qurani tukufu - Ukurasa 2

IQNA

IQNA – Kitabu kipya chenye tafakuri fupi 365 za kila siku kuhusu Qur’ani kimezinduliwa mjini Petaling Jaya, Malaysia, siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3481621    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Tayeb, Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, amesisitiza kuwa kuzingatia kuhifadhi Qur'ani Tukufu ni msingi wa kujenga kizazi kipya cha vijana wenye uwezo wa kubeba ujumbe wa wema, rehema na amani – kiini cha risala ya Uislamu kwa ulimwengu.
Habari ID: 3481620    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06

IQNA – Katika mahojiano ya mwaka 2015, Profesa Abdulaziz Sachedina, aliyewahi kufundisha masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha George Mason, Virginia, Marekani, alisema kuwa ujumbe wa Imam Khomeini (RA), uliotokana na Qur’ani Tukufu, ulikuwa wa kiulimwengu na uliwahusu Waislamu wote.
Habari ID: 3481617    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA – Bunge la Morocco limefanya kikao maalumu kujadili hali ya taasisi na vituo vya Qur’ani vilivyobobea nchini humo katika kuendeleza elimu ya wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481615    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimemuelezea marehemu qari mashuhuri Ustadh Abdul Basit Abdul Samad kuwa balozi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481613    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/04

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, hadhi ya wanawake katika Uislamu ni tukufu na ya juu mno na akaongeza kwamba: "tafsiri inayotoa Qur'ani Tukufu kuhusu utambulisho na shakhsia ya mwanamke ni ya juu zaidi kiutukufu na ya kimaendeleo zaidi."
Habari ID: 3481612    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/04

IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 ukifunguliwa Kuala Lumpur mwishoni mwa wiki hii, ukitoa jukwaa la mazungumzo kati ya ujuzi wa kielimu wa kiroho na vitendo vya kiviwanda.
Habari ID: 3481611    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/03

IQNA – Moja ya kumbukumbu za kipekee katika ulimwengu wa Qur’ani ni usomaji wa kihistoria wa qari mashuhuri wa Misri, marehemu Ustadh Abdul Basit Abdul Samad, katika Haram ya Imam Musa Kadhim (AS) mjini Kadhimiya, Baghdad, mwaka 1956.
Habari ID: 3481606    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA – Toleo la 21 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria limeanza rasmi Jumatatu.
Habari ID: 3481604    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA – Papa Leo XIV amehudhuria mkutano wa dini mbalimbali uliofanyika katika Uwanja wa Mashahidi jijini Beirut, ambapo walikusanyika mapatriaki wa Kikristo wa Lebanon pamoja na viongozi wa Kiroho wa Kiislamu wa madhehebu ya Sunni na Shia na halikadhalika dini ya Druze chini ya hema moja.
Habari ID: 3481603    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA – Umoja wa Makari na Wahifadhi wa Qur’ani Tukufu nchini Misri umetangaza kuundwa kwa kamati maalum itakayoshughulikia ufuatiliaji wa utendaji wa makari na kushughulikia malalamiko yanayohusu usomaji wao.
Habari ID: 3481602    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02

IQNA – Fainali ya mashindano ya kimataifa kuhifadhi Qur’ani kwa wanaume imeanza leo jijini Nairobi, Kenya.
Habari ID: 3481601    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/01

IQNA – Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri, amemkabidhi nakala ya Qur’ani Tukufu Papa Leo XIV, katika kikao chake na kiongozi wa Kanisa Katoliki aliyeko ziarani nchini humo.
Habari ID: 3481596    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/01

IQNA-Msikiti Mkuu wa Algiers umetangaza utayari wa kupokea wanafunzi wa kimataifa wa shahada ya uzamivu (PhD) katika Shule ya Juu ya Sayansi za Kiislamu (Dar-ul-Quran).
Habari ID: 3481593    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30

IQNA – Mohamed Ameur Ghedira alikuwa profesa mashuhuri katika Chuo Kikuu cha Lyon aliyetarjumu Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kifaransa.
Habari ID: 3481591    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30

IQNA – Wageni wa Maonyesho ya 48 ya Vitabu Kimataifa mjini Kuwait wamepewa zawadi ya nakala zaidi ya 5,000 za Qur'ani Tukufu. Banda la Wizara ya Mambo ya Kiislamu ya Saudi Arabia limesambaza nakala hizo, kwa mujibu wa taarifa ya Al-Madinah.
Habari ID: 3481590    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/30

IQNA – Toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani Tukufu na Sunna ya Sharjah limeingia hatua ya mwisho mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3481587    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/29

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ameeleza kuwa aya za Qur’ani Tukufu ni mwaliko wa tafakuri ya kina na mwanga wa hekima unaoweza kuangaza maisha na mwenendo wa binadamu.
Habari ID: 3481585    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/29

IQNA-Mkutano wa kielimu wa Qur’anI Tukufu uliopewa jina “Bibi Fatima Zahra (SA) na Sheria za Uteuzi wa Kimaumbile” umefanyika katika jimbo la Diyala, Iraq ukiratibiwa na Jumuia ya Kisayansi ya Qur’an chini ya usimamizi wa Haram ya Abbas (AS).
Habari ID: 3481583    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/28

IQNA – Marehemu Abdul Basit Abdul Samad, msomaji maarufu wa Qur’ani kutoka Misri na ulimwengu wa Kiislamu, ameheshimiwa katika kipindi cha televisheni cha Dawlet El Telawa nchini Misri
Habari ID: 3481572    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26