iqna

IQNA

qurani tukufu
Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 6 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478526    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Daud Kim, mwimbaji maarufu wa pop wa Korea Kusini na YouTuber, amesimulia namna alivyoukubali Uislamu kuwa muongozo katika maisha yake.
Habari ID: 3478522    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/16

Mwezi wa Ramadhani
Hili ni mara ya kwanza qiraa hii inasambazwa mitandanoni kwa ajili ya kuinua hali ya kiroho kwa waumini ulimwenguni.
Habari ID: 3478521    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/16

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani na qari wa Syria amesifu “Mahfel”, kipindi cha Televisheni cha Qur’ani kinachorushwa na Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, kwa kuhimiza watu kujifunza Qur’ani.
Habari ID: 3478519    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 4 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478518    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Duru ya mwisho ya toleo la 27 la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani Tukufu la Dubai (DIHQA) inaendelea katika mji huo wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi 70.
Habari ID: 3478517    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/15

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 3 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478515    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Ramadhani 1445 H
Ayatullah Sayyid Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislam mnamo Machi 13, siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1445 H, kama ilivyo ada kila mwaka wakati huu, alishiriki kwenye mahfali ya kushikamana na kuwa karibu na Qur'ani Tukufu iliyofanyika jijini Tehran. Hizi hapa ni picha za tukio hilo lililojaa nuru.
Habari ID: 3478507    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Ramadhani katika Qur’an/1
IQNA – Qur’ani Tukufu inataja neno Ramadhani mara moja na hilo lipo katika Aya ya 185 ya Surah Al-Baqarah.
Habari ID: 3478504    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya pili ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478500    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Qur'ani katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usomaji wa Qur'ani ni sanaa takatifu na inabidi lengo lake kuu liwe ni kuwafundisha watu na jamii maana na ujumbe uliomo kwenye Qur'ani na kuandaa mazingira ya kuzingatiwa aya za Kitabu hicho Kitakatifu kama ambavyo pia kilele cha istiqama ya wananchi wa Gaza kinatokana na kuielewa na kuifanyia kazi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478499    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Timu inayohusika katika utayarishaji wa "Mahfel", kipindi cha Televishecni cha Qur’ani cha Ramadhani nchini, imefanya juhudi za kuimarisha ubora wa kipindi hicho kat ika msimu wake wa pili.
Habari ID: 3478494    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Mtazamo wa Maadili Katika Qur'ani/ 5
IQNA - Akhlaki njema au tabia njema ni muhimu sana na ina athari nyingi chanya katika mahusiano ya watu na katika mwingiliano wa kijamii.
Habari ID: 3478490    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mmoja wa wataalam na majaji wa "Mahfel", kipindi cha Qur'ani kitakachorushwa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, anasema alishangazwa na ubora wa hali ya juu wa wageni katika msimu wa pili.
Habari ID: 3478487    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

"…Na unipe nguvu zinazo toka kwako zinisaidie." (Sura Al Israai Aya ya 80)
Habari ID: 3478477    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Waislamu Russia
IQNA – Hafidh wa Qur'ani kutoka Russia amesema Waislamu nchini humo hawana kikomo katika shughuli zao za Qur'ani.
Habari ID: 3478475    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha kuhifadhi Qur'ani na kufundisha sayansi ya Qur'ani kimezinduliwa huko Sirte, mji ulio kaskazini mwa Libya.
Habari ID: 3478474    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Nidhamu
IQNA - Qari maarufu nchini Misri amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa tabia yake isiyo ya kawaida alipokuwa akisoma Qur’ani Tukufu hivi karibuni.
Habari ID: 3478471    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Mtazamo wa Maadili Katika Qur'ani/ 3
IQNA-Aya za Qur'ani Tukufu na Hadithi zinatuhimiza tuepuke shubuha, kushuku na kutoaminiana. Kuwashuku au kuwa na dhana mbaya kuhusu wengine ni tabia mbaya ambayo inaweza kuwa na athari hasi kwa mtu na wale wanaohusishwa naye.
Habari ID: 3478462    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Kama ilivyokuwa miaka ya nyuma, Misri inapanga kutuma wasomaji Qur'ani na wahubiri katika nchi mbalimbali katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3478459    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06