IQNA – Qari kutoka Iraq, Indonesia na Afghanistan walishiriki katika siku ya nane ya toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed, inayofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482005 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA – Kituo cha Dar‑ul‑Qur'an cha Wanawake, kinachohusiana na Idara ya Usimamizi wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS), kinaandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa wasichana wadogo katika mji mtukufu wa Najaf.
Habari ID: 3482003 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Nane ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481995 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26
IQNA – Mkurugenzi wa Sehemu ya Akili Unde au Akili Mnemba (Artificial Intelligence) na Teknolojia za Maarifa ya Qur’ani katika Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran amesema kuwa, licha ya uwepo mdogo wa makampuni ya maarifa, mchango wao ni wa kimkakati na wenye athari kubwa.
Habari ID: 3481993 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25
IQNA – Mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Qatar yanaendelea kushuhudia ushiriki mkubwa wa raia na wakazi, wanaume na wanawake, katika mazingira yaliyojaa unyenyekevu na utukufu wa Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481991 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Saba ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481988 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Sita ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481987 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/24
IQNA – Katika tukio nadra linaloonesha upanuzi unaokua wa elimu ya Qur’ani katika ngazi ya kimataifa, mji mkuu wa Rwanda uliandaa hafla ya kuhitimu wahifadhi wa Qur’ani 70,000, wanaume na wanawake.
Habari ID: 3481968 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/21
IQNA – Mpango mkubwa nchini Malaysia wa kusambaza nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu kupitia mfumo wa waqf unakaribia kufikia lengo lake la mwisho kwa kasi kubwa.
Habari ID: 3481964 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA – Ataba (uongozi na usimamizi) wa Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, Iraq, umetangaza kukamilika kwa maandalizi yote ya kuandaa hafla ya Khatm Qurani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481963 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA – Wakati ustadi wake wa kuchezesha mpira unawatia mshangao mabeki uwanjani, Amad Diallowinga wa timu ya Ligi Kuu ya Uingereza, EPL, Manchester United anabainisha kuwa chanzo chake cha kweli cha nguvu na uthabiti kinatokana na imani yake.
Habari ID: 3481962 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Pili ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481960 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amehudhuria kikao cha kiroho cha Qur'ani katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, akijumuika na maqarii na wasomaji mashuhuri wa Iran na kimataifa wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3481959 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA — Video iliyosambaa siku ya Jumanne inaonyesha mlowezi Mzayuni akichoma nakala ya Qur’ani Tukufu katika mji wa al‑Quds (Jerusalem), kitendo cha makusudi cha kudharau kitabu kitakatifu cha Waislamu ambacho kinahatarisha kuchochea mvutano mkubwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481955 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18
IQNA — Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuwatuma wasomaji wa Qur’ani na maimamu katika nchi 22 wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481953 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18
IQNA –Sambamba na kuonekana kwa mwezi mwandamo unaoashiria kuingia kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, watazamaji nchini Qatar na nje ya nchi hiyo watapata mwandani mpya wa kiroho.
Habari ID: 3481949 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/17
IQNA – Mkuu wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran amesema kuwa kuendeleza mtindo wa maisha wa Kiirani-Kiislamu na kuimarisha diplomasia ya Qurani ni miongoni mwa malengo makuu ya toleo hili.
Habari ID: 3481948 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/17
IQNA – Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) limesambaza kionjo rasmi cha msimu mpya wa kipindi cha televisheni cha “Mahfel”, ambacho hurushwa nchini Iran wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481943 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/16
IQNA – Hafla maalumu ilifanyika nchini Yemen kuwaenzi wanafunzi 200 waliokamilisha masomo yao katika vikao vya Qur’ani vilivyoendeshwa misikitini katika kitongoji cha Madhbah, Wilaya ya Maeen.
Habari ID: 3481939 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15
IQNA – Mutawalli wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) amesisitiza kuwa kulea na kukuza haiba au shakhsia ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu ni msingi wa kujenga jamii kamilifu na yenye fadhila.
Habari ID: 3481935 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14