qurani tukufu - Ukurasa 4

IQNA

IQNA – Kwa mnasaba wa Siku ya Shiraz, hafla maalumu ya kubadilisha nakala ya Qur’ani Tukufu katika Lango la Qur’ani la jiji hilo la kusini mwa Iran ilifanyika mnamo Mei 5, 2026, kwa kuhudhuriwa na viongozi waandamizi wa mkoa na wa halmashauri ya jiji.
Habari ID: 3482212   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07

IQNA – Katika nyumba ya kawaida na tulivu katika moja ya mitaa ya Sana’a, mji mkuu wa Yemen, ilianza safari ya Bilal Mahdi Al-Sharaabi, kijana wa Yemen ambaye sasa ana umri wa miaka kumi na minne.
Habari ID: 3482209   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/06

IQNA – Jumba la Makumbusho ya Qur’ani Tukufu huko Makkah linaonyesha nakala ya Qur'ani au Msahafu wa kihistoria kutoka karne ya 12 Hijiria ulioandikwa kwenye mabamba ya shaba.
Habari ID: 3482207   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/06

IQNA – Hafla ya utoaji vyeti imefanyika katika Msikiti wa Jamia wa ‘Asr Hassanil Bolkiah nchini Brunei kwa wanafunzi wa madarasa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482206   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/06

IQNA – Jopo la Kisayansi la Qur’ani Tukufu limefanya mkutano uliowakutanisha walimu wa mradi wa hifdhi ya Qur’ani wa jopo hilo kwa ajili ya kuchunguza mbinu na mikakati ya kuuboresha mradi huo mjini Baghdad, Iraq.
Habari ID: 3482204   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/05

IQNA – Sheikh Khaled Al‑Jandi, mjumbe wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu nchini Misri, amesema kuwa, kwa mtazamo wake, Aya ya Kursi (Ayat al‑Kursi) ndiyo aya kuu na tukufu zaidi katika Qur’ani Tukufu, ingawa Qur’ani yote kwa ujumla ni neno la Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482203   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/05

IQNA – Mji wa Aden, Yemen umeshuhudia hafla adhimu ya Qur’ani Tukufu iliyowaleta pamoja wanawake waliobobea katika hifdhi, ambapo walifanikiwa kuisoma Qur’ani Tukufu yote kwa kuhifadhi (kwa moyo) ndani ya kikao kimoja.
Habari ID: 3482198   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/04

IQNA – Kituo kipya cha Al‑Azhar cha kusomwa Qur’ani kwa njia ya mtandaoni, ambacho bado kiko katika siku zake za mwanzo za utendaji, kimepokelewa kwa mwitikio mpana na ushiriki mkubwa kutoka kwa maqari mashuhuri wa Qur’ani nchini Misri.
Habari ID: 3482194   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/03

IQNA-Pendekezo la kuanzishwa kwa Baraza la Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Malaysi, lililokubaliwa katika Kongamano la Elimu la Bumiputera 2026 lililofanyika mapema wiki hii, litawasilishwa kwa ajili ya kuzingatiwa na kupitishwa katika kikao cha Baraza la Mawaziri kitakachofanyika Jumatano.
Habari ID: 3482193   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/03

IQNA-Wazazi  Waislamu nchini Marekani sasa wanatilia mkazo zaidi suala la kuhifadhi Qur’an, jambo linalojulikana kama Hifdh.
Habari ID: 3482186   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01

IQNA – Idara maalumu ya uchapaji wa Qur’ani Tukufu imezinduliwa rasmi katika Wizara ya Awqaf, Mambo ya Kiislamu na Maeneo Matakatifu ya Jordan.
Habari ID: 3482183   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30

IQNA – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Ali al‑Sistani, amepongeza uzinduzi wa toleo la kwanza la Mus’haf wa Najaf, chini ya usimamizi wa Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3482182   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30

IQNA – Zaidi ya karne nne tangu ichapishwe, tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kijerumani sasa inavutia hisia za wageni katika mji wa Makka.
Habari ID: 3482180   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29

IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani Tukufu kutoka Lebanon amekosoa misimamo ya qari mmoja kutoka Kuwait akisema kuwa haina uhusiano na mafundisho ya Qur’ani.
Habari ID: 3482177   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29

IQNA – Mashindano ya Saba Ya Kitaifa la Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Ghana lilifanyika mwishoni mwa juma lililopita katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3482174   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28

IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28

IQNA – Hafla maalumu imefanyika katika mji wa Istanbul, Uturuki, kwa ajili ya kuwatunuku zaidi ya wahifadhi 300 wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482168   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27

IQNA – Kozi za mafundisho ya Qur’ani zimeanza tena nchini Lebanon kufuatia juhudi za Kituo cha Kimataifa cha Uenezi wa Qur’ani kinachohusishwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imamu Hussein (AS) huko Iraq. Kituo hicho kimetangaza kuwa kozi hizo zimeanza upya kupitia matawi yake nchini Lebanon pamoja na kituo cha Dar al-Qur’ani cha Imamu Ali (AS), baada ya mafanikio ya programu za Qur’ani katika vijiji na miji kadhaa ya Lebanon.
Habari ID: 3482167   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27

IQNA- Kampeni ya kiroho ijulikanalo kama “Kuelekea Ushindi kwa Uongozi wa Mwenyezi Mungu(Wilayah)” limeandaliwa na IQNA kwa mnasaba wa kuchaguliwa kwa Kiongozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, pamoja na kiapo cha utii kilichotolewa kwake.
Habari ID: 3482166   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26

IQNA – Sheikh Osama Karbalayi, msomaji wa kimataifa wa Qur’ani kutoka Iraq, amesisitiza kuwa misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al‑Afasi, katika kuhalalisha uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inapingana na kiini cha mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482164   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26