IQNA – Raundi ya mwisho ya toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji wa Qurani ya Al-Ameed ilizinduliwa katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480295 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Baraza la Kisayansi la Qur’ani la Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, litashiriki katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani ya Tehran ya 32.
Habari ID: 3480294 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amesema kuwa tiba ya magonjwa yote ya kiroho na kimaadili ya binadamu inapatikana ndani ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480292 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03
IQNA – Utangulizi na ufafanuzi wa mawazo ya Qur’ani ya viongozi wawili wa Mapinduzi ya Kiislamu, pamoja na mantiki ya Qur’ani katika Muqawama au Mapambano ya Kiislamu ni maudhui ambazo zimepewa kipaumbele katika ajenda maalum ya sehemu ya kimataifa ya toleo la mwaka huu la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3480286 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/02
IQNA – Chini ya "Mpango wa Wasomaji Mahiri," wasomaji 170 wa kipekee wa Qur'ani Tukufu watateuliwa kwa misikiti huko Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu, kuongoza waumini wakati wa sala za Ramadhani.
Habari ID: 3480279 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
IQNA – Mfalme Salman wa Saudi Arabia ameidhinisha usambazaji wa nakala 1.2 milioni za Qur'ani Tukufu, pamoja na tafsiri au tarjuma katika lugha 79, kwa vituo vya Kiislamu na kitamaduni, pamoja na ofisi za kidini katika ubalozi wa Saudi kote ulimwenguni.
Habari ID: 3480278 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
IQNA – Kozi ya mtandaoni kuhusu tafsiri ya Qur'ani Tukufu na mada za kidini itafanyika Pakistan wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480276 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
IQNA – Toleo la 18 la Maonesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran yatafunguliwa katika mji huo mtukufu mnamo Machi 3.
Habari ID: 3480273 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26
IQNA – Jimbo la Perlis nchini Malaysia limekamilisha mashindano ya Qur'ani ya ngazi ya jimbo ambapo wito ulitolewa ili kukuza utamaduni wa Qur'ani .
Habari ID: 3480269 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/26
IQNA – Idadi kubwa ya Wapalestina walihudhuria mazishi yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Al-Quds siku ya Jumatatu kwa ajili ya msomaji wa Qur'ani Tukufu wa Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3480268 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
IQNA – Klabu ya Michezo na Utamaduni ya Dibba Al Hisn imezindua toleo la 16 la Mashindano ya kila mwaka ya Usomaji wa Qur’ani, yaliyopewa jina "Hifadhi na Usome."
Habari ID: 3480260 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23
IQNA – Hatua ya mwisho ya toleo la pili la Tamasha la Usomaji wa Qur'ani kwa kuiga inaanza leo huko Qazvin, Iran, na waandaaji wametangaza majina ya wajumbe wa jopo la majaji.
Habari ID: 3480253 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22
IQNA – Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Quran nchini Tanzania yalianza jana katika taifa hilo la Afrika Mashariki, yakiwa na washiriki kutoka nchi 25.
Habari ID: 3480248 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
IQNA – Mkuu wa Msikiti wa Jamia wa Algiers amesema kuwa Kituo cha Dar-ul-Qur'an cha msikiti huo kiko tayari kupokea wanafunzi kutoka nchi jirani za Afrika.
Habari ID: 3480242 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20
IQNA – Kampeni iliyopewa jina “Kwa Jina la Ushindi” imezinduliwa na Taasisi ya Astan Quds Razavi (Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Ridha -AS-) nchini na itaendelea hadi mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480238 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Toleo la pili la Tamasha la Usomaji Qur'ani wa Kuiga sauti za maqari mashuhurilinatarajiwa kufanyika katika mji wa Qazvin, Iran, kuanzia Februari 22 hadi 25, likiwakutanisha maqari 50 vijana kutoka sehemu mbalimbali za nchi.
Habari ID: 3480237 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani Tukufu yameanza Jumapili katika mji mkuu wa Mauritania.
Habari ID: 3480236 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Al-Azhar ya Misri inakaribia hatua za mwisho za mradi wake wa kipekee wa hati ya Qur'ani, huku sehemu kubwa ya kazi ikiwa imekamilika, kulingana na Mohamed Al-Duwaini, Naibu wa Al-Azhar.
Habari ID: 3480235 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kufanya programu mbalimbali za Qur'ani na kidini wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480229 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/16
IQNA – Maktaba ya Kitaifa ya Tunisia imezindua maonyesho yanayochunguza ushawishi wa Qur'ani Tukufu huko Ulaya.
Habari ID: 3480228 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/16