qurani tukufu - Ukurasa 8

IQNA

IQNA – Toleo la 31 la mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Croatia limehitimishwa kwa hafla rasmi mjini Zagreb.
Habari ID: 3481321    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/03

QNA – Kwa jitihada za vituo vinavyohusiana na Al-Azhar nchini Misri, programu maalumu ya kufundisha Qur’ani Tukufu imezinduliwa kwa lengo la kuhudumia Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481318    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/02

IQNA – Siku ya kwanza ya mashindano ya kitaifa ya Qur’ani yajulikanayo kama “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) ilianza rasmi Jumatano mjini Qom, yakikusanya vijana wasomaji wa Qur’ani kutoka pembe zote za Iran.
Habari ID: 3481317    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/02

IQNA – Serikali ya Maldives (Maldivi) imetangaza kuwa sasa kuna zaidi ya watu 280 waliothibitishwa kama ma-Hafidh wa Qur'an, huku wengine zaidi ya 1,500 wakiendelea na programu za kuhifadhi Qur'an, kwa mujibu wa taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Kiislamu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481311    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/01

IQNA – Mkutano maalum umefanyika mjini Tehran kujadili ‘Mpango wa Kiutendaji na Ramani ya Njia ya Kuwafundisha Waislamu Milioni 10 Kuhifadhi Qur’ani’.
Habari ID: 3481308    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/30

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran, Karim Zamani, asema kazi za Rumi, hasa Masnavi, zinaakisi kwa kina mafundisho ya Qur’ani Tukufu, kuanzia misingi ya itikadi hadi mtindo wa simulizi.
Habari ID: 3481305    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/30

IQNA – Wizara ya Wakfu na Mambo ya Kiislamu ya Qatar, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Qatar, imepanga kuandaa mikutano miwili ya kimataifa mapema mwezi Oktoba 2025.
Habari ID: 3481302    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/29

IQNA – Taasisi ya Mahd Qur'ani ya Iran imetoa vyeti 1,004 kwa wanafunzi waliokamilisha kuhifadhi sura za Qur'ani Tukufu na kuelewa maana ya aya zake katika kipindi cha miezi sita ya mwanzo ya mwaka wa sasa wa kalenda ya Kiirani (ulioanza Machi 21).
Habari ID: 3481301    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/29

IQNA – Toleo la kwanza la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani ya Iran ya “Zayin al-Aswat” (mapambo ya sauti) linatarajiwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qom, likijumuisha makundi matatu kuu, waandaaji walitangaza.
Habari ID: 3481298    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/28

IQNA-Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Tafsiri ya Qur’ani na Maandishi ya Kidini nchini Iran, Karim Dolati, ametangaza kuwa taasisi hiyo imekagua kati ya tafsiri 40 hadi 50 za Qur’ani Tukufu na kazi zinazohusiana katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
Habari ID: 3481292    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/27

IQNA- Kisa cha kweli cha  Alfred Huber ni simulizi ya mtu aliyesafiri kimwili na kiroho, akivuka dini, tamaduni na lugha, hadi alipogundua mwangaza wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481289    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/27

IQNA – Serikali ya Maldivi (Maldives) inakusudia kuanzisha matawi ya Kituo cha Qurani katika visiwa vyote vya nchi hiyo.
Habari ID: 3481284    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/26

IQNA – Wanazuoni wa Kijerumani walikuwa na hamu ya kujifunza Uislamu na Qur’ani Tukufu, na tangu karne ya 17, Wajerumani walianza kuchapisha Qur’ani nchini mwao ili kurahisisha masomo na tafsiri yake.
Habari ID: 3481279    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Sheikh Mahmoud Khalil al‑Hussary, mmoja wa maqari mashuhuri wa Misri, anakumbukwa kwa umahiri wake wa kusoma Qur’ani, huruma, na unyenyekevu.
Habari ID: 3481276    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/24

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
Habari ID: 3481275    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Waziri wa Mambo ya Kidini wa Pakistan ametoa mwaliko rasmi kwa wataalamu na wasomaji wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani yanayotarajiwa kufanyika nchini humo.
Habari ID: 3481274    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Dada wanne wa Kipalestina kutoka kijiji cha Deir al-Quds, kilichopo katika Mkoa wa Ramallah, Ukingo wa Magharibi, wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kwa moyo.
Habari ID: 3481272    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Mfalme Salman bin Abdulaziz ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW) barani Afrika imehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Habari ID: 3481271    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Kwa mwaname mmoja kutoka Iran ambaye ameweka juhudi kwa muda wa miongo miwili kuhifadhi Qur’ani Tukufu, kitabu hiki kitakatifu si tu maandiko ya kidini, bali ni mwongozo wa kibinafsi na chemchemi ya utulivu wa kina.
Habari ID: 3481269    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA – Waziri wa Wakfu na Masuala ya Dini wa Algeria amesisitiza umuhimu wa umakini mkubwa katika uchapishaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481267    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22