iqna

IQNA

IQNA – Jumla ya vipindi 30 vya Qur’ani Tukufu viliandaliwa kwa ushiriki wa wasomi wa kiwango cha juu wa masuala ya Qur’ani kutoka Iran, katika majimbo mbalimbali ya Iraq wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wa mwaka huu.
Habari ID: 3480509    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08

IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri. 
Habari ID: 3480503    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06

IQNA – Mamlaka ya Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala imewatambua waliofanikisha mikusanyiko ya Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. 
Habari ID: 3480502    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06

IQNA – Mwanaharakati wa Kiirani wa Qur'ani Tukufu ameongoza kozi ya mafunzo ya ualimu wa kuhifadhi Qur'an wakati wa ziara yake nchini Madagascar. 
Habari ID: 3480500    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06

IQNA – Wanachuo wa kiume na wa kike wa Qur’ani zaidi ya 1,000 wameshiriki katika mpango wa kimataifa wa kuhifadhi na kufasiri Surah Sad uliofanyika mjini Qom, Iran.
Habari ID: 3480499    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05

Utamaduni wa Qur'ani
IQNA-Mkaligrafia wa Libya, Al-Sharif Al-Zanati, amefanikisha ndoto yake ya maisha ya kuandika Qur'ani Tukufu kwa mkono, licha ya changamoto za kibinafsi na kitaaluma.
Habari ID: 3480498    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05

IQNA – Bi kizee mwenye umri wa miaka 117, anayeaminika kuwa miongoni mwa wazee zaidi nchini Malaysia, ameonyesha shukrani kwa kuwa na uwezo wa kusherehekea Idul Fitr nyingine akiwa na familia yake.
Habari ID: 3480486    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02

IQNA – Licha ya ulemavu wa machi, Muhammad Hafizuddin Muhammad Amirul Hakim Linges mwenye umri wa miaka 10 ana uwezo wa kipekee.
Habari ID: 3480482    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01

Tawakkul katika Qur'ani /3 
IQNA – Tawakkul (kumtegemea Mwenyezi Mungu) ni neno lenye maana pana katika nyanja za dini, tasawwuf, na maadili.  Inahusiana na dhana mbalimbali, ikiwemo imani na uchaji Mungu.
Habari ID: 3480436    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/25

IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya Qur'ani ya Ramadhani nchini Uganda ilifanyika wiki hii katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Habari ID: 3480423    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23

IQNA – Hossein Khani Bidgoli kutoka Iran amesema alikuwa na furaha na jinsi alivyofanya katika Mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur'ani ya Jordan.
Habari ID: 3480420    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/23

IQNA – Watoto wadogo waliochukua walioshika nafasi za juu katika toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani nchini Qatar wameitunukiwa tuzo.
Habari ID: 3480416    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22

IQNA – Jordan imezindua mashindano yake ya 32 ya Qur'ani ya kimataifa, yanayojulikana kama Tuzo ya Qur'ani ya Kimataifa ya Jordan , kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 51.
Habari ID: 3480413    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22

Teknolojia
IQNA – Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) ni moja ya maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika zama za kisasa na inatumiwa katika maeneo mengi, ikiwemo kuchakata maandiko ya kidini.
Habari ID: 3480403    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19

IQNA – Waziri mmoja wa Malaysia ameitaja Qur'ani kama nuru inayoongoza na dira kwa kila hatua maishani.
Habari ID: 3480402    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/19

Tawakkul katika Qur'ani/2
IQNA – Tawakkul inamaanisha kuwa na ujasiri, imani, na kutegemea tu uwezo na maarifa ya Mwenyezi Mungu, bila kuwa mtegemezi kwa wanadamu au vinginevyo.
Habari ID: 3480396    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18

IQNA – Kufuatia hitimisho la hatua ya kwanza ya Tuzo ya 2 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, waandaaji wametangaza wale waliopita hadi awamu ya pili. 
Habari ID: 3480383    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16

IQNA – Mtu anapaswa kuepuka kuchochea tofauti, badala yake ajikite katika kuhimiza mazungumzo miongoni mwa vijana Waislamu kwa misingi ya mafunzo ya Qur'ani na Ahl-ul-Bayt (AS), amesema mwanazuoni wa Kiiraqi. 
Habari ID: 3480382    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16

IQNA – Balozi wa Iran nchini Indonesia amesisitiza shauku ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupanua ushirikiano wa Qur’ani na nchi hiyo ya Kusini-Mashariki mwa Asia. 
Habari ID: 3480381    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16

IQNA – Washindi wakuu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Somalia wametunukiwa zawadi katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud.
Habari ID: 3480377    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15