iqna

IQNA

IQNA – Mwanazuoni na mwanaharakati kutoka Malaysia ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kuonesha mshikamano kwa vitendo badala ya maneno, akisisitiza kuwa Qibla ya pamoja inapaswa kuwa msingi wa mshikamano wa Ummah.
Habari ID: 3481275    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Waziri wa Mambo ya Kidini wa Pakistan ametoa mwaliko rasmi kwa wataalamu na wasomaji wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani yanayotarajiwa kufanyika nchini humo.
Habari ID: 3481274    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Dada wanne wa Kipalestina kutoka kijiji cha Deir al-Quds, kilichopo katika Mkoa wa Ramallah, Ukingo wa Magharibi, wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kwa moyo.
Habari ID: 3481272    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Mfalme Salman bin Abdulaziz ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Mtume (SAW) barani Afrika imehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Habari ID: 3481271    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/23

IQNA – Kwa mwaname mmoja kutoka Iran ambaye ameweka juhudi kwa muda wa miongo miwili kuhifadhi Qur’ani Tukufu, kitabu hiki kitakatifu si tu maandiko ya kidini, bali ni mwongozo wa kibinafsi na chemchemi ya utulivu wa kina.
Habari ID: 3481269    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA – Waziri wa Wakfu na Masuala ya Dini wa Algeria amesisitiza umuhimu wa umakini mkubwa katika uchapishaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481267    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/22

IQNA –Qari na Mtangazaji wa kipindi maarufu cha Qur’ani cha televisheni ya Iran, Mahfel, amesema kuwa kipindi hicho kimepata umaarufu mkubwa kimataifa, kikivutia watazamaji kutoka ulimwengu wa Kiislamu na hata katika maengine ya dunaini.
Habari ID: 3481263    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/21

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kuwa Qur’ani Tukufu haioni tofauti kati ya mataifa na tamaduni kuwa chanzo cha mizozo, bali huzitambua kama fursa ya ushirikiano na maelewano.
Habari ID: 3481256    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/20

IQNA – Katikati ya vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelea na mashambulizi yasiyokoma ya Israel dhidi ya Gaza, watoto wa Kipalestina waliopoteza makazi wanapata faraja kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu ndani ya kambi za wakimbizi.
Habari ID: 3481251    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/19

IQNA – Maandalizi ya toleo la 28 la Tuzo ya Qur’ani na Sunna ya Sharjah (1447H / 2025) yameanza rasmi katika mji wa Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3481247    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/17

IQNA – Video ya Tarteel ya Qur’an iliyosomwa na shahidi Hammam al-Hayya, mwana wa mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, Khalil al-Hayya, ambaye aliuawa shahidi hivi karibuni nchini Qatar, imesambazwa mtandaoni.
Habari ID: 3481244    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16

IQNA – Sheikh Abdel Fattah Taruti, qari mashuhuri wa Misri na mjumbe wa majopo ya majaji wa mashindano ya Qur’ani ya “Dawlat al-Tilawa”, amesema kwamba kila mshiriki katika mashindano hayo ni mshindi, hata ikiwa hatofika katika hatua ya mwisho.
Habari ID: 3481241    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16

IQNA – Kundi la wanawake Waislamu wanaojihusisha na harakati za kidini nchini Belarus limezindua mradi wa kipekee wa kueneza ujumbe wa Qur'an uitwao “Katika Njia ya Tabia Njema.”
Habari ID: 3481235    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/15

IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika Ukanda wa Gaza, ameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote.
Habari ID: 3481229    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14

IQNA – Mtume Muhammad (SAW), kipenzi cha Umma wa Kiislamu, alitoa mwongozo wa wazi kwa ajili ya kukuza roho na imani ya Waislamu kwa kusisitiza umuhimu wa kufahamu Qur’ani, kutafakari aya zake, na kushiriki katika vikao vya Qur’ani.
Habari ID: 3481225    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu ya Algeria imetangaza kuwa shughuli za Wiki ya 27 ya Kitaifa ya Qur’ani zitaanza Jumatatu, Septemba 15, katika mkoa wa Boumerdes.
Habari ID: 3481224    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW), yakielezwa kwa lugha ya leo, yanaweza kusaidia kuziba pengo kati ya zama za kale na maisha ya kisasa, sambamba na kukabiliana na tatizo la ujinga wa kidini, kwa mujibu wa mwanazuoni mmoja kutoka Iran.
Habari ID: 3481223    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/13

IQNA – Katika mtaa wa kihistoria wa Farangi Mahal mjini Lucknow, mahali muhimu katika harakati za India za utamaduni na uhuru, kuna hazina ya kipekee: nakala ya Qur'ani ya kipekee iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu miaka 340 iliyopita.
Habari ID: 3481221    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12

IQNA – Mtaalamu mstaafu wa Qur’ani kutoka Iran amependekeza kuundwa kwa muungano wa kimataifa wa wanazuoni wa Qur’ani ili kutetea kisheria haki za Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3481204    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/09

IQNA – Wenyeji kadhaa wa kipindi maarufu cha Mahfel kutoka Iran walialikwa kushiriki katika maadhimisho makubwa na ya muhimu zaidi ya kila mwaka ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad-un-Nabiinchini Pakistan.
Habari ID: 3481200    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/08