IQNA – Mtu anapaswa kuepuka kuchochea tofauti, badala yake ajikite katika kuhimiza mazungumzo miongoni mwa vijana Waislamu kwa misingi ya mafunzo ya Qur'ani na Ahl-ul-Bayt (AS), amesema mwanazuoni wa Kiiraqi.
Habari ID: 3480382 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16
IQNA – Balozi wa Iran nchini Indonesia amesisitiza shauku ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupanua ushirikiano wa Qur’ani na nchi hiyo ya Kusini-Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3480381 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16
IQNA – Washindi wakuu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Somalia wametunukiwa zawadi katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud.
Habari ID: 3480377 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
IQNA – Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, misikiti nchini Kosovo imepiga hatua kubwa katika kufundisha Qur'ani kwa watoto.
Habari ID: 3480376 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 14 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ali Ghasemabadi, Mojtaba Parvizi, Mahdi Adeli, na Habib Sedaqat. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480373 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimezindua toleo la tatu la mpango wake maalum wa Qur'ani kwa watoto na vijana katika eneo la Bainul Haramayn, Karbala.
Habari ID: 3480371 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
IQNA – Waziri Mkuu wa Somalia, Hamza Abdi Barre, amesema kwamba mashindano ya kitaifa ya Qur'ani yanachangia kuimarisha mshikamano na umoja ndani ya jamii ya Somalia.
Habari ID: 3480369 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/14
IQNA – Profesa wa Italia amesifu Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kwa kuimarisha uhusiano kati ya Waislamu, akisisitiza jukumu lake katika kuimarisha mshikamano wa kimataifa na kuwezesha kubadilishana maarifa.
Habari ID: 3480363 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 12 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Hossein Rostami, Mahdi Adeli, Jafar Fardi, na Ali Ghasemabadi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480362 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13
IQNA – Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Waislamu hawatashindwabikiwa watafuata mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480356 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 11 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mahdi Adeli, Ali Ghasemabadi, Mojtaba Parvizi, na Hossein Fardi. J iunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480355 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12
Mtazamo
IQNA – Aya ya 32 ya Surah Al-Ma’idah ya Qur’ani Tukufu inasisitiza kanuni ya maadili ya utakatifu wa maisha ya binadamu, amesema msomi wa Afrika.
Habari ID: 3480351 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA – Naibu mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ametangaza utayarishaji wa qiraa ya Tarteel ya Qur’ani na wanafunzi 20 wa chuo hicho.
Habari ID: 3480349 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 10 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ali Ghasemabadi, Mahdi Gholamnejad, Hossein Rostami, na Wahid Barati.
Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480347 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 9 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na Ustadh Ahmad Abulqasemi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480339 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10
IQNA – Msomi wa Kiislamu kutoka Iran amesema Qur’ani Tukufu ina mfundisho yenye thamani kubwa na yenye faida kwa utawala katika jamii.
Habari ID: 3480321 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07
IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 6 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Mohammadreza Purzargari, Mahdi Qarasheikhlu, na Mohamad Javad Jaberi. Jiunge na IQNA kila siku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu ili tuweze kuhitimisha pamoja mwishoni mwa mwezi huu mtukufu.
Habari ID: 3480319 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07
IQNA – Qari Rahim Sharifi kutoka Iran alisoma Qur’ani katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Kisomo cha Qur’an la Al-Ameed, ambalo linaendelea katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq. Sharifi anatoka mji wa Ramhormoz katika mkoa wa kusini-magharibi wa Khuzestan.
Habari ID: 3480311 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05
IQNA – Jukwaa la masomo ya Qur;an linalotumia Akili Mnemba au AI limezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka.
Habari ID: 3480310 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05
IQNA- Qari wa kimataifa wa Iran Ahmad Aboulghasemi, ametembelela Kenya katika siku za kwanza za mwezi mtukufu wa Ramadhani na kushiriki katika vikao kadhaa vya qiraa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480304 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/04