IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) ametaja diplomasia ya Qur'ani kama chombo kikuu cha kuleta Ummah Wahida (Ummah wa Kiislamu ulioungana).
Habari ID: 3480588 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/24
IQNA – Sherehe ilifanyika katika Mkoa wa Muharraq, Bahrain siku ya Jumatatu kwa ajili ya kuwaenzi vijana wa Bahrain kwa shughuli zao za Qur’ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480586 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23
IQNA – Sayed Mekawy alikuwa mtu mashuhuri wa Misri katika nyanja za Ibtihal (nyimbo za kidini) na muziki, ambaye urithi wake wa kisanaa na kiroho uko hai miaka 28 baada ya kifo chake.
Habari ID: 3480583 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/23
IQNA – Washindi wa mashindano ya kimataifa ya kukumbuka Qur’ani kwa wanafunzi wa kigeni wa Al-Azhar wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika nchini Misri mwishoni mwa wiki. Shirika la Kimataifa la Wahitimu wa Al-Azhar lilipanga sherehe hiyo kwa kushirikiana na Taasisi ya Hisani ya Abu Al-Ainain.
Habari ID: 3480582 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Sheikh Abdul Hadi L’Aqab, msomi mtajika wa Qur’ani kutoka Algeria, alifariki dunia Jumapili, Aprili 20, 2025.
Habari ID: 3480581 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22
IQNA – Kamati ya Kuutangaza Uislamu Kuwait imesambaza tafsiri za Qur'ani kwa lugha mbalimbali katika misikiti nchini humo kama sehemu ya mpango wa kitaifa.
Habari ID: 3480575 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/21
IQNA – Naibu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ametaja kurejesha heshima ya mwanadamu kuwa ndilo lengo kuu la Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480571 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA – Mchujo wa awali wa mashindano makubwa zaidi ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika ukanda wa Balkan umekamilika huko Bosnia na Herzegovina.
Habari ID: 3480569 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20
IQNA – Hafla ya ‘Halal kwa Halal’ na mpango wa kutafakari kuhusu aya za Qur'ani zilifanyika kwa ushiriki mkubwa wa viongozi wa kidini, kitamaduni na kitaaluma katika Msikiti wa Al-Nur uliopo Jakarta, Indonesia.
Habari ID: 3480551 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16
Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro
Habari ID: 3480549 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16
IQNA – Éléonore Cellard ni mtafiti wa Kifaransa na mtaalamu wa hati za nakala za Qur’an za kale..
Habari ID: 3480543 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/15
IQNA – Baadhi ya mashekhe wakubwa wa Qur’ani kutoka Misri wametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Abdolrasoul Abaei, mtaalamu mashuhuri wa Qur’ani nchini Iran.
Habari ID: 3480538 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14
IQNA – Uchunguzi wa kina kuhusu hali ya hati za Kiarabu na Kiislamu zipatazo 40,000 katika maktaba tatu kubwa zaidi za umma nchini Ujerumani umefichua nukta za kuvutia kuhusu uhusiano wenye sura nyingi kati ya Ulaya, Mashariki ya Kati, na Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3480537 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
Habari ID: 3480536 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
Teknolojia
IQNA – Kongamano lililopewa jina “Jinsi ya kutumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence-AI-) kuhudumia Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Kuwasaidia Ndugu Zetu wa al-Quds” iliandaliwa nchini Mauritania.
Habari ID: 3480535 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13
IQNA-Haj Ryoichi Umar Mita alikuwa mfafsiri wa kwanza wa Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kijapani. Alizaliwa mwaka 1892 katika mji wa Shimonoseki, Mkoa wa Yamaguchi, kisiwa cha Kyushu, Japan, katika familia ya Kisamurai na Kibuddha.
Habari ID: 3480528 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12
Turathi
IQNA-Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz (KAPL) mjini Riyadh, Saudi Arabia, inahifadhi nakala 400 adimu za MIsahafu kutoka zama mbalimbali za Kiislamu ambapo nyingi ni za kati ya karne ya 10 hadi 13 Hijria.
Habari ID: 3480524 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
IQNA – Mmoja wa watangazaji wa kipindi cha “Mahfel,” kinachorushwa hewani katika televisheni nchini Iran katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, ameeleza mafanikio ya kipindi hicho, ikiwa ni pamoja na kuimarika kwa mapenzi ya watu kwa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480519 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
IQNA – Abdolrasoul Abaei, mmoja wa shakhsia mashuhuri na wanaoheshimika sana katika nyanja za Qur'ani Tukufu nchini Iran, ameaga dunia tarehe 9 Aprili 2025 akiwa na umri wa miaka 80, baada ya maisha marefu ya kujitolea kwa ajili ya huduma na uendelezaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480517 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/09
IQNA – Usajili umeanza rasmi kwa toleo la nane la mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa wafanyakazi nchini Iran.
Habari ID: 3480515 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08