iqna

IQNA

IQNA – Sheikh Abdul Hadi L’Aqab, msomi mtajika wa Qur’ani kutoka Algeria, alifariki dunia Jumapili, Aprili 20, 2025.
Habari ID: 3480581    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22

IQNA – Kamati ya Kuutangaza Uislamu Kuwait imesambaza tafsiri za Qur'ani kwa lugha mbalimbali katika misikiti nchini humo kama sehemu ya mpango wa kitaifa.
Habari ID: 3480575    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21

IQNA – Naibu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ametaja kurejesha heshima ya mwanadamu kuwa ndilo lengo kuu la Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480571    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20

IQNA – Mchujo wa awali wa mashindano makubwa zaidi ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika ukanda wa Balkan umekamilika huko Bosnia na Herzegovina.
Habari ID: 3480569    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20

IQNA – Hafla ya ‘Halal kwa Halal’ na mpango wa kutafakari kuhusu aya za Qur'ani zilifanyika kwa ushiriki mkubwa wa viongozi wa kidini, kitamaduni na kitaaluma katika Msikiti wa Al-Nur uliopo Jakarta, Indonesia.
Habari ID: 3480551    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16

Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro
Habari ID: 3480549    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16

IQNA – Éléonore Cellard ni mtafiti wa Kifaransa na mtaalamu wa hati za nakala za Qur’an za kale.. 
Habari ID: 3480543    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/15

IQNA – Baadhi ya mashekhe wakubwa wa Qur’ani kutoka Misri wametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Abdolrasoul Abaei, mtaalamu mashuhuri wa Qur’ani nchini Iran.
Habari ID: 3480538    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14

IQNA – Uchunguzi wa kina kuhusu hali ya hati za Kiarabu na Kiislamu zipatazo 40,000 katika maktaba tatu kubwa zaidi za umma nchini Ujerumani umefichua nukta za kuvutia kuhusu uhusiano wenye sura nyingi kati ya Ulaya, Mashariki ya Kati, na Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3480537    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
Habari ID: 3480536    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

Teknolojia
IQNA – Kongamano lililopewa jina “Jinsi ya kutumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence-AI-) kuhudumia Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Kuwasaidia Ndugu Zetu wa al-Quds” iliandaliwa nchini Mauritania.
Habari ID: 3480535    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

IQNA-Haj Ryoichi Umar Mita alikuwa mfafsiri wa kwanza wa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kijapani. Alizaliwa mwaka 1892 katika mji wa Shimonoseki, Mkoa wa Yamaguchi, kisiwa cha Kyushu, Japan, katika familia ya Kisamurai na Kibuddha.​
Habari ID: 3480528    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12

Turathi
IQNA-Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz (KAPL) mjini Riyadh, Saudi Arabia, inahifadhi nakala 400 adimu za MIsahafu kutoka zama mbalimbali za Kiislamu ambapo  nyingi ni za kati ya karne ya 10 hadi 13 Hijria.
Habari ID: 3480524    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

IQNA – Mmoja wa watangazaji wa kipindi cha “Mahfel,” kinachorushwa hewani katika televisheni nchini Iran katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, ameeleza mafanikio ya kipindi hicho, ikiwa ni pamoja na kuimarika kwa mapenzi ya watu kwa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480519    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA – Abdolrasoul Abaei, mmoja wa shakhsia mashuhuri na wanaoheshimika sana katika nyanja za Qur'ani Tukufu nchini Iran, ameaga dunia tarehe 9 Aprili 2025 akiwa na umri wa miaka 80, baada ya maisha marefu ya kujitolea kwa ajili ya huduma na uendelezaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480517    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09

IQNA – Usajili umeanza rasmi kwa toleo la nane la mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa wafanyakazi nchini Iran.
Habari ID: 3480515    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08

IQNA – Jumla ya vipindi 30 vya Qur’ani Tukufu viliandaliwa kwa ushiriki wa wasomi wa kiwango cha juu wa masuala ya Qur’ani kutoka Iran, katika majimbo mbalimbali ya Iraq wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wa mwaka huu.
Habari ID: 3480509    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08

IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri. 
Habari ID: 3480503    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06

IQNA – Mamlaka ya Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala imewatambua waliofanikisha mikusanyiko ya Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
Habari ID: 3480502    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06

IQNA – Mwanaharakati wa Kiirani wa Qur'ani Tukufu ameongoza kozi ya mafunzo ya ualimu wa kuhifadhi Qur'an wakati wa ziara yake nchini Madagascar. 
Habari ID: 3480500    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06