qurani tukufu - Ukurasa 7

IQNA

IQNA – Mmoja wa waandaaji wa kipindi cha televisheni cha Qur’ani nchini Iran kinachojulikana kama Mahfel amesema kuwa kipindi hicho kimefanikiwa kuiondoa Qur’ani katika mtazamo wa kuishia tu kwenye usomaji au matarajio ya thawabu, na kuileta katika uwanja wa uhusiano wa kijamii na ubinadamu.
Habari ID: 3482062   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/16

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani / 8
IQNA – Aya za Qur’ani Tukufu zinazohusu Vita vya Uhud katika Surah Aal Imran zinalenga kuwahamisha Waislamu kutoka katika mtazamo uliotawanyika unaoangalia historia kama matukio yaliyokatika katika, na kuwapeleka kwenye uelewa wa kimchakato wa sunna na sheria za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482058   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/15

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 24 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482056   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/14

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/7
IQNA – Kwa ajili ya kutangaza mwisho wa vita au ushindi katika mapambano dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, Qur’ani Tukufu inaweka misingi kadhaa ya uongozi na mwongozo.
Habari ID: 3482050   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/12

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 22 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482046   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/12

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/5
IQNA – Kwa mujibu wa aya za Surah Al-Fath na Al-Ahzab katika Qur’ani Tukufu, Mwenyezi Mungu Mtukufu amekusudia kwamba kila wakati maadui wanapoanzisha uhasama, na upande wa haki ukadumu thabiti, basi kurudi nyuma na kushindwa kwa mhalifu huwa ni jambo lisilokwepeka na lisilobadilika.
Habari ID: 3482043   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/11

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/6
IQNA – Qur’ani Tukufu inabainisha kwamba kiwango cha imani ya mtu kwa Mwenyezi Mungu ndicho kinachoamua kiwango cha uwezo wake wa kutenda.
Habari ID: 3482040   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/10

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 20 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482036   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/10

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 19 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482034   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/09

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 18 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482027   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/08

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/2
IQNA- Katika Qur’ani Tukufu tunasoma hivi: “…Lau wanngelitengana , basi kwa hakika tungaliwaadhibu wale waliokufuru miongoni mwao kwa adhabu chungu.” (Al Fath: 25)
Habari ID: 3482026   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/07

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 17 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482024   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/07

Uchambuzi wa Mapambano Dhidi ya Uzayuni katika Qur’ani/1
IQNA-Qur’ani Tukufu, pamoja na kuonyesha takwimu na uchambuzi wa mambo kwa mtazamo wa kidunia, pia inatuwekea mbele mtazamo mwingine wa kutafakari kuhusu mapambano.
Habari ID: 3482020   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/06

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 16 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482018   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/06

IQNA – Qari kutoka Iraq, Indonesia na Afghanistan walishiriki katika siku ya nane ya toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed, inayofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482005   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA – Kituo cha Dar‑ul‑Qur'an cha Wanawake, kinachohusiana na Idara ya Usimamizi wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS), kinaandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa wasichana wadogo katika mji mtukufu wa Najaf.
Habari ID: 3482003   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Nane ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481995   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26

IQNA – Mkurugenzi wa Sehemu ya Akili Unde au Akili Mnemba (Artificial Intelligence) na Teknolojia za Maarifa ya Qur’ani katika Maonesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran amesema kuwa, licha ya uwepo mdogo wa makampuni ya maarifa, mchango wao ni wa kimkakati na wenye athari kubwa.
Habari ID: 3481993   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25

IQNA – Mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Qatar yanaendelea kushuhudia ushiriki mkubwa wa raia na wakazi, wanaume na wanawake, katika mazingira yaliyojaa unyenyekevu na utukufu wa Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481991   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Saba ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481988   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25