iqna

IQNA

qurani tukufu
Waislamu Mauritania
NOUAKCHOTT (IQNA) - Mauritania imeanza kusambaza nakala 300,000 za Qur'ani Tukufu katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3477667    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/29

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
AMMAN (IQNA) – Hafidha wa Qur'ani Tukufu kutoka Jordan aliyeshinda Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai kwa wanawake anasema Qur'ani Tukkufu itasalia katika mioyo ya Waislamu licha ya vitendo vyote vya kufuru dhidi yake.
Habari ID: 3477661    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/28

Wasomaji bingwa wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) – Visomo vya Qur’ani vya msomaji maarufu wa Misri Sheikh Sheikh Abul Ainain Shuaisha vilitoka kwenye kina cha nafsi yake na ndio maana viligusa nyoyo za wasikilizaji.
Habari ID: 3477657    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Harakati za Qur'ani Tukufu
SHARJAH (IQNA) – Duru ya pili ya Kongamano la Kimataifa la Qur’ani lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Al Qasimia lilimalizika mjini Sharjah, Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3477644    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24

Diplomasia
NEW YORK (IQNA) - Vitendo kama vile kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu vinatumiwa na magaidi kwa maslahi yao, mkuu wa sera za kigeni wa EU alisema.
Habari ID: 3477634    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba, maadui hawatafanikiwa kupotosha uhakika wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477623    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/20

Harakati za Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji wa Itsa, Jimbo la Faiyum nchini Misri, kuwaenzi wahifadhi 989 wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477613    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, lobi ya Wazayuni na waungaji mkono wake duniani kote wanataka kuyatenganisha mataifa ya Kiislamu na Qur'ani Tukufu na vilevile Mtume Muhammad (SAW) ili kuendeleza ajenda zao wenyewe.
Habari ID: 3477610    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Ulimwengu wa Kiislamu
RABAT (IQNA) – Klipu ya video inayoonyesha usomaji wa Qur’ani Tukufu watoto nchini Morocco katikaeneo lililokumbwa na tetemeko la ardhi lililosababishauharibifu mkubwa hivi majuzi imesambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3477595    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/14

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)--Waziri wa Sheria wa Uswidi, Gunnar Stromer, ameonya kuhusu hali ya hivi sasa ya usalama nchini mwake na kusema kwamba hali yetu ni ya giza sana hivi sasa baada ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477531    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa / 25
TEHRAN (IQNA) – Hakuna anayethamini kwa kweli umuhimu wa muda kama mtu aliyepewa jukumu la kutegua bomu kwa sababu kila sekunde ina umuhimu mkubwa kwake na inaweza kumaanisha tofauti kati ya maisha na kifo.
Habari ID: 3477517    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Umrah 1445
MAKKA (IQNA)- MECCA (IQNA) – Makampuni yanayotoa huduma wa waumini wanaoshiriki katika ibad ya Umra wanapaswa kutekeleza majukumu kadhaa.
Habari ID: 3477508    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/28

Teknolojia katika Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) – Msomi mmoja wa Pakistani ametengeneza programu ya kidijitali ya Qur'ani Tukufu ambayo hurahisisha kupata na kusoma Qur'ani Tukufu. Programu hiyo aidha inahakikisha kuwa uchapishaji Qur'ani Tukufu unafanyika bila makosa.
Habari ID: 3477507    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/28

Ifahamu Qur'ani Tukufu / 26
TEHRAN (IQNA) – Kutoa mwanga juu ya siri ambayo watu hawana ujuzi nayo ni jambo la kupendeza na kinachofanya hili kuwa la kupendeza zaidi ni kufahamu kwamba kuna kitabu ambacho karne 14 zilizopita kilitoa taswira ya kile wanasayansi wamegundua hivi karibuni.
Habari ID: 3477506    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/27

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
RABAT (IQNA) - Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi na Utamaduni Duniani (ISESCO) lilianzisha kampeni yenye lengo la kukabiliana na dhulma za Qur'ani katika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3477498    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/26

Turathi ya Uislamu
CAPE TOWN (IQNA) – Msahafu (Nakala ya Qur'ani Tukufu) kongwe zaidi nchini Afrika Kusini, ambayo imehifadhiwa katika eneo salama katika Msikiti wa Auwal wa Cape Town, ni hazina ya thamani kwa Waislamu wanaoithamini kama sehemu ya urithi wao tajiri.
Habari ID: 3477493    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya wasomaji Qur'ani Tukufu kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu katika jumbe tofauti za video wamelaani vitendo vya kuvunjia heshima Qur’ani Tukkufu barani Ulaya, wakisisitiza kwamba hatua hizo zitashindwa kudhoofisha hadhi tukufu ya Kitabu hicho Kitukufu.
Habari ID: 3477485    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Mbinu ya Elimu ya Manabii; Musa / 21
TEHRAN (IQNA) - Kusamehe na kusamehe dhambi au makosa ya mtu licha ya kuwa na uwezo wa kulipiza kisasi ni sira au sera ya manabii na watu wema.
Habari ID: 3477461    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19

Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Polisi huko Gothenburg, Uswidi, wanachunguza kesi ya uhalifu wa chuki baada ya msikiti mmoja kupokea bahasha ya kutisha iliyokuwa na unga mweupe siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477460    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/19

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
KUWAIT CITY (IQNA) - Kaimu Katibu Mkuu wa Sekretarieti Kuu ya Awqaf Hanan Ali alitangaza uzinduzi wa toleo la 26 la Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani Tukufu kwa Kuwait kwa mwaka wa 2023.
Habari ID: 3477452    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/17