IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesema wafungwa 72 katika magereza nchini wamejifunza na kuhifadhi Qur'an nzima kwa moyo.
Habari ID: 3480097 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/23
Turathi
IQNA – Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza mpango wa kufufua na kuhifadhi urithi wa Qur'ani wa Sheikh Mohamed Siddiq El-Minshawi, mmoja wa wasomaji maarufu zaidi wa Qur'ani duniani.
Habari ID: 3480094 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22
IQNA – Nakala za Qur'ani Tukufu zimesambazwa kati ya mamia ya wanafunzi wa madrasa (shule za jadi za Kiislamu) nchini Burundi.
Habari ID: 3480090 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/21
Turathi za Kiislamu
IQNA – Wataalamu katika Maktaba, Jumba la Makumbusho, na Kituo cha Nyaraka cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Ridha (AS) ambayo ni maarufu kama Astan Quds Razavi wamerekebisha kurasa 18,877 za nakala za Qur'ani au Misahafu na hati za kale katika kipindi cha miezi tisa iliyopita, amedokeza Seyyed Ali Tabatabai, mkuu wa urekebishaji wa nyaraka za kitamaduni katika shirika hilo.
Habari ID: 3480089 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/21
Ali katika Qur'ani/3
IQNA – Tafsiri kadhaa za Qur'ani Tukufu za Ahul Sunna zinabainisha kwamba aya ya 29 hadi 36 ya Surah Al-Mutaffifin zinasimulia hadithi ya wahalifu na wanafiki ambao walimcheka na kumdhihaki Imam Ali (AS) na kundi la waamini.
Habari ID: 3480086 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/21
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani kwa vyuo vikuu na vituo vya elimu vya Iraq yamezinduliwa na Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480084 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/20
IQNA – Ukumbi wa Kituo cha Dar-ul-Qur'an katika msikiti wa mji mkuu mpya wa utawala wa Misri ni miongoni mwa sehemu zinazo tembelewa zaidi katika eneo hilo.
Habari ID: 3480080 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
Qur'ani Tukufu
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanaendelea katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, yakishirikisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauza) au seminari kutoka nchi 10 za Kiislamu.
Habari ID: 3480078 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
Fasihi
IQNA – Mohammad Anani alikuwa profesa wa tarjama au tafsiri na fasihi ya Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Cairo na mmoja wa watafsiri au watarjumi mashuhuri zaidi katika ulimwengu wa Kiarabu. Lugha ya Qur'ani inaonekana dhahiri katika tafsiri zake, kana kwamba Qur'ani inapita kwa upole kupitia maandiko yote aliyoyatafsiri.
Habari ID: 3480072 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/18
Qarii maarufu
IQNA-Sheikh Muhammad Hussein al-Faqih ni hafidh na qari wa Qur'ani kutoka Yemen ambaye ameanza kujipatia umaarufu kwenye mitandao ya kijamii kutokana na usomaji wake wenye mvuto.
Habari ID: 3480057 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA – Kituo cha Televisheni cha Al-Kawthar kimetoa mwaliko wa kushiriki katika toleo la 18 la mashindano yake ya Qur'ani kwa njia ya televisheni yaliyopangwa kufanyika katika mwezi wa Ramadhani 2025.
Habari ID: 3480048 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
IQNA – Mashindano ya Qur'ani ya Sheikh Rashid bin Mohammed Al Maktoum huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE ) yalishuhudia ushiriki wa wanafunzi 1,104 wa kiume na wa kike kutoka shule 32.
Habari ID: 3480046 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
IQNA – Katika kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS), mjumuiko wa Qur'ani umefanyika katika Haram au kaburi takatifu la Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq kwa hisani ya kituo cha Dar al-Quran katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3480045 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13
IQNA – Wizara ya Mambo ya Kiislamu, Dawah, na Mwongozo ya Saudi Arabia imetangaza usambazaji wa nakala zaidi ya 10,000 za Qur'ani Tukufu wakati wa Tamasha la 9 la Ndimu lililofanyika katika Mkoa wa Al-Hariq.
Habari ID: 3480041 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12
Tuwajue Wasomaji Qur'ani
IQNA – Qari wa Misri, Shahat Muhammad Anwar, alikuwa mmoja wa wasomaji maarufu zaidi wa Qur'ani Tukufu, hadi aliitwa 'Amir al-Nagham (mfalme wa sauti ya usomaji).
Habari ID: 3480040 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12
IQNA – Tamasha la 10 la Kimataifa la Usomaji Qur'ani kwa Tajweed litafanyika Casablanca, Morocco, mwishoni mwa mwezi huu.
Habari ID: 3480028 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
Qur'ani Tukufu
IQNA – Kitabu kinachoitwa "Kalam Mubin: Nyakara za Kale Zaidi za Misahafu (Nakala za Qur’ani); Nyaraka za Qur’ani za Maandishi ya Hijazi," kimezinduliwa katika hafla huko Tehran.
Habari ID: 3480027 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
IQNA – Mkutano wa mashauriano kati ya Dar ol-Quran wa Haram Takatifu wa Imam Hussein (AS) na wanazuoni wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu jijini Najaf ulifanyika ili kujiandaa kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480026 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
IQNA – Washindi wa toleo la 32 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman walikubaliwa katika hafla siku ya Jumatano.
Habari ID: 3480023 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/09
IQNA – Kozi ya pili ya mafunzo kuhusu "Misingi ya Vyombo vya Habari vya Qur'ani" ilifanyika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480021 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08