Ashura
TEHRAN (IQNA) – Mwamko Ashura ni kielelezo cha kipekee cha mapambano dhidi ya mifumo mbovu ya kisiasa na njia mbovu za utawala.
Habari ID: 3475587 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06
Maombolezo ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA0- Mijumuiko maalumu wa 'Vichanga Vinyonyavyo vya Imam Hussein (AS)' Imefanyika leo sambamba na Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa Muharram katika maeneo 7,500 nchini Iran na katika nchi zingine 45 duniani.
Habari ID: 3475581 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema fadhila za msingi za harakati ya Imam Hussein AS zilikuwa ni mapambano au muqawama, subira na istiqama.
Habari ID: 3475580 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/05
Hali ya Waislamu Bahrain
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa kiimla wa Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake wa kikatili dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kabla ya Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475577 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04
Mwezi wa Muharram
TEHRAN (IQNA)- Julai 30, 2022 imesadifiana ni tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram mwaka 1444 Hijria Qamaria. Huu ni mwezi ambao Waislamu na wapenda haki duniani hukumbuka mapambano ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3475565 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31
TEHRAN (IQNA)- Siku ya kwanza ya tamthilia ya kimataifa Taaziya imefanyika mjini Tehran katika medani ya Imam Hussein AS huku kukiwa na makundi ya wanatamthilia kutoka Nigeria na mji wa Isfahan, kati mwa Iran.
Habari ID: 3475551 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/28
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya waumini wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr katika eneo lililo baina ya Haram Mbili Takatifu za Imam Hussein AS na Hadhrat Abbas AS linalojulikana kama Bayn al-Haramayn katika mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3475203 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04
TEHRAN (IQNA)- Kitengo cha Kimataifa cha Taasisi ya Darul Qur’an ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Hussein AS inaendeleza harakati zake za Qur’ani Tukufu nchini Mali.
Habari ID: 3474724 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26
KARBALA (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Haram ya Imam Hussein AS katika mji wa Karbala limefunguliwa.
Habari ID: 3474481 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27
TEHRAN (IQNA)- Sambamba na siku za Arubaini ya Imam Hussein AS, wasomaji Qur’ani Tukufu katika ngazi ya kimataifa wameshiriki katika vikao vya kusoma Qur’ani ambavyo vimeandaliwa na Shirika la Habari la IQNA chini ya kaulimbiu ya ‘Ya Hussein katika Mazingira ya Qur’ani’.
Habari ID: 3474357 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la Kimataifa la ‘Arubaini, Umaanawi na Fadhila za Kiakhlaqi’ limefanyika katika mji wa Karbala.
Habari ID: 3474354 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28
TEHRAN (IQNA)- Waombolezaji, aghalabu wakiwa ni Waislamu wa madhehebu ya Shia, kutoka Iraq na mataifa mengine duniani wakiwa katika matembezi ya kuelekea Karbala kwa ajili ya kumbukumbu ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474351 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28
TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq wamesema kuwa, takwimu za awali zinaonesha kwamba wafanya ziara ya Arubaini ya Imam Husain AS mwaka huu katika Haram ya mtukufu huyo ni zaidi ya watu milioni 14.
Habari ID: 3474347 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelefu ya waombolezaji, aghalabu wakiwa ni Waislamu wa madhehebu ya Shia, kutoka Iraq na mataifa mengine duniani wamefika au wanaelekea Karbala kwa ajili ya kumbukumbu ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474333 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24
TEHRAN (IQNA)- Kituo kimoja cha Qur’ani nchini Iraq kinatoa mafunzo ya qiraa sahihi ya Qur’ani tukufu kwa wanaoshiriki katika matembezi na ziara ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474322 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21
TEHRAN (IQNA)- Iraq imeafiki kuwaruhusu Wairini 60,000 kushiriki katika ziyara na mjumuiko wa siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS mwaka huu.
Habari ID: 3474292 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13
TEHRAN (IQNA)- Awamu ya 5 ya Kongamano la Kimataifa la Arubaini ya Imam Hussein AS limefanyika kwa muda wa siku mbili mjini Karbala Iraq.
Habari ID: 3474291 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13
TEHRAN (IQNA)- Wakaazi wa mji wa Basra kusini mwa Iraq wameanza matembezi ya kuelekea katika mji mtakatifu wa Karbala kushiriki katika Ziyara ya Arobaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474268 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07
TEHRAN (IQNA)- Askari polisi nchini Nigeria Alkhamisi waliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein (AS) na kuua watu watatu na kujeruhi wengine wasiopungua 12.
Habari ID: 3474211 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/21
TEHRAN (IQNA)- Naibu Mkuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq ametangaza kuwa mazuwari takribani milioni sita wamehiriki katika maombolezo ya Imam Hussein AS yaliyofanyika katika Siku ya Ashura hapo jana kwenye mji huo mtakatifu.
Habari ID: 3474209 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20