iqna

IQNA

Arbaeen 1446
IQNA - Afisa wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa (SAW) anasema maelfu ya wanafunzi kutoka chuo hicho watashiriki matembezi ya Arbaeen mwaka huu ili kueneza mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3479261    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/11

Arbaeen 1446
IQNA - Rais Masoud Pezeshkian wa Iran aliipongeza serikali ya Iraq kwa uratibu na ushirikiano na Jamhuri ya Kiislamu ili kuimarisha huduma zinazotolewa kwa wafanyaziara wa Arbaeen.
Habari ID: 3479226    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/04

Arbaeen 1446
IQNA - Jumla ya mawkib 3,500 za Iran zitatayarishwa kuhudumia wafanyaziara takribani milioni tano katika matembezi ya mwaka huu ya Arbaeen (Arobaini au Arba'in).
Habari ID: 3479175    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/23

IQNA - Waislamu wa madhehebu ya Shia walifanya maombolezo ya Muharram huko mjini Leicester, Uingereza, siku ya Jumapili mchana kwa ajili ya kukumbuka maisha na kuuawa shahidi Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3479138    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/16

Mtume (SAW
Qur'ani Tukufu inasisitiza katika aya nyingi kwamba pamoja na utii kwa Mwenyezi Mungu, kumtii Mtume (SAW) na Ulul Amr pia ni Wajib (wajibu).
Habari ID: 3479121    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

IQNA - Wanazuoni waandamizi wa Bahrain walisisitiza ulazima wa kutumia uwezo wote kutangaza ujumbe wa Imam Hussein (AS) kuhusu mauaji aliyofanyiwa siku ya Ashura.
Habari ID: 3479097    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/09

Arbaeen
IQNA - Balozi wa Iran nchini Iraq Mohammad Kazem Al Sadeq amesema kuimarika kila mwaka mjumuiko na matembezi ya Arbaeen kama mfano wa utamaduni adhimu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478699    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19

Jumatano ya leo ya tarehe 6 Septemba 2023 inasadifiana na maombolezo ya Arubaini ya Imam Husain AS, yaani siku ya 40 tangu Imam Husain AS na wafuasi wake watiifu walipouawa kinyama kwenye jangwa la Karbala mwezi 10 Mfunguo Nne Muharram, mwaka wa 61 Hijria.
Habari ID: 3477555    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/06

Arabaeen 1435
BAGHDAD (IQNA) - Wizara ya mambo ya ndani ya Iraq imesema zaidi ya wafanyaziara milioni 3.4 wa kigeni wameingia katika nchi hiyo ya Kiarabu tangu kuanza kwa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3477546    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/04

Arbaeen 1435
TEHRAN (IQNA) – Mtazamo wa muono wa mbali wenye kuainisha mwelekeo kwa safari ya kidini au Ziara ya Arabeen ni muhimu sana.
Habari ID: 3477537    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/02

Arbaeen 1435
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa Arbaeen ni kwamba lazima tujitahidi katika njia ya haki na kuhuisha ukweli katika hali zote.
Habari ID: 3477523    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/30

Arbaeen 1445
KARBALA (IQNA) – Kongamano la kwanza la wanaharakati katika uwanja wa Elimu ya Kiislamu litafanyika katika mji mtakatifu wa Karbala wakati wa msimu wa Arabeen.
Habari ID: 3477499    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/26

Arbaeen 1445
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya waandishi wa habari 600 kutoka nchi mbalimbali wataangazia matukio yanayohusiana na matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen nchini Iraq.
Habari ID: 3477484    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/24

Arabeen 1445
TEHRAN (IQNA) – Mamilioni ya watu kutoka duniani kote wanaelekea katika tukio la kila mwaka la Arbaeen, ambalo linaweza kuongeza ufahamu wa kimataifa wa madhehebu ya Kiislamu ya Shia kama vyombo vya habari vya kawaida vitaamua kufanya hivyo.
Habari ID: 3477468    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/20

Harakati ya Imam Hussein (AS)
KARBALA (IQNA) – Ziara ya kidini ya kila mwaka ya Arbaeen ambayo ni safari muhimu ya kidini ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na wale wote wanaoguswa na harakati adhimu ya Imam Hussein (AS), imeanza kutoka eneo la kusini mwa Iraq.
Habari ID: 3477423    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Wafanyaziara milioni 16 wameingia Karbala, Iraq katika siku 10 za kwanza za mwezi wa Muharram mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3477358    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Muharram 1435
TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki shughuli ya siku ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
Habari ID: 3477351    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mapambano ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS) hapo mwaka 61 Hijria dhidi ya dhulma na ufisadi wa Bani Umayya ilijaa hamasa, kujitolea na kusabilia kila kitu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, haki na uadilifu, na kwa sababu hiyo imegusa sana nyoyo za Waislamu na hata wapenda haki na kweli wasio Waislamu na kuzusha vuguvugu na hamasa ya aina yake ndani ya nafsi za wapenzi wa mtukufu huyo.
Habari ID: 3477343    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/26

Muharram 1445
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliingia kwenye mitaa ya New York katika maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3477338    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25

Mjue Imam Hussein -Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- (AS)
TEHRAN (IQNA) – Tangu mwanzo wa safari yake ya kwenda Makka na kisha Karbala, Imam Hussein (AS) alisoma aya za Qur’ani Tukufu katika nyakati tofauti.
Habari ID: 3477323    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/22