikosi cha anga za utawala huo kushindwa kuitungua.
Habari ID: 3479614 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/19
Muqawama
IQNA - Washiriki katika kongamano la mtandaoni lililofanyika leo wamesisitiza kuwa wanawake wa mregno wa muqawama au mapambano ya Kiislamu wataendelea kujitolea kwa ahadi yao ya kubaki imara kwenye njia ya Katibu Mkuu wa Hizbullah aliyeuawa shahidi Sayyid Hassan Narallah.
Habari ID: 3479598 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/15
Muqawama
IQNA - Balozi wa Yemen nchini Iran amesema taifa la Yemen litaendelea kuwa na msimamo thabiti katika kuunga mkono harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu huko Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479560 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Muqawama
IQNA - Mchambuzi mashuhuri wa Lebanon anasema jinsi Iran inavyojibu kwa shambulio linalowezekana la Israel itaunda mustakabali wa eneo hilo.
Habari ID: 3479559 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/08
Watetezi wa Haki
IQNA – Harakati ya muqawama (mapambano ya Kiislamu) inapanuka na kupata nguvu zaidi siku baada ya siku, mwanazuoni wa Kiislamu nchini Iraq alisema.
Habari ID: 3479551 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07