iqna

IQNA

Qur'ani Tukufu
IQNA – Mwambata wa Kitamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Brazil ametangaza uzinduzi wa kozi maalum ya kwanza ya kufundisha usomaji wa Qur'ani katika nchi hiyo ya Amerika ya Kusini.
Habari ID: 3479980    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31

Muongozo
IQNA – Sheikh Abduh Al-Azhari, mwanazuoni kutoka Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri, ameonyesha wasiwasi juu ya uwepo wa matoleo yaliyopotoka ya Qur'ani yanayopatikana kwenye mtandao au intaneti.
Habari ID: 3479978    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31

Harakati za Qur'ani
IQNA – Bunge la Iraq linapanga kutunga sheria zinazolenga kulinda haki za wahifadhi wa Qur’ani, kulingana na spika wa bunge.
Habari ID: 3479975    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30

IQNA – Aplikesheni mpya ya simu nchini India inatoa tafsiri ya Qur'ani kwa lugha ya Kihindi.
Habari ID: 3479973    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29

Harakati za Qur'ani
IQNA – Sherehe ilifanyika katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, Jumamosi, ili kuwaenzi wahifadhi wengi wa Qur'ani Tukufu. Jumla ya wanaume na wanawake 1,000 walitunukiwa kwenye sherehe kwa ajili ya mafanikio yao ya Qur'ani.
Habari ID: 3479971    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29

Maisha ya Nabii Isa (AS) katika Qur’ani/3
IQNA – Kama vile watu, wakiwemo Wayahudi, walivyovutiwa na dini ya Nabii Isa (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) au Yesu, viongozi wa Kiyahudi walipata hofu na wakatafuta msaada wa Mfalme wa Kirumi kumuua Yesu.
Habari ID: 3479969    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29

IQNA – Wanafunzi zaidi ya 60,000 wa kiume na wa kike wanahudhuria miduara ya kuhifadhi Qur’ani (Halaqat) na masomo mbalimbali ya Kiislamu (Mutun) kila siku katika Msikiti wa Mtume huko Madina.
Habari ID: 3479968    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/28

Maisha ya Nabii Isa (AS) katika Qur’ani/2
IQNA - Isa au Yesu (AS) aliteuliwa na Mwenyezi Mungu kuwaita Wana wa Israili (Bani Israil) kuelekea katika Taudi au kumpwekesha Mwenyezi Mungu, na pia kuwathibitishia kwamba alikuwa nabii kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479964    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/28

Shughuli za Qur'ani
IQNA – Kituo cha Dar-ul-Quran kinachohusishwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, kinapanga kuandaa matukio mbalimbali kwenye Siku ya Qur’an Tukufu Duniani.
Habari ID: 3479961    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27

Harakati za Qur'ani
IQNA – Toleo la 16 la Kongamano la Kimataifa la Watafiti wa Qur’ani Wanawake lilifanyika katika Mnara wa Milad mjini Tehran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479960    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27

Qiraa
IQNA - Kwa mara ya kwanza, kuanzia Januari 2025, Idhaa ya Qur'ani ya Misri itarusha hewaniusomaji wa Tarteel wa Qur'ani kwa mtindo wa Warsh kutoka kwa simulizi la Nafi' na Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad.
Habari ID: 3479958    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27

Itikadi
IQNA - Uislamu na Ukristo ni dini zenye mitazamo sawa kuhusu mambo kadhaa. Linapokuja suala la mtazamo wa dini hizi mbili kuhusu Nabii Isa (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) imani zote mbili zinamtambua Iss kama mtu muhimu, lakini kuna hitilafu kuhusu maisha yake, utume na hatima yake.
Habari ID: 3479951    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/25

Uislamu na Utamaduni
IQNA - Morocco inapanga kutafsiri tafsiri za Quran katika lugha ya Amazigh. Amazigh imekuwa lugha rasmi nchini Morocco tangu 2011.
Habari ID: 3479950    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24

Maelewano
IQNA - Wakati Krismasi ikiwa imewadia, afisa wa kundi kubwa zaidi la kutetea Waislamu nchini Marekani, akinukuu aya za Qur’ani Tukufu, amengazia jinsi Waislamu wanavyomheshimu Yesu au Nabii Isa (AS).
Habari ID: 3479946    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Umrah
IQNA – Msanii maarufu katika mtandao wa kijamii wa TikTok Khaby Lame hivi majuzi alipata taufiki ya kutekeleza Hija ndogo ya Umrah nchini Saudi Arabia na akiwa mbele ya Kaaba Tukufu.
Habari ID: 3479943    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mji mkuu wa Nepal wa Kathmandu ni mwenyeji wa toleo la pili la mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3479942    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule ya kuhifadhi Qur'ani imezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kutoa mafunzo kwa wahifadhi mia moja wa Qur'ani kila mwaka.
Habari ID: 3479937    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22

IQNA - Kikao cha Kusoma Qur'ani kiifanyika kwenye kaburi tukufu la Bibi Masoumah (SA) huko Qom, Iran, tarehe 18 Desemba 2024. Vijana waliohifadhi Qur'ani walitunukiwa katika hafla hiyo.
Habari ID: 3479934    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mtaalamu na mwanaharakati wa Qur'ani wa Iran amepongeza maandalizi ya kitaalamu ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3479932    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21