IQNA – Televisheni ya Thaqalayn Satellite imetangaza mpango wa kuandaa mashindano ya tatu ya kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Wa Rattil” katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3481774 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06
IQNA – Kipindi cha 12 cha mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Dawlat al-Tilawa nchini Misri kiligeuka safari ya kiroho na kihisia, ambapo simulizi binafsi ziliungana na sauti za mbinguni, zikazalisha athari ya kina iliyogusa nyoyo za kila msikilizaji.
Habari ID: 3481773 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06
IQNA – Mjadala maalum kuhusu “Wajibu wa Umma wa Kiislamu katika kukabiliana na udhalilishaji wa Qur’ani na matukufu mengine na maadui” umefanyika mjini Sanaa, mji mkuu wa Yemen.
Habari ID: 3481772 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/06
IQNA – Toleo la 26 la Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani nchini Japan limefanyika chini ya usimamizi wa Jumuiya ya Waislamu wa Japan.
Habari ID: 3481771 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA – Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka shule za serikali na binafsi yameanza Jumapili katika Mkoa wa Hodeidah, Yemen.
Habari ID: 3481770 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri wa Misri, amechapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa Facebook video inayoonyesha mwanamke Mmarekani akisilimu katika moja ya misikiti nchini Marekani.
Habari ID: 3481769 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA – Reza Safdari, qari mashuhuri kutoka mkoa wa Sistan na Baluchestan, kusini mashariki mwa Iran, amejiunga na kundi la wanaofuzu kuingia fainali za mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini Qatar.
Habari ID: 3481768 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA-Kampeni ya ‘Nadhiri ya Itikafu’, ambapo watu wanachangia kugharamia ibada ya Itikafu misikitini imezinduliwa nchini Iran. Itikafu ni kujitenga kwa ajili ya ibada, na nadhiri ni ahadi ya kidini na jukumu la hiari.
Habari ID: 3481754 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/02
IQNA-Qari kutoka Iran ameshiriki katika usomaji Qur’an Tukufu katika hafla maalum iliyofanyika mjini Kakani, Bosnia na Herzegovina, usiku wa kuamkia Mwaka Mpya.
Habari ID: 3481753 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/02
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA- Jamii ya Kiislamu Afrika Mashariki na hasa nchini Tanzania imekumbwa na msiba mkubwa kufuatia kufariki dunia kwa mwanazuoni mashuhuri, na mfasiri wa Qur'ani Tukufu, Sheikh Ali Jumaa Mayunga, aliyefariki dunia tarehe 1 Januari 2026, jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Habari ID: 3481751 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/02
IQNA – Kituo kipya cha kuhifadhi Qur’an kimefunguliwa katika eneo la Kahda, jimbo la Banadir, Somalia.
Habari ID: 3481746 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/31
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri pamoja na Radio ya Qur’ani ya taifa hilo, hivi karibuni wataanza mradi wa kurekodi qiraa mpya za Qur’an Tukufu.
Habari ID: 3481745 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/31
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu/8
IQNA – Athari za Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) hazihusiani tu na kusamehewa dhambi, bali pia huondoa vizuizi vinavyokwamisha baraka na rehema za Mwenyezi Mungu kumfikia mwanadamu.
Habari ID: 3481740 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/30
IQNA – Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Algeria yameanza kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 48.
Habari ID: 3481739 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/30
IQNA – Hafla maalumu imefanyika Gaza kuadhimisha mahafali ya wanafunzi kadhaa wa kike waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481738 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/30
IQNA – Hafla ya Khatm Qur’an imefanyika katika mji wa Salalah, Oman, ikihusisha washiriki 110 waliokuwa wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481736 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/30
IQNA – Kampuni zinazobobea katika huduma za chakula kwa wingi zinakaribishwa kuomba nafasi ya heshima ya kutoa futari katika Msikiti Mtukufu wa Makkah (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume (SAW), Al Masjid An Nabawi mjini Madinah wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani 2026.
Habari ID: 3481733 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/29
IQNA – Baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani Tukufu mbele ya Msikiti Mkuu wa Stockholm, mahitaji ya kununua tarjuma au tafsiri za Qur’ani kwa lugha ya Kiswidi yameongezeka kwa kiwango kikubwa.
Habari ID: 3481729 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28
IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
Habari ID: 3481727 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28
Istighfar katika Qur’an Tukufu / 7
IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu, Istighfar (kuomba msamaha wa Mwenyezi Mungu) imeelezwa kuwa miongoni mwa masharti ya kuingia Peponi na pia ni ada ya kidunia ya watu wa Peponi.
Habari ID: 3481724 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/27