IQNA – Marehemu Abdul Basit Abdul Samad, msomaji maarufu wa Qur’ani kutoka Misri na ulimwengu wa Kiislamu, ameheshimiwa katika kipindi cha televisheni cha Dawlet El Telawa nchini Misri
Habari ID: 3481572 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA – Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur’ani nchini Pakistan amesema anatarajia ushindani mkali katika mashindano hayo.
Habari ID: 3481571 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imeanza maandalizi ya kuandaa toleo jipya la mashindano yake ya Qur’ani Tukufu yanayorushwa moja kwa moja yanayo julikana kama , “Inna lil-Muttaqeena Mafaza” (Hakika wachamungu watapata mafanikio).
Habari ID: 3481570 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA-Mahmoud Al-Toukhi, msomaji mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, ametoa nakala ya usomaji wake wa Tarteel kwa Idhaa ya Qur’ani ya Kuwait.
Habari ID: 3481569 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA – Kipindi cha televisheni cha Qur’ani Tukufu nchini Misri, “Dawlet El Telawa”, kimepata mafanikio makubwa baada ya kurushwa sehemu nne pekee.
Habari ID: 3481568 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/26
IQNA – Mashindano ya kwanza ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani nchini Pakistan yameanza rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Islamabad.
Habari ID: 3481566 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/25
IQNA – Jumamosi iliyopita, kikao cha kuandaa hati ya makubaliano ya ushirikiano katika shughuli za Qur'ani Tukufu kati ya Mkoa wa Khuzestan nchini Iran na Mkoa wa Basra nchini Iraq kimefanyika mjini Basra.
Habari ID: 3481563 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/25
IQNA – Maonyesho ya pili ya kazi za Qur’ani Tukufu zilizotengenezwa kwa teknolojia ya Akili Mnemba (AI) yamezinduliwa mjini Tehran, yakionyesha kazi 100 zilizochaguliwa kutoka kwa vijana na chipukizi.
Habari ID: 3481562 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/23
IQNA – Vikundi vya usomaji Qur’an katika misikiti ya Mkoa wa Kaskazini mwa Sinai, Misri, vimepokelewa kwa shangwe na raia wa Kimasri.
Habari ID: 3481561 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/23
IQNA-Hatua ya mwisho ya Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin Mohammed bin Thani, toleo la 30, inaendelea mjini Doha, Qatar ikihusisha mashindano ya wazi kwa wahifadhi kamili na sehemu.
Habari ID: 3481558 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/23
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu / 1
IQNA-Katika aya za Qur’ani Tukufu na Hadith za Maimamu Maasumu (amani iwe juu yao), Istighfar , yaani kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu, imepewa msisitizo mkubwa na kutambulishwa kwa upekee.
Habari ID: 3481556 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/22
IQNA – Taasisi ya Kiislamu ya Japan (Japan Islamic Trust) imetangaza rasmi maelezo ya usajili pamoja na hatua za awali na za mwisho za Mashindano ya 26 ya Kitaifa ya Usomaji na Uhifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481555 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/22
IQNA – Mwanamke kutoka mji wa Qena, Misri, ameweza kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu akiwa na umri wa miaka 80, licha ya kutokuwa na elimu ya kusoma na kuandika.
Habari ID: 3481541 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
IQNA – Sharjah imezindua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu, tukio la siku 70 linaloangazia urithi wa sanaa za Kiislamu kutoka duniani kote.
Habari ID: 3481540 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
IQNA – Waandamanaji waligongana mitaani Dearborn Jumanne baada ya wanaharakati wa mrengo wa kulia kuwachokoza wakazi kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu na wahamiaji, na kujaribu kudhalilisha Qur'ani Tukufu. Tukio hilo lilisababisha msuguano mdogo na polisi kuingilia kati kwa nguvu ili kuwatenganisha makundi hayo.
Habari ID: 3481539 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu mbinu na njia za kuhifadhi na kukarabati nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu za mwanzo imefanyika nchini Yemen.
Habari ID: 3481538 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
IQNA – Idara ya Awqaf (Wakfu) katika Mkoa wa Tafilah, Jordan, imeanzisha mradi maalumu wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa na kuharibika kutoka misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3481537 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/19
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu / 12
IQNA – Mojawapo ya matumizi muhimu ya kanuni ya ushirikiano ni katika uwanja wa uchumi, ingawa uhusiano kati ya kanuni ya ushirikiano katika Qur’ani na uchumi wa ushirika uko zaidi katika kiwango cha kufanana kwa maneno. Qur’ani inatoa msingi unaoweza kutumika katika nyanja mbalimbali, ikiwemo uchumi.
Habari ID: 3481535 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/18
IQNA – Kipindi cha kwanza cha televisheni Dawlat al-Tilawa kilizinduliwa Ijumaa nchini Misri, kikiwa safari mpya ya kugundua vipaji vinavyochipukia katika kisomo cha Qur’ani na Tajweed.
Habari ID: 3481534 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/18
IQNA – Mwanafalsafa kutoka Algeria amesema jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili unaotishia familia na kupotosha ufahamu wa Kiislamu kuhusu wanawake, maadili na uhalisia wa kisasa.
Habari ID: 3481533 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/18