IQNA – Msomaji mashuhuri wa Ibtihal kutoka Misri na jaji wa mashindano ya Qur’ani ametangaza kuwa atatayarisha kasida yenye maudhui ya Qur’ani ili kukabiliana na mashambulizi ya yaliyofanywa na qari mmoja kutoka Kuwait dhidi ya Iran na mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3482162 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25
IQNA – Mwanazuoni mashuhuri wa sayansi za hisabati kutoka mji wa Yazd nchini Iran ametoa changamoto ya kielimu kwa lobi za Kizayuni.
Habari ID: 3482161 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25
IQNA – Sheikh Hayatu Umar, mhadhiri wa masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Shirikisho cha Dutsin‑Ma (FUDMA) kilichopo Jimbo la Katsina nchini Nigeria, amewataka vijana na wanafunzi waweke kipaumbele katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu, akisisitiza kuwa kufanya hivyo huminua mtu hadhi yake duniani na Akhera.
Habari ID: 3482159 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/22
IQNA – Kongamano la siku mbili linaendelea mjini Muscat, Oman, likilenga kuchunguza nafasi ya Qur’ani Tukufu katika maendeleo ya kifikra na kimaadili ya mwanadamu.
Habari ID: 3482157 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/21
IQNA – Msahafu au nakala ya Qur’ani, iliyondikwa kwa mkono nchini India katika karne ya 19, imepelekwa kwenye maonyesho ya Makumbusho ya Qur’ani Tukufu katika eneo la utamaduni la Hira katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3482156 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/21
IQNA – Baraza la Kimataifa la Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani Tukufu na Sunnah limezinduliwa mjini Kuala Lumpur, Malaysia, siku ya Jumapili.
Habari ID: 3482154 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/20
IQNA – Qari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, alisoma aya za Surah Ar‑Ra‘ad katika duru ya mwisho ya toleo la tatu la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Al‑Ameed lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482151 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/19
IQNA – Zaidi ya nakala 6,600 za Qur’ani Tukufu na maandiko yanayohusiana nayo, zenye thamani ya zaidi ya RM378,000, zimekamatwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Malaysia katika operesheni ya miezi mitatu baada ya kubainika kuwa hazikukidhi viwango vya kidini au zilikuwa na makosa.
Habari ID: 3482149 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/18
IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vijana wenye umri kati ya miaka 12 hadi 30 yameanza nchini Kosovo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3482148 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/18
IQNA – Katika juhudi za kuhakikisha kuwa wahifadhi wa Qur’ani Tukufu wanaendelea kuihifadhi kwa uthabiti wa muda mrefu, Msikiti wa Mtume SAW (Masjid an-Nabawi) umezindua programu mpya na makini ya muraja‘a kupitia idara ya halaqa za kuhifadhi Qur’ani.
Habari ID: 3482146 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/17
IQNA – Mwaka huu, kozi za kiangazi katika mkoa wa Hajjah zimepata usajili mkubwa usiokuwa wa kawaida, zikihusisha shule 1,482.
Habari ID: 3482144 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/16
Nchini Bangladesh
IQNA – Waziri wa Elimu wa Bangladesh, Ehsanul Haque Milon, amesema kuwa ingawa viwango vya kufaulu katika madrasah ni vya juu, elimu sahihi ya Qur’ani bado haijaimarika vya kutosha, jambo ambalo sasa limekuwa kikwazo katika ajira ya walimu wa masomo ya dini.
Habari ID: 3482143 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/16
IQNA – Mufti Mkuu wa Al-Quds na ardhi za Palestina ameonya kuhusu kusambazwa kwa nakala ya Qur’ani Tukufu yenye hitilafu ya uchapaji katika aya moja.
Habari ID: 3482137 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/12
IQNA – Jumla ya wanafunzi 48 wa Qatar waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika robo ya kwanza ya mwaka 2026 walienziwa na kutunukiwa zawadi siku ya Jumatano katika hafla iliyofanyika Doha.
Habari ID: 3482131 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/09
IQNA – Makumbusho ya Kitaifa ya Ustaarabu wa Misri yamefanikiwa kurekebisha na kulinda baadhi ya nakala adimu za Qur’ani Tukufu zilizoandikwa kwa mkono.
Habari ID: 3482127 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08
IQNA – Kitengo cha Shughuli za Qur’ani kwa Njia ya Mtandaoni katika Kituo cha Utafiti na Tafiti za Qur’ani kinachohusishwa na Dar‑ul‑Quran ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika mji Karabala, Iraq kimetangaza kusajiliwa kwa khatma 1,605 za Qur’ani zilizofanyika kwa njia ya mtandaoni, zikishirikisha wanawake katika shule na makundi yanayohusishwa na kituo hicho.
Habari ID: 3482124 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/07
IQNA – Baadhi ya wanazuoni na maqari mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu wa Kiislamu katika siku za karibuni wametangaza msimamo wao wa kulaani vikali uvamizi ulioanzishwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482123 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/07
Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 21
IQNA – Miongoni mwa matukio makubwa yaliyotokea kutokana na damu ya shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khamenei, ni kuibuka kwa kuhurumiana na umoja wa watu wa Iran katika kutetea utambulisho wa nchi yao, jambo ambalo linatokana na mapenzi na irada ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482122 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/06
IQNA – Umati mkubwa wa watu ulihudhuria hafla ya kufunga Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Tanzania, iliyofanyika jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili.
Habari ID: 3482121 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/06
Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 20
IQNA- Mwenyezi Mungu anasema katika Aya ya 7 ya Surah Muhammad ya Qur’ani Tukufu kwamba: “Enyi mlioamini! Mkimsadia Mwenyezi Mungu, Atakusaidieni na Atathibitisha nyayo zenu.”
Habari ID: 3482120 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/05