iqna

IQNA

qurani tukufu
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Hatua ya awali ya Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3478095    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mamlaka ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya Masuala ya Kiislamu na Wakfu (GAIAE) imechapisha takriban nakala 100,000 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478094    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Mazungumzo na Qur'ani Tukufu /59
IQNA - Mwenyezi Mungu ameahidi ujira unaozidishwa mara kumi kwa matendo mema au amali njema, na kuwatia moyo waumini kushiriki katika idadi inayoongezeka ya matendo ya kweli na ya yenye ikhlasi ya wema.
Habari ID: 3478093    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Tafsiri ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Ingawa kumekuwepo na juhudi nyingi za wanazuoni wa Kiislamu katika uwanja wa tafsiri ya Qur'ani Tukufu tangu kuja kwa Uislamu, kuna ukosefu wa kazi katika tafsiri ya kisaikolojia ya Kitabu Kitukufu.
Habari ID: 3478088    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Uislamu na Ukristo
IQNA - Uislamu na Ukristo ni dini zenye mitazamo sawa kuhusu mambo kadhaa. Linapokuja suala la mtazamo wa dini hizi mbili kuhusu Nabii Isa (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) imani zote mbili zinamtambua Iss kama mtu muhimu, lakini kuna hitilafu kuhusu maisha yake, utume na hatima yake.
Habari ID: 3478087    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Qur’ani Tukufu Inakabiliana na Ubaguzi wa Rangi/1
IQNA - Kutafakari kunaweza kuzingatiwa kama kigezo cha kutathmini maendeleo au kurudi nyuma kwa jamii.
Habari ID: 3478080    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Qur'ani Tukufu
IQNA - Haitham Salim Ayyash, mtaalamu wa Qur'ani wa Lebanon, alisisitiza haja ya walimu wa Qur'ani kuwa na ufahamu wa kina wa mafundisho ya Kitabu hicho Kitukufu.
Habari ID: 3478079    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Profesa wa jiografia wa Misri ana nakala ndogo sana ya Qur’ani Tukufu (Msahafu) ambayo ni ya miaka 280 iliyopita.
Habari ID: 3478074    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 42 Qur'ani Tukufu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) yamezinduliwa katika mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3478071    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Harakati za Qur'ani Tukuuf
IQNA - Rais wa Maldivi (Maldives) Mohamed Muizzu amesisitiza azma ya serikali yake ya kuendeleza ufundishaji wa Qur'ani Tukufu na kuunga mkono walimu wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3478067    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/21

Fikra za Qur'ani
IQNA - Kongamano la Kuchunguza Fikra za Qur'ani za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei.
Habari ID: 3478065    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/20

Lugha ya Kiarabu
IQNA - Kuteremshwa kwa Qur'ani Tukufu kwa Kiarabu kuliongeza hadhi na kudumu kwa lugha hiyo, Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kilisema.
Habari ID: 3478058    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mashindano ya 36 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Maldives yamepangwa kuzinduliwa tarehe 23 Februari 2024.
Habari ID: 3478057    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
IQNA - Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imepongeza uamuzi wa hivi majuzi wa bunge la Denmark wa kuharamisha kunajisi maandishi ya kidini.
Habari ID: 3478056    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19

Uislamu na Teknolojia
IQNA-Jumuiya ya Kuhudumia Qur’ani Tukufu na Sunnah ya Al-Burhan imezindua apu mpya iliyopewa jina la Salim inayowasaidia watoto walio na umri wa chini ya miaka 8 kujifunza Quran bila ya kuhitaji mwalimu.
Habari ID: 3478054    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/18

Jiografia ya Matukio katika Qur'ani Tukufu/4
IQNA – Upeo wa utawala wa Mtume Suleiman (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) ulikuwa mkubwa kiasi kwamba hata falme kubwa zaidi katika historia zinaonekana kuwa ndogo ikilinganishwa ufalme wa nabii huyo.
Habari ID: 3478051    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/18

Jiografia ya Matukio katika Qur'ani Tukufu/3
IQNA - Watu wote waliowahi kuishi duniani ni kizazi cha Adam (AS) na Hawa.
Habari ID: 3478032    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Waziri wa Wakfu Misri amesema mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatafanyika nchini humo kwa kushirikisha wasomaji na wahifadhi wa Qur'ani Tukufu kutoka nchi 60.
Habari ID: 3478031    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Utamaduni
IQNA - Msichana mdogo katika eneo la Kashmir linalotawaliwa na India amesifiwa kwa kazi yake ya kaligrafia ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478030    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Tehran imeandaa shindano la kuchagua wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3478029    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13