IQNA – Katika juhudi za kulinda Kitabu Kitukufu cha Qur’an dhidi ya makosa ya uchapishaji au mabadiliko yoyote ya kimaandishi, serikali ya mkoa wa Punjab nchini Pakistan imerejesha upya Bodi ya Qur’an ya mkoa huo. Serikali ya Punjab imeunda upya Bodi ya Qur’an ya Punjab kwa muhula wa miaka mitatu, ikisisitiza tena ahadi yake ya kulinda utukufu, usahihi, na uchapishaji mwafaka wa Qur’an Tukufu kwa mujibu wa miongozo ya kikatiba, kisheria, na kidini.
Habari ID: 3482257 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/19
IQNA – Toleo jipya la tafsiri ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kiswidi limezinduliwa katika hafla maalum iliyofanyika jijini Stockholm, mji mkuu wa Uswidi, kwa ushirikiano na Taasis ya Restu kutoka Malaysia.
Habari ID: 3482251 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/18
IQNA – Bulgaria inashuhudia maendeleo ya njia endelevu ya elimu ya Kiislamu na Qur’ani inayolenga kulea na kuandaa vizazi vijavyo vya jamii ya Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3482247 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/17
IQNA – Mpango wa usomaji wa Qur’ani umeanzishwa katika maeneo ya maombi ya wanawake katika Msikiti wa Mtume (Al Masjid An Nabawi) huko Madina.
Habari ID: 3482245 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/16
IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza tarehe rasmi za mitihani ya maandishi kwa washiriki wanaotaka kuiwakilisha Misri katika Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu yatakayofanyika nchini humo.
Habari ID: 3482242 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/15
IQNA – Mfululizo wa mikutano ya kimataifa kuhusu mada ya “Qur’ani, Haqiqa na Uongozi” imeandaliwa na Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO), kwa lengo la kufafanua misingi ya Qur’ani Tukufu na nguzo zake katika uendeshaji wa jamii.
Habari ID: 3482241 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/15
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al‑Azhar nchini Misri kimeatangaza kuanza kwa msimu wa nne wa mradi wa majira ya joto wa Qur’ani unaolenga kuhudumia Kitabu Kitukufu na kufundisha Neno la Wahyi kwa njia ya malezi ya kiroho.
Habari ID: 3482240 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/15
IQNA – Ofisi ya Amal ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu imezinduliwa rasmi katika hafla maalumu iliyoandaliwa katika Mkoa wa Sinai, nchini Misri.
Habari ID: 3482239 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/15
CAIRO – Vikosi vya usalama jijini Cairo, Misri, vimefunga duka la vitabu lililokuwa linafanya kazi bila kibali katika eneo la Darb al‑Ahmar baada ya kubainika kuwa lilikuwa likisambaza na kuuza nakala za Qur’ani Tukufu (Misahafu) bila kupata vibali vinavyotakiwa kisheria.
Habari ID: 3482234 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/13
IQNA – Msahafu adimu wenye kurasa 60 inaonyeshwa katika Makumbusho ya Qur’an Tukufu yaliyo katika Eneo la Kitamaduni la Hira, mjini Makka.
Habari ID: 3482231 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/12
IQNA – Msomi mmoja wa Kiislamu kutoka India amesema kuwa shakhsia au haiba maisha ya kiongozi aliyeuawa wa Mapinduzi ya Kiislamu yanaweza kutazamwa kwa kurejelewa katika aya ya Qur’ani.
Habari ID: 3482228 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/11
IQNA – Kwa mara ya kwanza katika historia yake, Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu katika Ufalme wa Saudi Arabia yatajumuisha kitengo maalumu cha wanawake.
Habari ID: 3482227 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/11
IQNA – Hafla maalumu ilifanyika mjini Jeddah siku ya Jumapili kuwaenzi wahifadhi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482226 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/11
IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza uungaji mkono wake kamili kwa vituo vya kuhifadhi Qur’ani Tukufu pamoja na kuendeleza programu zake za kielimu na kimaadili.
Habari ID: 3482225 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/11
IQNA – Makumbusho ya Al‑Kafeel katika mji wa Karbala yameweka hadharani kipande cha chuma cha shaba kilichochongwa aya za Qur’ani Tukufu kama sehemu ya mkusanyo wake wa turathi.
Habari ID: 3482221 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/10
IQNA – Sheikh Muhammad Mahmoud Tablawi, mmoja wa maqari mashuhuri na wenye taswira ya kipekee nchini Misri, alifariki dunia miaka sita iliyopita baada ya kutumikia Qur'ani Tukufu kwa zaidi ya miaka sitini.
Habari ID: 3482220 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/09
IQNA – Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vimegeuza mitaa mizima ya mji wa Gaza kuwa magofu ya simenti na vyuma vilivyopinda.
Habari ID: 3482219 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/09
IQNA – Haya si maonyesho ya kawaida katika Makumbusho ya Urithi wa Utamaduni wa Kiislamu na Kituo cha Mafunzo ya Al-Quran.
Habari ID: 3482217 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/09
IQNA – Wiki ya pili ya mradi wa “Mwalimu wa Qur’ani” nchini Qatar imeonekana kuvutia ushiriki mkubwa kutoka kwa wanafunzi, walimu na wazazi.
Habari ID: 3482216 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/08
IQNA-Klipu ya video cha mkutano wa mwisho wa Kiongozi Shahidi pamoja na jamii ya Qur’ani Tukufu ya Iran, ambao uliandaliwa katika muundo wa mkusanyiko wa ‘Uns na Qur’an’ mwanzoni mwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3482214 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/08