IQNA – Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na vurugu, Serikali ya Jimbo la Kano nchini Nigeria imeandaa kikao cha dua maalum mwishoni mwa wiki, ikiwakusanya Maqari au wasomaji wa Qur’ani Tukufu wapatao 4,444 kuomba msaada wa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya amani na usalama katika jimbo lote na nchi zima kwa ujumla.
Habari ID: 3481636 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09
IQNA – Katika vipindi vipya vya shindano la vipaji vya Qur’ani nchini Misri linaloitwa “Dawlat al-Tilawa” , washiriki walionyesha uwezo wao wa kusoma na kuhifadhi aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481634 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09
IQNA – Sheikh Ahmed Mansour ni qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri anayehudumu katika kamati ya majaji wa mashindano ya 32 ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3481631 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08
IQNA – Msichana Muirani ambaye amekamilisha kuhifadhi Qur'ani yote ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya Qur'an kwa walio na ulemavu wa macho katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3481630 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08
IQNA – Toleo la tisa la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani na Utenzi wa Kidini la Port Said linatarajiwa kuanza mwishoni mwa Januari 2026 likihusisha ushiriki wa zaidi ya nchi 30, waandaaji wametangaza.
Habari ID: 3481628 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/08
IQNA – Jukwaa la kimataifa litakalojadili mkutano wa hivi karibuni wa tafiti za Qur’ani uliofanyika Los Angeles litafanyika mtandaoni leo na Jumamosi ijayo kupitia jukwaa la Zoom.
Habari ID: 3481626 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 umefunguliwa Jumapili jijini Kuala Lumpur kwa wito mkali kwa viongozi wa Kiislamu na jamii kugeuza thamani za Qur’ani kuwa mikakati halisi ya kijamii na kiuchumi, ukisisitiza nafasi ya Kitabu Kitukufu kama mwongozo wa vitendo katika utungaji sera na utatuzi wa changamoto za kisasa.
Habari ID: 3481625 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
IQNA – Msomaji wa Qur’ani kutoka Iran, ambaye pia ni afisa wa Haram ya Imam Hussein (Iraq) amekamilisha ziara yake nchini Bangladesh iliyolenga kuimarisha ushirikiano wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481624 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/07
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu / 2
IQNA-Neno Istighfār (kuomba msamaha) limetokana na mzizi wa Kiarabu ghafara ambalo maana yake ni “kufunika” au “kufunika kwa ulinzi.” Kwa hivyo, istighfār katika Kiarabu ni kusihi na kuomba kufunikwa dhambi na makosa.
Habari ID: 3481623 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06
IQNA – Milad Asheghi, mhifadhi kamili wa Qur’ani Tukufu na mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa udaktari kutoka Tabriz, Iran, amesema Qur’ani Tukufu imekuwa nguvu thabiti iliyomwongoza kupitia changamoto za masomo ya udaktari.
Habari ID: 3481622 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06
IQNA – Kitabu kipya chenye tafakuri fupi 365 za kila siku kuhusu Qur’ani kimezinduliwa mjini Petaling Jaya, Malaysia, siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3481621 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06
IQNA – Sheikh Ahmed Al-Tayeb, Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, amesisitiza kuwa kuzingatia kuhifadhi Qur'ani Tukufu ni msingi wa kujenga kizazi kipya cha vijana wenye uwezo wa kubeba ujumbe wa wema, rehema na amani – kiini cha risala ya Uislamu kwa ulimwengu.
Habari ID: 3481620 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06
IQNA – Katika mahojiano ya mwaka 2015, Profesa Abdulaziz Sachedina, aliyewahi kufundisha masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha George Mason, Virginia, Marekani, alisema kuwa ujumbe wa Imam Khomeini (RA), uliotokana na Qur’ani Tukufu, ulikuwa wa kiulimwengu na uliwahusu Waislamu wote.
Habari ID: 3481617 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05
IQNA – Bunge la Morocco limefanya kikao maalumu kujadili hali ya taasisi na vituo vya Qur’ani vilivyobobea nchini humo katika kuendeleza elimu ya wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481615 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimemuelezea marehemu qari mashuhuri Ustadh Abdul Basit Abdul Samad kuwa balozi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481613 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/04
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, hadhi ya wanawake katika Uislamu ni tukufu na ya juu mno na akaongeza kwamba: "tafsiri inayotoa Qur'ani Tukufu kuhusu utambulisho na shakhsia ya mwanamke ni ya juu zaidi kiutukufu na ya kimaendeleo zaidi."
Habari ID: 3481612 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/04
IQNA – Mkutano wa Dunia wa Qur’ani 2025 ukifunguliwa Kuala Lumpur mwishoni mwa wiki hii, ukitoa jukwaa la mazungumzo kati ya ujuzi wa kielimu wa kiroho na vitendo vya kiviwanda.
Habari ID: 3481611 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/03
IQNA – Moja ya kumbukumbu za kipekee katika ulimwengu wa Qur’ani ni usomaji wa kihistoria wa qari mashuhuri wa Misri, marehemu Ustadh Abdul Basit Abdul Samad, katika Haram ya Imam Musa Kadhim (AS) mjini Kadhimiya, Baghdad, mwaka 1956.
Habari ID: 3481606 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02
IQNA – Toleo la 21 la mashindano ya kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria limeanza rasmi Jumatatu.
Habari ID: 3481604 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02
IQNA – Papa Leo XIV amehudhuria mkutano wa dini mbalimbali uliofanyika katika Uwanja wa Mashahidi jijini Beirut, ambapo walikusanyika mapatriaki wa Kikristo wa Lebanon pamoja na viongozi wa Kiroho wa Kiislamu wa madhehebu ya Sunni na Shia na halikadhalika dini ya Druze chini ya hema moja.
Habari ID: 3481603 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/02