qurani tukufu - Ukurasa 2

IQNA

IQNA – Mufti Mkuu wa Al-Quds na ardhi za Palestina ameonya kuhusu kusambazwa kwa nakala ya Qur’ani Tukufu yenye hitilafu ya uchapaji katika aya moja.
Habari ID: 3482137    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/12

IQNA – Jumla ya wanafunzi 48 wa Qatar waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika robo ya kwanza ya mwaka 2026 walienziwa na kutunukiwa zawadi siku ya Jumatano katika hafla iliyofanyika Doha.
Habari ID: 3482131    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/09

IQNA – Makumbusho ya Kitaifa ya Ustaarabu wa Misri yamefanikiwa kurekebisha na kulinda baadhi ya nakala adimu za Qur’ani Tukufu zilizoandikwa kwa mkono.
Habari ID: 3482127    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08

IQNA – Kitengo cha Shughuli za Qur’ani kwa Njia ya Mtandaoni katika Kituo cha Utafiti na Tafiti za Qur’ani kinachohusishwa na Dar‑ul‑Quran ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) katika mji Karabala, Iraq kimetangaza kusajiliwa kwa khatma 1,605 za Qur’ani zilizofanyika kwa njia ya mtandaoni, zikishirikisha wanawake katika shule na makundi yanayohusishwa na kituo hicho.
Habari ID: 3482124    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/07

IQNA – Baadhi ya wanazuoni na maqari mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu wa Kiislamu katika siku za karibuni wametangaza msimamo wao wa kulaani vikali uvamizi ulioanzishwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482123    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/07

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 21
IQNA – Miongoni mwa matukio makubwa yaliyotokea kutokana na damu ya shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khamenei, ni kuibuka kwa kuhurumiana na umoja wa watu wa Iran katika kutetea utambulisho wa nchi yao, jambo ambalo linatokana na mapenzi na irada ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482122    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/06

IQNA – Umati mkubwa wa watu ulihudhuria hafla ya kufunga Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Tanzania, iliyofanyika jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili.
Habari ID: 3482121    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/06

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 20
IQNA- Mwenyezi Mungu anasema katika Aya ya 7 ya Surah Muhammad ya Qur’ani Tukufu kwamba: “Enyi mlioamini! Mkimsadia Mwenyezi Mungu, Atakusaidieni na Atathibitisha nyayo zenu.”
Habari ID: 3482120    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/05

IQNA-Mji mkuu wa Oman, Muscat, umeandaa mkutano wa kimataifa kuhusu tafsiri ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482119    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/05

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 19
IQNA – “Amr Jami’ (Jambo Kubwa au la Pamoja)” katika Qur’ani Tukufu ni kila kazi muhimu inayohitaji ushirikiano na uwepo wa watu; wala haifai kwa yeyote kuondoka mahali hapo bila idhini ya kiongozi.
Habari ID: 3482117    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/04

IQNA – Qari wa Qur’ani Tukufu kutoka Kuwait ameunga  mkono shambulio vita haramu vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuibua hasira kubwa na ukosoaji kutoka kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3482115    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/03

IQNA – Katika juhudi za kuinua umahiri wa kusoma na kuelewa Qur’ani Tukufu kwa mpangilio wa kitaasisi, Baraza la Kiislamu la Sarawak (SUC) nchini Malaysia linaendeleza upanuzi wa mtandao wa vituo vya “Rumah Ngaji,” likihama kutoka madarasa ya hapa na pale kwenda mpango ulioratibiwa katika ngazi ya jimbo zima.
Habari ID: 3482108    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/31

IQNA – Maktaba ya Taifa ya Tirana imeangazia turathi za Alawi yaani Imam Ali (AS) katika maadhimisho ya “Sultan Nowruz,” kwa kuonesha nakala adimu ya maandishi ya kale.
Habari ID: 3482107    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/31

IQNA – Qari mashuhuri kutoka Pakistan, Mohammad Davoud, amejiunga na kampeni ya Qur’ani iitwayo “Kuelekea Fath (Ushindi) wa Utawala wa Faqihi Mtawala.”
Habari ID: 3482106    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30

IQNA – Kitendo cha mtu mmoja kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu katika msikiti mmoja huko Brooklyn, Marekani  kimezua lawama kali, huku polisi wa New York (NYPD) wakichunguza tukio hilo kama uhalifu wa chuki.
Habari ID: 3482105    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 18
IQNA – Qur’ani Tukufu inataja dhana ya “wilayah ya waumini kwa wao kwa wao” na pia katazo la kuwafanya Watu wa Kitabu kuwa mawalii (walezi au washirika wa uongozi).
Habari ID: 3482103    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/29

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 17
IQNA – Wakati watu madhlumu wa Palestina na mataifa mengi ya Kiislamu wakiwa chini ya dhuluma na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, baadhi ya nchi za Kiarabu zimeimarisha uhusiano wao wa siri na utawala huo wenye laana na nuksi; tabia ambayo Qur’ani Tukufu imeiashiria kwa onyo kali sana.
Habari ID: 3482098    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 16
IQNA – Aya ya 39 ya Surah Al‑Hajj katika Qur’ani Tukufu inaeleza kwamba Waislamu wanapaswa kufanya yale yaliyo ndani ya uwezo wao, kisha wasubiri nusura ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482093    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/26

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 15
IQNA – Serikali ya Kiislamu haianzi vita dhidi ya yeyote, lakini ina wajibu wa kujibu uchokozi, fitina na vitendo vya kueneza hofu ili msaada wa Mwenyezi Mungu uweze kuifikia.
Habari ID: 3482089    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/25

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 14
IQNA-Kama ilivyokuwa kwa Nabii Ya‘qub (A.S.) alipoweka sharti la kuchukua ahadi thabiti mbele ya Mwenyezi Mungu kabla ya kumruhusu Benyamini aondoke, vivyo hivyo kuja kwa Mwokozi aliyeahidiwa kunahitaji ahadi nzito na ya kweli kutoka kwa Umma unaomsubiri.
Habari ID: 3482086    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/24