IQNA – Hafla maalum ya Qur'ani imefanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania, ikiweka pamoja Waislamu ambao wamewasikiliza Maqari mashuhuri kutoka Iran waliotambulika kupitia kipindi maarufu cha televisheni cha Mahfel.
Habari ID: 3480754 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28
Hija Katika Qur’ani /4
IQNA – Kuheshimu alama za ibada za Mwenyezi Mungu ni ishara ya usafi wa ndani wa nafsi na moyo wenye kumcha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480751 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/28
IQNA – Chuo cha Kimataifa cha Awqaf nchini Misri kimezindua kozi yake ya kwanza ya mafunzo kwa walimu wa Qur’an, ikilenga mbinu bora za kuhifadhi na kufundisha ndani ya madrasah za jadi.
Habari ID: 3480747 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/27
IQNA-Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu limefanyika jana Jumapili , Dar es Salaam Tanzania huku viongozi wa dini mbalimbali chini ya kauli mbiu 'Sauti ya Rehema'.
Habari ID: 3480744 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26
Hija katika Qur’ani /3
IQNA – Safa na Marwa si milima miwili tu iliyopo karibu karibu na Msikiti Mtakatifu wa Makka. Ni alama za ibada, za Tauhidi, na kujitolea. Sa’i, yaani kitendo cha kutembea au kukimbia baina ya milima hiyo miwili, ambacho Qur’ani imekitaja kuwa miongoni mwa Sha’a’ir Allah (alama za ibada za Mwenyezi Mungu), ni kitendo chenye uzito kinachorejea katika tukio la kihistoria.
Habari ID: 3480740 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/26
IQNA-Kongamano kubwa na la aina yake la Qur'ani Tukufu imefanyika katika mji wa pwani wa Tanga nchini Tanzania na kuwavutia hadhirina kutokana na usomaji wa kipekee wa Tajweed na wa kupendeza.
Habari ID: 3480738 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25
IQNA – Msanii mmoja kutoka Iran ameielezea namna uzuri wa kiroho wa Qur’an Tukufu unavyoendelea kumvutia na kumtia hamasa katika kazi yake ya sanaa ya kitamaduni ya tadhib au tazhib (mapambo ya Qur’an kwa dhahabu), ambayo ni miongoni mwa sanaa za Kiislamu za kale zinazotumika kupamba kurasa za Qur’an Tukufu.
Habari ID: 3480736 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25
Hija Katika Qur’ani/2
IQNA – Katika aya mbalimbali za Qur’ani, ibada za Hija kama Tawafu (kuzunguka Kaaba), kuchinja (udhiya), na nyinginezo, zimeelezwa kuwa sehemu ya ibada za mja kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480733 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/24
IQNA – Zeynab al-Sadat Savadkouhi, binti aliyehifadhi Qur’ani Tukufu, amebainisha jinsi kujikita kwake kwa kina katika kitabu kitakatifu kumeathiri kwa kiwango kikubwa maisha yake ya kitaaluma na binafsi.
Habari ID: 3480730 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/24
IQNA – Toleo la 30 la Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa limehitimishwa nchini Tanzania kwa hafla maalum ya kufunga, ambapo washiriki bora wa tukio hilo walitunukiwa.
Habari ID: 3480729 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/24
IQNA – Mashindano yajayo ya Qur’ani ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yatafanyika katika sehemu tatu kuu, na kwa mara ya kwanza yatafungua milango kwa washiriki wa kike.
Habari ID: 3480726 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike katika misikiti mitatu mikubwa kwenye mji mkuu.
Habari ID: 3480723 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/23
IQNA- Katika hafla ya kipekee iliyofanyika pembezoni mwa Kongamano la 30 la Qur'an Tukufu, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, Tanzania, Tafsiri mpya ya Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili imezinduliwa rasmi.
Habari ID: 3480722 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/22
IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa Qur’an kutoka nchini Iran na ndani ya Tanzania..
Habari ID: 3480721 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/22
Hija katika Qur'ani /1
IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3480719 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Mwanaume mmoja ameshtakiwa rasmi nchini Kosovo kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu miezi michache iliyopita.
Habari ID: 3480718 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu ya Misri ametangaza uzinduzi wa mpango wa majira ya kiangazi kwa watoto katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480715 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21
IQNA – Kundi la watu waliokamilisha kuhifadhi Qur'anI Tukufu kikamilifu wameenziwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott.
Habari ID: 3480713 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20
IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.
Habari ID: 3480712 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20
IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
Habari ID: 3480706 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19