Kwa mnasaba wa Maulidi
TEHRAN (IQNA)- Tuko katika siku tukufu za kuadhimisha Maulid ya Mtume Mtukufu wa Uislamu Mohammad al Mustafa SAW, siku ambazo ni maarufu kama Maulidi.
Habari ID: 3474443 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/19
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Bangladesh.
Habari ID: 3474423 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/14
TEHRAN (IQNA)- Najmu Saqib ni qarii ambaye usomaji wake wa Qur'ani Tukufu umepata umashuhiri katika nchi yake na maeneo mengine duniani.
Habari ID: 3474403 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Watu 100 waliohifadhi Qur’ani Tukufu nchini Misri katika mji wa Al-ʾIskandariyah (Alexandria) wameenziwa na kutunukiwa zawadi baada ya mashindani makubwa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474398 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08
TEHRAN (IQNA)- Ahmed Garg Rupari, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ubunifu ya Manispaa ya Al Rahmaniya katika mji wa Sharjah huko Umoja wa Falme za Kiarabu ametangaza kuzinduliwa mashindano ya Qur’ani yaliyopewa jina la ‘Soma Qur’ani.”
Habari ID: 3474381 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04
TEHRAN (IQNA)- Mahmoud Yusuf ni mvulana mwenye umri wa miaka sita kutoka Libya ambaye ana ustadi mkubwa katika kusoma Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474378 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameitunuku familia ya shujaa shahidi Landi zawadi ya Qur’ani Tukufu kutokana na kitendo cha kishujaa cha kijana huyo cha kuokoa maisha ya wanawake wawili hivi karibuni.
Habari ID: 3474374 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03
TEHRAN (IQNA)- Binti Mmisri ameshinda mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani ambayo yameandaliwa na Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini humo.
Habari ID: 3474364 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30
TEHRAN (IQNA)- Sambamba na siku za Arubaini ya Imam Hussein AS, wasomaji Qur’ani Tukufu katika ngazi ya kimataifa wameshiriki katika vikao vya kusoma Qur’ani ambavyo vimeandaliwa na Shirika la Habari la IQNA chini ya kaulimbiu ya ‘Ya Hussein katika Mazingira ya Qur’ani’.
Habari ID: 3474357 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29
TEHRAN (IQNA)- Abdullah Ammar Mohammad al-Sayyed ni kijana Mmisri mwenye ulemavu wa macho ambaye alifanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika kipindi cha miezi mitatu tu.
Habari ID: 3474352 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28
TEHRAN (IQNA)- Vijana Wapalestina wapatao 140 ambao wamehifadhi Qur’ani Tukufu wameshiriki katika matembezi huko katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3474338 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25
TEHRAN (IQNA)- Ufalme wa Saudi Arabia umeandaa uchunguzi wa maoni kuhusu kupiga marufuku somo la Qur’ani katika vyuo vikuu vya nchi hiyo jambo ambalo limeibua mijadala mikali katika mitando ya kijamii.
Habari ID: 3474327 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/22
TEHRAN (IQNA) – Hafla imefanyika katika mji wa Khan Yunis katika eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza kwa lengo la kuwaenzi wanafunzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474321 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21
TEHRAN (IQNA) – Darul Iftaa ya Misri imetangaza marufuku ya kuandika aya za Qur'ani Tukufu kwa alfabeti za kilatini.
Habari ID: 3474316 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/20
TEHRAN (IQNA)- Duru ya Tano ya Kozi Maalumu ya Kanuni za Tilawa ya Qur’ani Tukufu inafanyika nchini Mali kwa himaya ya Kituo cha Darul Qur’an cha Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474306 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17
TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika katika kijiji kimoja kaskazini mwa Misri kuwaenzi wanafunzi waliohifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3474285 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kuchapisha Qur’ani Tukufu nchini Kuwati imechapisha Juzuu ya 30 ya Qur’ani Tukufu kwa hati za Baraille au maandishi nukta nundu.
Habari ID: 3474279 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Jordan wa Wakfu, Masuala ya Kiislamu na Maeneo Matakatifu amesema kuna zaidi ya vituo 2,000 vya Qur'ani vinavyotumika wakati wa msimu wa joto nchini humo.
Habari ID: 3474264 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Dar Al-Quran na Al-Sunnah ya Ukanda wa Ghaza zimefanya matembezi makubwa ya watoto wa Qur'ani katika kambi ya Nuseirat katikati mwa eneo hilo
Habari ID: 3474261 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/05
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Murad Sabati ni qarii maarufu wa Qur'ani Tukufu nchini Algeria ambaye ana sauti nzuri.
Habari ID: 3474251 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02