IQNA – Kitabu kipya kilichoandikwa kuhusu sayansi ya Qur’ani kimetangazwa rasmi kama rasilimali ya elimu kwa wanafunzi wa kiwango cha kwanza katika vyuo vya Kiislamu kote Iran.
Habari ID: 3480806 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08
IQNA – Toleo la mwaka 2026 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai litaandaliwa chini ya dira mpya iliyopewa kauli mbiu: "Katika Kutafuta Qiraa Nzuri Zaidi ya Qur’ani Tukufu."
Habari ID: 3480795 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/06
Mwanazuoni
IQNA – Afisa mmoja wa Kiirani amesema kuwa hakuna njia nyingine ya kuokoa ubinadamu ila kwa kufuata mwongozo wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480794 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/06
Hija Katika Qur'ani /8
IQNA-Katika maneno matukufu ya Qur’ani, Mwenyezi Mungu anaitambulisha Kaaba kama nyumba ya kwanza iliyoanzishwa kwa ajili ya ibada ya Mola Mmoja wa kweli. Katika Surah Aal Imran, aya za 96-97, utukufu na umuhimu wa nyumba hii takatifu vinaelezwa wazi:
Habari ID: 3480792 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/05
Hija Katika Qur'ani / 6
IQNA – Qur'ani Tukufu inawasilisha ibada za Hija kama fursa adhimu ya kujiimarisha kimaadili, kufanya mazoezi ya kujizuia, na kuandaa zana za kiroho kwa ajili ya maisha ya Akhera. Hii ni fursa isiyokadirika kwa kila Muislamu anayetafuta ukaribu na Mola wake.
Habari ID: 3480780 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/03
IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kwamba kuhifadhi Qur’ani Tukufu hakupaswi kuishia katika kurudia na kukariri pekee, bali kunapaswa kuwa mchakato wa makusudi unaoambatana na kutafakari maana ya aya.
Habari ID: 3480778 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/02
IQNA – Toleo la tatu la mpango wa majira ya joto wa Qur'ani wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limeanza kutekelezwa Jumapili.
Habari ID: 3480774 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01
IQNA – Ibada ya Hija ni fursa adhimu kwa wasomaji wa Qur'ani kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu kukutana, kushirikiana na kunufaika na tajiriba za wenzao, amesema Qari mmoja kutoka Iran.
Habari ID: 3480771 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01
IQNA – Rais wa Nigeria ameielezea Qur'ani Tukufu kama mwongozo kamili kwa wanadamu na chanzo cha nuru, hekima na faraja.
Habari ID: 3480770 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01
IQNA – Jukwaa la Sayansi ya Qur'ani, linaloendeshwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, limezindua toleo la 9 la mpango wa kitaifa wa Qur'ani.
Habari ID: 3480766 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA-Mkuu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Vyombo vya Habari ya Misri ametangaza mipango ya kuzindua Jumba la Makumbusho ya Wasomaji wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3480765 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA-Wanazuoni wa Kiislamu hivi karibuni wameanzisha mradi kwenye mitandao ya kijamii uitwao "Darasa za Qur’ani", wenye lengo la kukuza uelewa wa dhana za Qur’ani kwa njia inayoambatana na zama za kidijitali na teknolojia.
Habari ID: 3480763 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30
IQNA: Qur’ani Tukufu ina maarifa ya kimataifa yanayopaswa kufafanuliwa, na ujumbe wake unapaswa kuwasilishwa kwa ulimwengu mzima, amesema Hujjatul Islam Mohsen Qara’ati, mwanazuoni wa Kiislamu na mtafsiri wa Qur’ani kutoka Iran.
Habari ID: 3480759 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30
Hija katika Qur’ani Tukufu /5
IQNA – Qur’an Tukufu haioneshi Hija tu kama faradhi ya mtu binafsi, bali pia kama mkusanyiko mkubwa wa pamoja wenye faida kwa mtu mmoja mmoja na kwa jamii kwa ujumla.
Habari ID: 3480757 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30
IQNA – Hafla maalum ya Qur'ani imefanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania, ikiweka pamoja Waislamu ambao wamewasikiliza Maqari mashuhuri kutoka Iran waliotambulika kupitia kipindi maarufu cha televisheni cha Mahfel.
Habari ID: 3480754 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28
Hija Katika Qur’ani /4
IQNA – Kuheshimu alama za ibada za Mwenyezi Mungu ni ishara ya usafi wa ndani wa nafsi na moyo wenye kumcha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480751 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28
IQNA – Chuo cha Kimataifa cha Awqaf nchini Misri kimezindua kozi yake ya kwanza ya mafunzo kwa walimu wa Qur’an, ikilenga mbinu bora za kuhifadhi na kufundisha ndani ya madrasah za jadi.
Habari ID: 3480747 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA-Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu limefanyika jana Jumapili , Dar es Salaam Tanzania huku viongozi wa dini mbalimbali chini ya kauli mbiu 'Sauti ya Rehema'.
Habari ID: 3480744 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26
Hija katika Qur’ani /3
IQNA – Safa na Marwa si milima miwili tu iliyopo karibu karibu na Msikiti Mtakatifu wa Makka. Ni alama za ibada, za Tauhidi, na kujitolea. Sa’i, yaani kitendo cha kutembea au kukimbia baina ya milima hiyo miwili, ambacho Qur’ani imekitaja kuwa miongoni mwa Sha’a’ir Allah (alama za ibada za Mwenyezi Mungu), ni kitendo chenye uzito kinachorejea katika tukio la kihistoria.
Habari ID: 3480740 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26
IQNA-Kongamano kubwa na la aina yake la Qur'ani Tukufu imefanyika katika mji wa pwani wa Tanga nchini Tanzania na kuwavutia hadhirina kutokana na usomaji wa kipekee wa Tajweed na wa kupendeza.
Habari ID: 3480738 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25