iqna

IQNA

IQNA-Taasisi ya Dar-ol-Quran ya Idara ya Mfawidhi wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) imetangaza kuanza kwa raundi ya pili katika hatua ya awali ya Tuzo ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Karbala.
Habari ID: 3480644    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06

IQNA – Taasisi za elimu za kitamaduni nchini Morocco zimekumbana na changamoto baada ya kuwasilishwa kwa kanuni mpya za kusaidia vituo binafsi vya Qur'ani.
Habari ID: 3480638    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/05

IQNA-Ramadhan Mushahara, Mpalestina mwenye umri wa miaka 49, amechapisha kitabu kiitwacho “Qur'ani kwa Wanaohifadhi”. Aliandika kitabu hiki akiwa gereza za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel, licha ya vizuizi vikubwa vya gerezani.
Habari ID: 3480636    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04

IQNA- Warsha ya kielimu yenye kuhusu “Mbinu za Kufundisha Qur'ani kwa Watoto: Mitazamo ya Kihistoria na ya Kisasa”  imefanyka  huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3480635    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04

IQNA – Nigeria inapanga kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu na kushirikisha maqari wa Qur’ani kutoka nchi 20.
Habari ID: 3480632    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03

IQNA – Zaidi ya nakala 6,000 za Qur’ani Tukufu zimegawiwa kwa wageni katika Maonyesho ya 39 ya Vitabu ya Kimataifa ya Tunisia.
Habari ID: 3480631    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03

IQNA – Katika sherehe iliyofanyika Tehran Alhamisi, Shule ya Kitaifa ya Weledi wa Qiraa ya Qur'ani ilizinduliwa.
Habari ID: 3480629    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03

IQNA – Mtaalamu wa masuala ya kimataifa ameuelezea mpango wa kuanzishwa kwa bunge la Qurani la ulimwengu wa Kiislamu kama ramani ya njia kwa Ummah wa Kiislamu kuelekea umoja.
Habari ID: 3480624    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02

IQNA – Mtoto wa Misri aliyezaliwa bila pua na macho amefanikiwa kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu Muhammad, ambaye ana umri wa miaka 11, pia ana kipaji cha kipekee katika kusoma Qur’ani kwa kuiga mitindo ya maqari mashuhuri.
Habari ID: 3480621    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/01

IQNA – Semina ya mtandaoni imepangwa kufanyika usiku wa leo kumkumbuka marehemu Abdolrasoul Abaei, msomi mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran.  
Habari ID: 3480617    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

IQNA – Wanaharakati  wa Qur'ani kutoka nchi 50 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika toleo la nne la shindano la kimataifa la Qur'ani huko Karbala, Iraq. 
Habari ID: 3480616    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

 IQNA – Mkutano wa wasomaji wa Qur'ani (qaris) na wahifadhi wa Qur'ani kutoka nchi 18 ulifanyika huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480610    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29

IQNA – Qur'ani Tukufu inashughulikia kwa ukamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu, amesema afisa wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar. 
Habari ID: 3480605    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28

IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, alifungua rasmi Mashindano ya Kitaifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani kwa mwaka 1446H/2025. 
Habari ID: 3480604    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28

IQNA – Mwanakaligrafia kutoka Bahrain amesema kuwa wazo lake la kuandika Qur'ani kwa mkono limeongeza idadi ya watu wanaovutiwa na sanaa ya kaligrafia ya Kiarabu.
Habari ID: 3480603    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27

IQNA – Akitoa wito wa kuendeleza kanuni za Qur'an na Sunnah, mwanazuoni mmoja wa Kiislamu amesema kuwa Qur'an na Sunnah zinahimiza uvumilivu, amani na undugu.
Habari ID: 3480600    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito wa kueneza mafundisho ya Qur'ani Tukufu katika jamii huku akipongeza juhudi za shughuli za Qur'ani zilizofanyika nchini Iran wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
Habari ID: 3480598    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26

IQNA – Kozi ya kina ya mapitio kwa wanaohifadhi Quran Tukufu ilifanyika katika Msikiti wa Mtume, Al Masjid An Nabawi, huko Madina.
Habari ID: 3480597    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26

IQNA – Mwanafasihi wa masomo ya Qur'ani amesisitiza kwamba lengo kuu la Qur'ani ni kubadilisha matendo na tabia ya waumini, si tu kusomwa tu. 
Habari ID: 3480590    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25

IQNA – Mvulana Mmalaysia mwenye tatizo la kiakili lijulikanalo kama usonji(autism) ameweza kuhifadhi Qur'ani nzima kwa kipindi kifupi cha miezi minne pekee. 
Habari ID: 3480589    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/24