IQNA-Katika hafla ya kusisimua iliyofanyika Sa’ada, Yemen, watoto wa mashujaa wameenziwa kwa mafanikio yao katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu, yaliyoandaliwa na Shule ya Qur’ani ya Mashujaa kwa ushirikiano na Taasisi ya Mashujaa.
Habari ID: 3481330 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/05
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, katika hotuba aliyotoa kwa ajili ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa zamani wa Hizbullah ya Lebanon, alisisitiza kuwa njia na mtindo wa shahidi huyu bado unaendelea.
Habari ID: 3481295 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28
IQNA-Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesema ndege isiyo na rubani iliyorushwa kutoka Yemen imeshambulia mji wa kusini wa Eilat na kujeruhi watu 22 wakiwemo wawili ambao hali zao ni mahututi. Hayo yanajiri wakati jeshi la kizayuni likiwa lingali linaendeleza vita vyake vya kinyama na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3481288 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/26
IQNA – Toleo la tatu la Mkutano wa Kimataifa wa “Mtume Mkuu (SAW)” ulianza Jumamosi katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
Habari ID: 3481237 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/15
IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah, Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, amesisitiza kuwa watu wa Yemen wanaendelea kufuata mwenendo wa Mtume Muhammad (S.A.W) na mafundisho ya Qur’an Tukufu.
Habari ID: 3481183 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/04
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, ametuma salamu za rambirambi kwa taifa la Yemen kufuatia kuuawa shahidi kwa Waziri Mkuu wa Yemen, Ahmad Ghaleb Al-Rahawi, pamoja na mawaziri kadhaa wa serikali yake katika shambulio la anga la Israel lililofanyika hivi karibuni mjini Sanaa.
Habari ID: 3481169 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/01
IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Spika wa Bunge, Mohammad Baqer Qalibaf, wamelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya kijeshi iliyofanywa na Israel dhidi ya Yemen, ambayo imesababisha kuuawa kwa shahidi Waziri Mkuu wa Yemen na mawaziri kadhaa wa serikali ya mapinduzi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481163 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31
IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina na kitendo cha hivi karibuni cha kuchomwa motot nakala ya Qur’an Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3481160 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30
IQNA – Kamati za Upinzani za Kawaida (PRC), muungano wa makundi ya Kipalestina, zimelaani mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel yaliyolenga miundombinu nchini Yemen.
Habari ID: 3481132 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25
IQNA – Watu wa Yemen katika mkoa wa Saada wameshiriki katika maandamano ya mamilioni ya watu Ijumaa, wakionesha mshikamano wao na watu wanaodhulumiwa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481124 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/23
IQNA – Shughuli za kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) zimezinduliwa rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
Habari ID: 3481080 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/13
IQNA – Wizara ya Wakfu na Mwongozo ya Yemen imetangaza kuwa itafanya mtihani maalum kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wa nchi hiyo watakaoshiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani katika mataifa mbalimbali.
Habari ID: 3481045 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06
IQNA-Maandamano ya watu karibu milioni moja yamefanyika huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, jana Ijumaa katika kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.
Habari ID: 3480968 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
IQNA-Jeshi la Yemen limeshambulia meli nyingine iliyokuwa inaelekea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina 'Israel', ili kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3480923 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/10
IQNA- Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3480912 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/07
IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
Habari ID: 3480891 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka usitishe hujuma na jinai zake dhidi ya Ukanda wa Gaza vinginevyo utaendelea kuandamwa na mashambulio.
Habari ID: 3480756 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/29
IQNA -Majeshi ya Yemen yamelenga kwa mafanikio uwanja mmoja wa ndege wa Israel na manuwari ya Marekani yenye uwezo wa kusheheni ndege za kivita katika mashambulizi ya makombora siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480434 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25
IQNA-Vikosi vya Jeshi la Yemeni vimetangaza shambulio jingine dhidi ya vikosi vya Marekani katika eneo la Bahari ya Shamu, vikitumia makombora na ndege zisizo na rubani ili kuzuia shambulio tarajiwa la Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3480393 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18
IQNA – Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeahidi kujibu uchokozi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Marekani, kufuatia mashambulizi ya angani ya Marekani na Uingereza ambayo yalilenga maeneo kadhaa kote nchini, ikiwemo mji mkuu, Sanaa, na jimbo la kaskazini la Saada.
Habari ID: 3480380 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16