qurani tukufu - Ukurasa 5

IQNA

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 28 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482068    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/18

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 9
IQNA – Mojawapo ya mitihani ya Mwenyezi Mungu ni jaribio la kutambua haki na batili; na mojawapo ya njia za kutambua haki na batili ni kuchunguza wafuasi na wanaounga mkono batili, na kujiepusha na madhalimu wanaokandamiza.
Habari ID: 3482067    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 27 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482063    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17

IQNA – Mmoja wa waandaaji wa kipindi cha televisheni cha Qur’ani nchini Iran kinachojulikana kama Mahfel amesema kuwa kipindi hicho kimefanikiwa kuiondoa Qur’ani katika mtazamo wa kuishia tu kwenye usomaji au matarajio ya thawabu, na kuileta katika uwanja wa uhusiano wa kijamii na ubinadamu.
Habari ID: 3482062    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/16

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 8
IQNA – Aya za Qur’ani Tukufu zinazohusu Vita vya Uhud katika Surah Aal Imran zinalenga kuwahamisha Waislamu kutoka katika mtazamo uliotawanyika unaoangalia historia kama matukio yaliyokatika katika, na kuwapeleka kwenye uelewa wa kimchakato wa sunna na sheria za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482058    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/15

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 24 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482056    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/14

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/7
IQNA – Kwa ajili ya kutangaza mwisho wa vita au ushindi katika mapambano dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, Qur’ani Tukufu inaweka misingi kadhaa ya uongozi na mwongozo.
Habari ID: 3482050    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/12

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 22 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482046    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/12

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/5
IQNA – Kwa mujibu wa aya za Surah Al-Fath na Al-Ahzab katika Qur’ani Tukufu, Mwenyezi Mungu Mtukufu amekusudia kwamba kila wakati maadui wanapoanzisha uhasama, na upande wa haki ukadumu thabiti, basi kurudi nyuma na kushindwa kwa mhalifu huwa ni jambo lisilokwepeka na lisilobadilika.
Habari ID: 3482043    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/11

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/6
IQNA – Qur’ani Tukufu inabainisha kwamba kiwango cha imani ya mtu kwa Mwenyezi Mungu ndicho kinachoamua kiwango cha uwezo wake wa kutenda.
Habari ID: 3482040    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/10

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 20 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482036    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/10

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 19 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482034    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/09

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 18 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482027    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/08

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/2
IQNA- Katika Qur’ani Tukufu tunasoma hivi: “…Lau wanngelitengana , basi kwa hakika tungaliwaadhibu wale waliokufuru miongoni mwao kwa adhabu chungu.” (Al Fath: 25)
Habari ID: 3482026    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/07

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 17 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482024    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/07

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/1
IQNA-Qur’ani Tukufu, pamoja na kuonyesha takwimu na uchambuzi wa mambo kwa mtazamo wa kidunia, pia inatuwekea mbele mtazamo mwingine wa kutafakari kuhusu mapambano.
Habari ID: 3482020    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/06

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 16 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482018    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/06

IQNA – Qari kutoka Iraq, Indonesia na Afghanistan walishiriki katika siku ya nane ya toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed, inayofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482005    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA – Kituo cha Dar‑ul‑Qur'an cha Wanawake, kinachohusiana na Idara ya Usimamizi wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS), kinaandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa wasichana wadogo katika mji mtukufu wa Najaf.
Habari ID: 3482003    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Nane ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481995    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26