IQNA – Nigeria inapanga kuandaa mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu na kushirikisha maqari wa Qur’ani kutoka nchi 20.
Habari ID: 3480632 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03
IQNA – Zaidi ya nakala 6,000 za Qur’ani Tukufu zimegawiwa kwa wageni katika Maonyesho ya 39 ya Vitabu ya Kimataifa ya Tunisia.
Habari ID: 3480631 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03
IQNA – Katika sherehe iliyofanyika Tehran Alhamisi, Shule ya Kitaifa ya Weledi wa Qiraa ya Qur'ani ilizinduliwa.
Habari ID: 3480629 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/03
IQNA – Mtaalamu wa masuala ya kimataifa ameuelezea mpango wa kuanzishwa kwa bunge la Qurani la ulimwengu wa Kiislamu kama ramani ya njia kwa Ummah wa Kiislamu kuelekea umoja.
Habari ID: 3480624 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Mtoto wa Misri aliyezaliwa bila pua na macho amefanikiwa kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu
Muhammad, ambaye ana umri wa miaka 11, pia ana kipaji cha kipekee katika kusoma Qur’ani kwa kuiga mitindo ya maqari mashuhuri.
Habari ID: 3480621 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/01
IQNA – Semina ya mtandaoni imepangwa kufanyika usiku wa leo kumkumbuka marehemu Abdolrasoul Abaei, msomi mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran.
Habari ID: 3480617 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA – Wanaharakati wa Qur'ani kutoka nchi 50 hadi sasa wamejisajili kushiriki katika toleo la nne la shindano la kimataifa la Qur'ani huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480616 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA – Mkutano wa wasomaji wa Qur'ani (qaris) na wahifadhi wa Qur'ani kutoka nchi 18 ulifanyika huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480610 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Qur'ani Tukufu inashughulikia kwa ukamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu, amesema afisa wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar.
Habari ID: 3480605 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
IQNA – Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, alifungua rasmi Mashindano ya Kitaifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur'ani kwa mwaka 1446H/2025.
Habari ID: 3480604 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28
IQNA – Mwanakaligrafia kutoka Bahrain amesema kuwa wazo lake la kuandika Qur'ani kwa mkono limeongeza idadi ya watu wanaovutiwa na sanaa ya kaligrafia ya Kiarabu.
Habari ID: 3480603 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27
IQNA – Akitoa wito wa kuendeleza kanuni za Qur'an na Sunnah, mwanazuoni mmoja wa Kiislamu amesema kuwa Qur'an na Sunnah zinahimiza uvumilivu, amani na undugu.
Habari ID: 3480600 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito wa kueneza mafundisho ya Qur'ani Tukufu katika jamii huku akipongeza juhudi za shughuli za Qur'ani zilizofanyika nchini Iran wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480598 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26
IQNA – Kozi ya kina ya mapitio kwa wanaohifadhi Quran Tukufu ilifanyika katika Msikiti wa Mtume, Al Masjid An Nabawi, huko Madina.
Habari ID: 3480597 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/26
IQNA – Mwanafasihi wa masomo ya Qur'ani amesisitiza kwamba lengo kuu la Qur'ani ni kubadilisha matendo na tabia ya waumini, si tu kusomwa tu.
Habari ID: 3480590 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA – Mvulana Mmalaysia mwenye tatizo la kiakili lijulikanalo kama usonji(autism) ameweza kuhifadhi Qur'ani nzima kwa kipindi kifupi cha miezi minne pekee.
Habari ID: 3480589 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/24
IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) ametaja diplomasia ya Qur'ani kama chombo kikuu cha kuleta Ummah Wahida (Ummah wa Kiislamu ulioungana).
Habari ID: 3480588 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/24
IQNA – Sherehe ilifanyika katika Mkoa wa Muharraq, Bahrain siku ya Jumatatu kwa ajili ya kuwaenzi vijana wa Bahrain kwa shughuli zao za Qur’ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480586 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23
IQNA – Sayed Mekawy alikuwa mtu mashuhuri wa Misri katika nyanja za Ibtihal (nyimbo za kidini) na muziki, ambaye urithi wake wa kisanaa na kiroho uko hai miaka 28 baada ya kifo chake.
Habari ID: 3480583 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23
IQNA – Washindi wa mashindano ya kimataifa ya kukumbuka Qur’ani kwa wanafunzi wa kigeni wa Al-Azhar wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika nchini Misri mwishoni mwa wiki. Shirika la Kimataifa la Wahitimu wa Al-Azhar lilipanga sherehe hiyo kwa kushirikiana na Taasisi ya Hisani ya Abu Al-Ainain.
Habari ID: 3480582 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22