iqna

IQNA

imam hussein as
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) -Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wameshiriki katika marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3475801    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa ushiriki wa wafanyaziara wa Kiislamu wapatao milioni 20 katika matembezi ya Arbaeen nchini Iraq mwaka huu ni muujiza.
Habari ID: 3475799    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17

Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni muujiza wa Mwenyezi Mungu na moja ya madhihirisho na vielelezo vya umoja wa Waislamu na akasisitiza kuwa: Ashura ingali hai na itaendelea kuwa hai.
Habari ID: 3475798    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaja tukio la kimiujiza la maandamano na matembezi ya Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu ya kunyanyua juu bendera ya Uislamu ya Ahlul Bayt-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yao-.
Habari ID: 3475797    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Gavana wa Karbala, Iraq ametangaza kuwa, wafanyaziara kutoka nchi 80 katika maadhimisho ya mwaka huu za Arbaeen mwaka huu wa 1444 Hijria Qamari sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475792    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Mamilioni ya Waislamu wako katika safari ya kuelekea kwenye haram tukufu ya Imam Hussein (AS), ili kuonyesha mapenzi na kujitolea kwao kwa mjukuu kipenzi wa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3475787    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Wahusika wa Karbala /3
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria au 680 Miladia, mrengo wa haki na ukweli ulikabiliana na mrengo wa batili na uwongo.
Habari ID: 3475784    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14

Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (PMU) kimegundi maroketi katika mji mtakatifu wa Karbala wakati siku ya Arbaeen inapokaribia huku idadi kubwa ya wafanyaziara wakiwa wamekusanyika kwenye mji huo mtakatifu.
Habari ID: 3475775    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/13

Wahusika wa Karbala /2
TEHRAN (IQNA) -Vita vya Karbala vinaleta mafunzo mengi. Miaka 1383 iliyopita tarehe 10 Muharram katika siku ya Ashura, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Kiislamu na ya mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na batili katika ardhi ya Karbala katika Iraq ya leo.
Habari ID: 3475769    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12

Wahusika wa Karbala /1
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria Qamaria au 680 Miladia, pande za ukweli zilikabili upande wa batili na uongo.
Habari ID: 3475763    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yamewekwa kwenye barabara kati ya miji mitukufu ya Najaf na Karbala nchini Iraq wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3475761    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) – Idara ya afya ya mkoa wa Karbala nchini Iraq imezindua mpango maalum wa afya kwa ajili ya maombolezo ya Arbaeen ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475739    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran amegusia mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA, na kuziasa nchi za Ulaya kukumbatia fursa iliyopo ya kufidia na kusahihisha makosa yake mkabala wa mapatano hayo ya kimataifa.
Habari ID: 3475722    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq amesema uwanja huo umeandaliwa kupokea zaidi ya safari 200 za ndege kila siku kuanzia siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Safar unaotazamiwa kuanza Agosti 29.
Habari ID: 3475632    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa mamlaka za Iraq, zaidi ya wafanyaziarai milioni sita walitembelea maeneo matakatifu ya Karbala siku ya Jumanne, Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475606    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Siku ya Ashura
TEHRAN (IQNA) – Nafasi ya wanawake katika mwamko wa Ashura yote imekuwa chanya. Sio tu kwamba kuna jukumu la wanawake wa kipekee kama Bibi Zaynab (SA) na Umm Salama, lakini pia hakuna ukandamizaji uliotekelezwa na na wanawake na kwani hata wake wa baadhi ya makamanda wa jeshi la Yazid bin Muawiya wamewakemea waume zao.
Habari ID: 3475602    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10

Kiongozi wa Ansarullah Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
Habari ID: 3475598    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09

Ashura
TEHRAN (IQNA)- Leo ni Jumatatu tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria Qamaria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2022. Hii ni Siku ya Ashura ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani hukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3475595    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Maombolezo ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Usiku wa kuamkia leo umesadifiana na usiku wa mwezi tisa Mfunguo Nne, Muharram, siku ambayo ni maarufu kwa jina la Tasua ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475590    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07