Turathi
IQNA-Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz (KAPL) mjini Riyadh, Saudi Arabia, inahifadhi nakala 400 adimu za MIsahafu kutoka zama mbalimbali za Kiislamu ambapo nyingi ni za kati ya karne ya 10 hadi 13 Hijria.
Habari ID: 3480524 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
IQNA – Mmoja wa watangazaji wa kipindi cha “Mahfel,” kinachorushwa hewani katika televisheni nchini Iran katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, ameeleza mafanikio ya kipindi hicho, ikiwa ni pamoja na kuimarika kwa mapenzi ya watu kwa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480519 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA – Abdolrasoul Abaei, mmoja wa shakhsia mashuhuri na wanaoheshimika sana katika nyanja za Qur'ani Tukufu nchini Iran, ameaga dunia tarehe 9 Aprili 2025 akiwa na umri wa miaka 80, baada ya maisha marefu ya kujitolea kwa ajili ya huduma na uendelezaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480517 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09
IQNA – Usajili umeanza rasmi kwa toleo la nane la mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa wafanyakazi nchini Iran.
Habari ID: 3480515 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08
IQNA – Jumla ya vipindi 30 vya Qur’ani Tukufu viliandaliwa kwa ushiriki wa wasomi wa kiwango cha juu wa masuala ya Qur’ani kutoka Iran, katika majimbo mbalimbali ya Iraq wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wa mwaka huu.
Habari ID: 3480509 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08
IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri.
Habari ID: 3480503 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Mamlaka ya Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala imewatambua waliofanikisha mikusanyiko ya Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480502 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Mwanaharakati wa Kiirani wa Qur'ani Tukufu ameongoza kozi ya mafunzo ya ualimu wa kuhifadhi Qur'an wakati wa ziara yake nchini Madagascar.
Habari ID: 3480500 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06
IQNA – Wanachuo wa kiume na wa kike wa Qur’ani zaidi ya 1,000 wameshiriki katika mpango wa kimataifa wa kuhifadhi na kufasiri Surah Sad uliofanyika mjini Qom, Iran.
Habari ID: 3480499 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05
Utamaduni wa Qur'ani
IQNA-Mkaligrafia wa Libya, Al-Sharif Al-Zanati, amefanikisha ndoto yake ya maisha ya kuandika Qur'ani Tukufu kwa mkono, licha ya changamoto za kibinafsi na kitaaluma.
Habari ID: 3480498 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05
IQNA – Bi kizee mwenye umri wa miaka 117, anayeaminika kuwa miongoni mwa wazee zaidi nchini Malaysia, ameonyesha shukrani kwa kuwa na uwezo wa kusherehekea Idul Fitr nyingine akiwa na familia yake.
Habari ID: 3480486 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02
IQNA – Licha ya ulemavu wa machi, Muhammad Hafizuddin Muhammad Amirul Hakim Linges mwenye umri wa miaka 10 ana uwezo wa kipekee.
Habari ID: 3480482 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01
Tawakkul katika Qur'ani /3
IQNA – Tawakkul (kumtegemea Mwenyezi Mungu) ni neno lenye maana pana katika nyanja za dini, tasawwuf, na maadili.
Inahusiana na dhana mbalimbali, ikiwemo imani na uchaji Mungu.
Habari ID: 3480436 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25
IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani nchini Uganda ilifanyika wiki hii katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Habari ID: 3480423 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23
IQNA – Hossein Khani Bidgoli kutoka Iran amesema alikuwa na furaha na jinsi alivyofanya katika Mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan.
Habari ID: 3480420 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23
IQNA – Watoto wadogo waliochukua walioshika nafasi za juu katika toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wameitunukiwa tuzo.
Habari ID: 3480416 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22
IQNA – Jordan imezindua mashindano yake ya 32 ya Qur'ani ya kimataifa, yanayojulikana kama Tuzo ya Qur'ani ya Kimataifa ya Jordan , kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 51.
Habari ID: 3480413 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22
Teknolojia
IQNA – Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) ni moja ya maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika zama za kisasa na inatumiwa katika maeneo mengi, ikiwemo kuchakata maandiko ya kidini.
Habari ID: 3480403 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19
IQNA – Waziri mmoja wa Malaysia ameitaja Qur'ani kama nuru inayoongoza na dira kwa kila hatua maishani.
Habari ID: 3480402 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19
Tawakkul katika Qur'ani/2
IQNA – Tawakkul inamaanisha kuwa na ujasiri, imani, na kutegemea tu uwezo na maarifa ya Mwenyezi Mungu, bila kuwa mtegemezi kwa wanadamu au vinginevyo.
Habari ID: 3480396 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18