Wahusika wa Karbala /2
TEHRAN (IQNA) -Vita vya Karbala vinaleta mafunzo mengi. Miaka 1383 iliyopita tarehe 10 Muharram katika siku ya Ashura, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Kiislamu na ya mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na batili katika ardhi ya Karbala katika Iraq ya leo.
Habari ID: 3475769 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12
Wahusika wa Karbala /1
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria Qamaria au 680 Miladia, pande za ukweli zilikabili upande wa batili na uongo.
Habari ID: 3475763 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yamewekwa kwenye barabara kati ya miji mitukufu ya Najaf na Karbala nchini Iraq wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3475761 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) – Idara ya afya ya mkoa wa Karbala nchini Iraq imezindua mpango maalum wa afya kwa ajili ya maombolezo ya Arbaeen ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475739 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05
Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran amegusia mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA, na kuziasa nchi za Ulaya kukumbatia fursa iliyopo ya kufidia na kusahihisha makosa yake mkabala wa mapatano hayo ya kimataifa.
Habari ID: 3475722 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02
TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq amesema uwanja huo umeandaliwa kupokea zaidi ya safari 200 za ndege kila siku kuanzia siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Safar unaotazamiwa kuanza Agosti 29.
Habari ID: 3475632 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa mamlaka za Iraq, zaidi ya wafanyaziarai milioni sita walitembelea maeneo matakatifu ya Karbala siku ya Jumanne, Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475606 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11
Siku ya Ashura
TEHRAN (IQNA) – Nafasi ya wanawake katika mwamko wa Ashura yote imekuwa chanya. Sio tu kwamba kuna jukumu la wanawake wa kipekee kama Bibi Zaynab (SA) na Umm Salama, lakini pia hakuna ukandamizaji uliotekelezwa na na wanawake na kwani hata wake wa baadhi ya makamanda wa jeshi la Yazid bin Muawiya wamewakemea waume zao.
Habari ID: 3475602 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/10
Kiongozi wa Ansarullah Yemen
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdulmalik Badruddin Al-Houthi amesema, Imam Hussein (AS) alisimama kupambana kwa ajili ya kuuokoa Uislamu na shari ya maadui.
Habari ID: 3475598 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09
Ashura
TEHRAN (IQNA)- Leo ni Jumatatu tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria Qamaria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2022. Hii ni Siku ya Ashura ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani hukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3475595 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08
Maombolezo ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Usiku wa kuamkia leo umesadifiana na usiku wa mwezi tisa Mfunguo Nne, Muharram, siku ambayo ni maarufu kwa jina la Tasua ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475590 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07
Ashura
TEHRAN (IQNA) – Mwamko Ashura ni kielelezo cha kipekee cha mapambano dhidi ya mifumo mbovu ya kisiasa na njia mbovu za utawala.
Habari ID: 3475587 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06
Maombolezo ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA0- Mijumuiko maalumu wa 'Vichanga Vinyonyavyo vya Imam Hussein (AS)' Imefanyika leo sambamba na Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa Muharram katika maeneo 7,500 nchini Iran na katika nchi zingine 45 duniani.
Habari ID: 3475581 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema fadhila za msingi za harakati ya Imam Hussein AS zilikuwa ni mapambano au muqawama, subira na istiqama.
Habari ID: 3475580 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05
Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04
Mwezi wa Muharram
TEHRAN (IQNA)- Julai 30, 2022 imesadifiana ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1444 Hijria Qamaria. Huu ni mwezi ambao Waislamu na wapenda haki duniani hukumbuka mapambano ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475565 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31
TEHRAN (IQNA)- Siku ya kwanza ya tamthilia ya kimataifa Taaziya imefanyika mjini Tehran katika medani ya Imam Hussein AS huku kukiwa na makundi ya wanatamthilia kutoka Nigeria na mji wa Isfahan, kati mwa Iran.
Habari ID: 3475551 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/28
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya waumini wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika eneo lililo baina ya Haram Mbili Takatifu za Imam Hussein AS na Hadhrat Abbas AS linalojulikana kama Bayn al-Haramayn katika mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3475203 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04
TEHRAN (IQNA)- Kitengo cha Kimataifa cha Taasisi ya Darul Qur’an ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Hussein AS inaendeleza harakati zake za Qur’ani Tukufu nchini Mali.
Habari ID: 3474724 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26
KARBALA (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Haram ya Imam Hussein AS katika mji wa Karbala limefunguliwa.
Habari ID: 3474481 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27