iqna

IQNA

Tuwajue Wasomaji Qur'ani
IQNA – Qari wa Misri, Shahat Muhammad Anwar, alikuwa mmoja wa wasomaji maarufu zaidi wa Qur'ani Tukufu, hadi aliitwa 'Amir al-Nagham (mfalme wa sauti ya usomaji). 
Habari ID: 3480040    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12

IQNA – Tamasha la 10 la Kimataifa la Usomaji Qur'ani kwa Tajweed litafanyika Casablanca, Morocco, mwishoni mwa mwezi huu.
Habari ID: 3480028    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10

Qur'ani Tukufu
IQNA – Kitabu kinachoitwa "Kalam Mubin: Nyakara za Kale Zaidi za Misahafu (Nakala za Qur’ani); Nyaraka za Qur’ani za Maandishi ya Hijazi," kimezinduliwa katika hafla huko Tehran.
Habari ID: 3480027    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10

IQNA – Mkutano wa mashauriano kati ya Dar ol-Quran wa Haram Takatifu wa Imam Hussein (AS) na wanazuoni wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu jijini Najaf ulifanyika ili kujiandaa kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480026    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10

IQNA – Washindi wa toleo la 32 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman walikubaliwa katika hafla siku ya Jumatano.
Habari ID: 3480023    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/09

IQNA – Kozi ya pili ya mafunzo kuhusu "Misingi ya Vyombo vya Habari vya Qur'ani" ilifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480021    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08

Shughuli za Qur'ani
IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imekuwa ikifanya juhudi za kukuza elimu ya Qur'ani kwa kufufua Maktab (shule za jadi za Qur'ani) nchini.
Habari ID: 3480020    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08

Harakati za Qur'ani
IQNA – Waziri wa Wakfu, Masuala ya Kiislamu, na Maeneo Matakatifu wa Jordan, Mohammad Al-Khalayleh, ametangaza uzinduzi wa vituo vya kuhifadhi Qur'ani kwa wanafunzi wakati wa likizo ya shule ya majira ya baridi ya 2024/2025.
Habari ID: 3480019    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08

Harakati za Qur'ani
IQNA – Waziri wa Wakfu Algeria amesema kuwa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya ishara itatolewa kwa wale wenye ulemavu wa kusikia nchini humo.
Habari ID: 3480018    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08

Harakati za Qur'ani
IQNA – Mkutano ulifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq, wikendi hii iliyopita kujadili maandalizi ya mwisho kwa ajili ya “Siku ya Dunia ya Qur'ani”.
Habari ID: 3480016    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/07

Harakati za Qur'ani
IQNA – Toleo la 22 la mashindano ya kitaifa ya Qur'ani nchini Mauritania lilihitimishwa kwa hafla wikendi hii.
Habari ID: 3480015    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/07

IQNA - Idara kadhaa za wakfu na masuala ya dini nchini Algeria zinafanya kazi ya kufungua tena shule za Qur'ani na Maktab (vituo vya jadi vya kusoma Qur’ani) wakati wa likizo za majira ya baridi ili kuruhusu wanafunzi kutumia muda huu kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3480014    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06

IQNA - Wanaharakati wa Kiamazigh wamekaribisha mpango wa Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Morocco wa kutayarisha tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kiamazigh. Jitihada za kukuza lugha ya Kiamazigh katika Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ni hatua muhimu na ya maana kuelekea kuamsha utambulisho rasmi wa Kiamazigh, alisema Abdullah Bu Shatart, mwanaharakati.
Habari ID: 3480010    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/06

IQNA - Waziri wa Masuala ya Dini na Wakfu wa Algeria amesisitiza mafanikio ya nchi hiyo katika sekta ya elimu ya Qur’ani.
Habari ID: 3480007    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/05

IQNA - Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimetangaza shindano la kuhifadhi Qur’ani miongoni mwa wanafunzi wake katika vitivo vya chuo hicho jijini Cairo na maeneo mengine ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480006    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/05

IQNA – Mtaalamu aliyehudumu katika jopo la majaji katika sehemu ya maarifa ya Mashindano ya 47 ya Kitaifa ya Qur'ani amesitiza haja ya kupanga maisha kulingana na mafundisho ya Qur'ani Tukufu na mafundisho mengine ya Kiislamu.
Habari ID: 3480001    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/04

Jinai za Israel
IQNA – Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vilizuia wito wa sala kusikika katika Msikiti wa Ibrahim mara 48 mwezi Desemba, Wizara ya Misaada na Masuala ya Kidini Palestina ilifichua jana.
Habari ID: 3479999    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03

Harakati za Qur'ani
IQNA – Baraza la Wataalamu wa Kiislamu la Kosovo limezindua toleo jipya la tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kialbania.
Habari ID: 3479994    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/02

Harakati za Qur'ani
IQNA – Mamlaka ya Jumla kwa Huduma za Masuala ya Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid Al Haram) na Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) jijini Madina imetangaza uzinduzi vikao maalumu vya  msimu wa baridi vya  kusoma na kuhifadhi Qur'ani katika Msikiti Mkuu wa Makka..
Habari ID: 3479989    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01

IQNA – Wanaume na wanawake mia tano waliohifadhi Qur’ani Tukufu kutoka mikoa mbalimbali ya Algeria wamekusanyika kufanya Khatm Qur’ani katika kikao kimoja kama sehemu ya mpango wa kitaifa wa Qur’ani. Khatm Qur’ani ni usomaji wa Qur’ani kutoka mwanzo hadi mwisho.
Habari ID: 3479982    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31