iqna

IQNA

qurani tukufu
Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya pili ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478500    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Qur'ani katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usomaji wa Qur'ani ni sanaa takatifu na inabidi lengo lake kuu liwe ni kuwafundisha watu na jamii maana na ujumbe uliomo kwenye Qur'ani na kuandaa mazingira ya kuzingatiwa aya za Kitabu hicho Kitakatifu kama ambavyo pia kilele cha istiqama ya wananchi wa Gaza kinatokana na kuielewa na kuifanyia kazi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478499    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Timu inayohusika katika utayarishaji wa "Mahfel", kipindi cha Televishecni cha Qur’ani cha Ramadhani nchini, imefanya juhudi za kuimarisha ubora wa kipindi hicho kat ika msimu wake wa pili.
Habari ID: 3478494    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/12

Mtazamo wa Maadili Katika Qur'ani/ 5
IQNA - Akhlaki njema au tabia njema ni muhimu sana na ina athari nyingi chanya katika mahusiano ya watu na katika mwingiliano wa kijamii.
Habari ID: 3478490    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Qur'ani Tukufu katika Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mmoja wa wataalam na majaji wa "Mahfel", kipindi cha Qur'ani kitakachorushwa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, anasema alishangazwa na ubora wa hali ya juu wa wageni katika msimu wa pili.
Habari ID: 3478487    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

"…Na unipe nguvu zinazo toka kwako zinisaidie." (Sura Al Israai Aya ya 80)
Habari ID: 3478477    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Waislamu Russia
IQNA – Hafidh wa Qur'ani kutoka Russia amesema Waislamu nchini humo hawana kikomo katika shughuli zao za Qur'ani.
Habari ID: 3478475    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha kuhifadhi Qur'ani na kufundisha sayansi ya Qur'ani kimezinduliwa huko Sirte, mji ulio kaskazini mwa Libya.
Habari ID: 3478474    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Nidhamu
IQNA - Qari maarufu nchini Misri amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa tabia yake isiyo ya kawaida alipokuwa akisoma Qur’ani Tukufu hivi karibuni.
Habari ID: 3478471    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Mtazamo wa Maadili Katika Qur'ani/ 3
IQNA-Aya za Qur'ani Tukufu na Hadithi zinatuhimiza tuepuke shubuha, kushuku na kutoaminiana. Kuwashuku au kuwa na dhana mbaya kuhusu wengine ni tabia mbaya ambayo inaweza kuwa na athari hasi kwa mtu na wale wanaohusishwa naye.
Habari ID: 3478462    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Kama ilivyokuwa miaka ya nyuma, Misri inapanga kutuma wasomaji Qur'ani na wahubiri katika nchi mbalimbali katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3478459    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/06

Qurani Tukufu
IQNA - Waziri anayemaliza muda wake wa masuala ya kidini wa Pakistan amesisitiza wajibu wa kila Muislamu mwanamume na mwanamke kueneza elimu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478454    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05

Mtazamo wa Maadili Katika Qur'ani/ 2
IQNA – Wivu au uhasidi ni tabia mbaya ambayo husababisha mtu kutaka wengine kupoteza baraka zao. Kwa hakika wivu ulikuwa sababu ya mauaji ya kwanza na pia mauaji ya kwanza baina ya ndugu wa familia moja katika historia ya wanadamu.
Habari ID: 3478452    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05

Utamaduni
IQNA – Jumba la Makumbusho ya Qur'ani la "Bait Al-Hamd" limezinduliwa nchini Kuwait kwa lengo la kukuza Qur'ani Tukufu na maarifa ya Kiislamu.
Habari ID: 3478451    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/04

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Miongoni mwa vitu vinavyoonyeshwa kwenye Maktaba ya Kitaifa ya Qatar ni nakala adimu ya Qur'ani Tukufu kutoka Morocco.
Habari ID: 3478442    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Harakati za Qur'ani Misri
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri inapanga kuzindua msafara wa wasomaji Qur'ani Tukufu kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Msafara huo utaundwa na Idara ya Wakfu ya Mkoa wa Alexandria.
Habari ID: 3478441    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Misikiti nchini Misri inatayarishwa kuwakaribisha waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478436    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Waislamu Russia
IQNA - Kijana mmoja amehukumiwa kifungo cha miaka 3.5 jela nchini Russia kwa kujunjia heshima nakala Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478430    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wizara ya Wakfu ya Misri iliandaa kongamano la Qur'ani katika misikiti 66 kote nchini.
Habari ID: 3478426    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/28

Qur'ani Tukufu barani Afrika
IQNA-Video iliyosambazwa na mtalii wa Morocco, ambapo watoto wa Kiafrika wanasoma aya za Sura Maryam kwa njia nzuri na ya kipekee, imewavutia wengi katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3478425    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/28