IQNA-Mji wa Al Hoceima, ulioko kaskazini mwa Morocco, umeandaa tamasha lake la kwanza la Qur’ani Tukufu, likiwatambua washiriki mashuhuri wa mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani. Tukio hilo lilianza Ijumaa, Julai 25, na liliambatana na maadhimisho ya miaka 26 tangu Mfalme Mohammed VI achukue madaraka ya kifalme.
Habari ID: 3481012 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/28
IQNA- Mahdi Ghorbanali, qari wa swala ya Ijumaa mjini Tehran, amejiunga na kampeni ya Qur’ani ya IQNA iitwayo “Fath” kwa kusoma aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
Habari ID: 3481008 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/27
IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji wa Qur’ani katika enzi ya dhahabu ya Misri.
Habari ID: 3481006 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/27
IQNA – Chuo cha Kisayansi cha Qur’ani kinachohudumu chini ya Utawala wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimeandaa mfululizo wa vikao vya Qur’ani Tukufu katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Babylon nchini Iraq, kwa mnasaba wa mwezi wa Muharram.
Habari ID: 3481001 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/26
IQNA – Mwanamke mkongwe kutoka Aswan, Misri, aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika kwa muda mrefu, hatimaye ameweza kutimiza ndoto yake ya kusoma Qur’ani Tukufu akiwa na umri wa miaka 76.
Habari ID: 3481000 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/26
IQNA – Kwa lengo la kueneza mafundisho ya Uislamu, maafisa wa serikali ya Morocco wamegawa nakala za Qur’ani Tukufu kwa Wamorocco wanaoishi nje ya nchi waliporejea nyumbani.
Habari ID: 3480999 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/26
IQNA – Wanafunzi thelathini wa Qatar wameshiriki katika kozi ya majira ya joto ya wiki tatu iliyoandaliwa na Kituo cha Elimu ya Qur'ani cha Al Noor kwa lengo la kuboresha kuhifadhi Qur'ani Tukufu na kukuza ujuzi wa kielimu.
Habari ID: 3480998 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25
IQNA – Shughuli za Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran mwaka huu nchini Iraq zinatarajiwa kuanza tarehe 5 Agosti, kwa mujibu wa afisa mmoja.
Habari ID: 3480995 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25
Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”/ 21
IQNA-Katika kuunga mkono kampeni ya Qur’ani Tukufu iitwayo Fath inayoendeshwa na Shirika la Habari la Kimataifa la Qur’ani (IQNA), msomaji mashuhuri na mwalimu wa kimataifa wa Qur’ani, Ali Akbar Kazemi, amesoma kwa tartili Aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
Habari ID: 3480993 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/24
IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu misingi ya Qira’at kumi za Qur’ani Tukufu imezinduliwa katika Msikiti wa Mtume (SAW) - Al Masjid an Nabawi, mjini Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3480987 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/23
IQNA – Afisa mmoja wa utamaduni nchini Iran ameeleza kuwa matembezi ya Arbaeen ni dhihirisho la wazi la mafundisho ya Qur’ani Tukufu kwa vitendo.
Habari ID: 3480985 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/23
IQNA – Mkutano wa 20 wa wataalamu wa Qur’ani, makari na wahifadhi wa Iran utafanyika mwezi Novemba mwaka huu chini ya usimamizi wa Baraza Kuu la Qur’ani.
Habari ID: 3480976 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/21
IQNA- Ibrahim Isa Musa, qari mashuhuri kutoka Afrika ya Kati, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” iliyoandaliwa na shirika la IQNA kwa kusoma Surah Tukufu ya Al-Nasr.
Habari ID: 3480972 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/20
IQNA – Kozi maalum ya kiangazi ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani kwa wanawake imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka maarufu kama Masjid al Haram.
Habari ID: 3480971 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/20
IQNA – Warsha ya tatu maalum ya mafunzo kuhusu mbinu mpya za kuhifadhi Qur’ani Tukufu imeanza katika Shule ya Zuhair Bin Al-Qain huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480967 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
IQNA – Idara inayosimamia kaburi au Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza usambazaji wa takriban nakala 15,000 za Qur’ani Tukufu na vitabu vya sala kwa ajili ya matumizi ya mamilioni ya waumini wanaotembelea eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3480966 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza majina ya washiriki wa KiMisri waliokidhi masharti ya kushiriki katika mtihani maalum wa uteuzi, ili kuwachagua wawakilishi katika toleo la 32 la mashindano ya kimataifa ya Qur'an nchini humo, pamoja na tarehe ya mtihani huo.
Habari ID: 3480959 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18
IQNA – Kampeni mpya ya kimataifa ya Qurani kwa jina “Fath” imezinduliwa kwa lengo la kuinua morali ya majeshi ya Kiislamu na kueneza maadili ya Qurani ndani ya jamii, hasa kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480957 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/17
IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika kuandika Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480955 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Baladi Omar, qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka nchi ya Ivory Coast ya Afrika Magharibi, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” kwa kusoma aya nne za mwanzo kutoka Surah al-Fath kwa tartili.
Habari ID: 3480950 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/15