IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuzindua mashindano ya kwanza ya kitaifa ya mtandaoni ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3480946 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15
IQNA – Mpango wa kitaifa wa usomaji wa Qur’ani Tukufu umeanzishwa rasmi nchini Algeria, ukilenga kusambaza shughuli za Qur’ani katika misikiti mbalimbali ya Mkoa wa Mascara.
Habari ID: 3480943 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14
IQNA – Hafla maalum imefanyika katika mji wa Karasu, ulioko kaskazini magharibi mwa Uturuki katika mkoa wa Sakarya, kuwaenzi wasichana 34 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani yote kwa moyo.
Habari ID: 3480942 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14
IQNA – Semina maalum kuhusu "Vipengele vya Miujiza ya Kisayansi katika Qur’an Tukufu Kuhusiana na Upepo" inatarajiwa kufanyika leo katika Msikiti mkuu wa Al-Azhar, nchini Misri.
Habari ID: 3480941 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14
IQNA – Zohreh Qorbani, mama mchanga kutoka Iran, asema kuwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu kumemletea mpangilio, utulivu wa moyo, na uwazi wa kiroho katika maisha yake ya kila siku licha ya changamoto anazokumbana nazo.
Habari ID: 3480938 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13
IQNA – Mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa tarteel kwa watoto yamefanyika mjini Karbala, yakiandaliwa na Jumuiya ya Sayansi za Qur’ani ya Haram ya Hazrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480935 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/13
Jamii ya Qur’ani Tukufu nchini Iran imejumuika katika Mahafali ya Qur’ani Tukufu iliyofanyika Alhamisi, tarehe 11 Julai, jijini Tehran, chini ya anuani “Kuelekea Ushindi”. Katika mkusanyiko huo, hadhirina waliwakumbuka na kuwaenzi mashahidi wa mapambano, na wakaahidi tena uaminifu wao kwa malengo matukufu ya makamanda waliouawa shahidi pamoja na mashujaa wa vita vya siku 12.
Habari ID: 3480929 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/12
IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran ameelezea kuwa Surat al-Fajr katika Qur'an Tukufu ni sura iliyo na uhusiano wa karibu sana na urithi wa Imam Hussein (AS), akiitaja kuwa ni tafakuri ya kina kuhusu falsafa ya mapinduzi ya Karbala.
Habari ID: 3480918 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09
Imam Hussein (AS) katika Qur'an /4
IQNA – Nusra ya Mwenyezi Mungu hujitokeza kwa namna mbalimbali kwa manabii wa Mwenyezi Mungu na waumini wa kweli.
Habari ID: 3480897 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/06
Imam Hussein (AS) katika Qur'an /3
IQNA – Imani juu ya Raj’a (kurejea duniani) katika mwamko wa Imam Hussein (AS) pamoja na masahaba wake waaminifu, hubeba baraka nyingi za kiroho na maadili.
Habari ID: 3480896 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05
Imam Hussein (AS) katika Qur’an – Sehemu ya 2
IQNA – Dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS) ni ya wazi na ya kina kiasi kwamba inaweza kuchukuliwa kuwa ni taswira halisi ya baadhi ya aya tukufu za Qur’ani.
Habari ID: 3480887 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/03
Imam Hussein (AS) katika Qur’ani Tukufu
IQNA – Baadhi ya aya za Qur’an Tukufu zinamhusu, Imam Hussein (AS), ambaye ni shakhsia adhimu na mtukufu katika Uislamu.
Habari ID: 3480878 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/01
IQNA – Toleo la tisa la mashindano ya "Kizazi cha Qur’ani" limehitimishwa mjini Ljubljana, likiwa limewakutanisha zaidi ya washiriki elfu moja kutoka maeneo mbalimbali ya Slovenia.
Habari ID: 3480873 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30
IQNA – Hafla ya kila mwaka ya Idara ya Qur’an Tukufu na Sayansi Zake kwa ajili ya kuwaheshimu wanafunzi wa Qur’an imefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3480870 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29
IQNA – Naibu Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran ambaye anasimamia masuala ya Qur'ani na Itrah amelaani vitendo vya hivi karibuni vya uchokozi vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusisitiza azma ya jumuiya ya Qur'ani nchini kufungamana na utamaduni wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kuupinga utawala wa Kizayuni sambamba na kutetea maadili ya Kiislamu.
Habari ID: 3480838 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/15
IQNA — Zaidi ya nakala milioni mbili za Qur'ani Tukufu zinasambazwa miongoni mwa Mahujaji wanaorejea nyumbani baada ya ibada ya Hija nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3480816 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/10
Hija Katika Qur’ani/9
IQNA – Qur’ani Tukufu inawakumbusha Watu wa Kitabu (Ahlul Kitab), wanaojinasibu kuwa wafuasi wa Nabii Ibrahim (AS), kuwa ikiwa madai yao ni ya kweli, basi wanapaswa kuamini msingi wa Ibrahimu katika ujenzi wa Kaaba na kuitambua kama Qibla (eneo la kuelekea wakati wa swala) ya kweli ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3480814 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Makumbusho mapya yanayolenga kuhifadhi kumbukumbu adimu za Qiraa au usomaji wa Qur'ani wa maqari maarufu wa Misri yanatarajiwa kufunguliwa katika jengo la kihistoria la Maspero jijini Cairo, katika makao ya redio na televisheni ya taifa.
Habari ID: 3480812 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Maonesho ya kudumu katika Makumbusho ya Qur'ani jijini Makkah yanawapa wageni tajiriba ya kipekee ya kiutamaduni na kiroho kupitia hati nadra za Qur'ani na nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani.
Habari ID: 3480811 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/09
IQNA – Jumuiya ya Waislamu Duniani (MWL) imekaribisha uamuzi wa mahakama ya Uingereza kumtia hatiani mtu aliyeteketeza moto nakala ya Qur’ani Tukufu mjini London.
Habari ID: 3480807 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08