IQNA – Sheikh Ahmed Al-Maasrawi, ambaye ameishi Malaysia kwa miaka kadhaa, ametangaza kukamilisha mradi wake wa pamoja na Taasisi ya Uchapishaji wa Qur’ani ya Restu.
Habari ID: 3481171 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02
IQNA – Mufti wa New Zealand ameipongeza hafla ya Malaysia 'Quran Hour' yaani Saa ya Qur'ani kwa kuhamasisha Waislamu kuhusu Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481165 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31
IQNA – Ingawa Maktaba ya Vatican ni maktaba ya Kikristo, urithi wa Kiislamu unachukua nafasi maalum ndani yake na Misahafu (nakala za Qur'ani) inahifadhiwa katika maktaba hii.
Habari ID: 3481164 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31
IQNA – Juhudi za kuunda Bunge la Qur'ani la ulimwengu wa Kiislamu zinalenga kuunda jukwaa la kutatua matatizo ya Waislamu kwa kutumia misingi ya Qur'ani, amesema msomi mmoja nchini Iran.
Habari ID: 3481161 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/31
IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina na kitendo cha hivi karibuni cha kuchomwa motot nakala ya Qur’an Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3481160 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30
IQNA – Hujjatul-Islam Ali Taghizadeh, mkuu wa Taasisi ya Dar-ul-Quran ya Iran, amelaani vikali kitendo cha kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu kilichofanywa na mgombea wa bunge la Marekani, Valentina Gomez, akikitaja kama “uhalifu wa kuchukiza” unaofichua sura halisi ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3481155 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29
IQNA – Makumbusho ya Kiislamu ndani ya Msikiti wa Al-Aqsa yanahifadhi mkusanyiko wa kipekee wa nakala nadra za kihistoria za Qur'an Tukufu, kuanzia enzi za Umawiyah hadi Uthmaniyah.
Habari ID: 3481154 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza kuwa Siku ya Pili ya Kimataifa ya Khatm (Kuhitimisha) Qur'ani Tukufu itaadhimishwa siku ya Jumamosi, tarehe 30 Agosti.
Habari ID: 3481153 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29
QNA – Toleo la 19 la Tuzo ya Kimataifa ya Mohammed VI ya Kuhifadhi, Kusoma, Tajweed, na Tafsiri ya Qur'ani lilifunguliwa Jumanne, Agosti 26, mjini Rabat, Morocco.
Habari ID: 3481150 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28
IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Misimamo Mikali kimekemea vikali kitendo cha hivi karibuni cha kuchoma nakala ya Qur'ani kilichofanywa na mwanasiasa mmoja wa Marekani.
Habari ID: 3481147 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/28
IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu hiyo, mchezaji wa kimataifa kutoka Morocco, Mohamed Jaouab.
Habari ID: 3481125 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/23
IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Habari ID: 3481121 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22
IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya aya za Qur’ani na ramani za nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3481119 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22
IQNA – Saudi Arabia imetangaza washindi katika makundi matano ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yaliyofanyika mjini Makkah.
Habari ID: 3481116 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/21
Sayyid Muhammad Husaynipour, aliyeshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alishiriki katika msafara wa Qur’āni wa Arbaeen mjini Hillah, Iraq. Hii hapa klipu yake akisoma Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3481115 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/21
IQNA – Zaidi ya watoto 3,000 wamekusanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad kwa ajili ya kongamano la Qur’ani lililopewa jina “Malaika wa Muqawama (Upinzani)”, na kujaza eneo hilo tukufu kwa tilawa na sauti za imani.
Habari ID: 3481111 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20
IQNA – Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yanatarajiwa kufikia tamati kwa hafla maalum itakayofanyika mjini Makkah siku ya Jumatano.
Habari ID: 3481110 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20
QNA – Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen kutoka Iran, unaojulikana mwaka huu kama “Msafara wa Imam Ridha (AS)”, ulianza shughuli zake katika njia ya Arbaeen tarehe 8 Agosti 2025.
Habari ID: 3481109 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/20
IQNA – Jumapili, mji wa Banihal katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India uliandaa Mkutano wa Pili wa Qur’ani ya Braille kwa watu wenye ulemavu wa kuona.
Habari ID: 3481106 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19
IQNA – Mchujo wa awali wa usomaji kwa ajili ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu umekamilika, ambapo kazi kutoka nchi 36 zimepitiwa.
Habari ID: 3481104 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/19