IQNA – Wasimamizi wa Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza kukamilika kwa maandalizi katika milango yote ya kuingilia kaburi hilo takatifu kwa ajili ya kuwapokea waumini wanaoshiriki katika tukio la kuomboleza linalojulikana kama Tuwairaj.
Habari ID: 3480899 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05
Imam Hussein (AS) katika Qur'an /3
IQNA – Imani juu ya Raj’a (kurejea duniani) katika mwamko wa Imam Hussein (AS) pamoja na masahaba wake waaminifu, hubeba baraka nyingi za kiroho na maadili.
Habari ID: 3480896 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/05
IQNA – Idara ya kiufundi na uhandisi ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza kutekelezwa kwa mradi maalumu wa kiyoyozi unaolenga kuwawekea mazingira mazuri kwa ajili ya wafanyaziara ji katika siku za maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3480894 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/04
Imam Hussein (AS) katika Qur’an – Sehemu ya 2
IQNA – Dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS) ni ya wazi na ya kina kiasi kwamba inaweza kuchukuliwa kuwa ni taswira halisi ya baadhi ya aya tukufu za Qur’ani.
Habari ID: 3480887 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/03
IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Iran amesisitiza umuhimu mkubwa wa mapinduzi ya Imam Hussein (AS) katika kufufua uhai wa Uislamu wa kweli na kufichua unafiki uliokuwa umejificha ndani ya umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3480882 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/02
Imam Hussein (AS) katika Qur’ani Tukufu
IQNA – Baadhi ya aya za Qur’an Tukufu zinamhusu, Imam Hussein (AS), ambaye ni shakhsia adhimu na mtukufu katika Uislamu.
Habari ID: 3480878 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/01
IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kimataifa na wa milele wa harakati ya Imam Hussein (AS), akiuelezea kama ujumbe wa kibinadamu unaowagusa watu wote, bila kujali dini wala asili.
Habari ID: 3480875 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/30
IQNA – Pamoja na kuwasili kwa mimu wa huzuni katika mwezi wa Muharram, mitaa inayoelekea kwenye makaburi matakatifu ya Imam Hussein (AS) na Hazrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imeanza kushuhudia maombolezo makubwa.
Habari ID: 3480865 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/28
IQNA-Iran imetangaza kaulimbiu rasmi ya matembezi adhimu ya ya Arbaeen mwaka 1447 (2025), ni Inna Ala Al-Ahd" (Tuko Katika Ahadi") ili kuonyesha uaminifu kwa maadili ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480646 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/06
IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wa vyombo vya habari kutoka Italia, uliotembelea taasisi kadhaa chini ya Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), huko Karbala, Iraq umesifu huduma za kisasa zinazotolewa na idara hiyo katika nyanja mbalimbali, hasa afya na elimu.
Habari ID: 3480622 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02
IQNA – Mkutano wa wasomaji wa Qur'ani (qaris) na wahifadhi wa Qur'ani kutoka nchi 18 ulifanyika huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3480610 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Auno Saarela, balozi wa Ufini (Finland) nchini Iraq, hivi karibuni alitembelea Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, ambapo alishiriki tajiriba yake ya kuvaa hijabu.
Habari ID: 3480609 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/29
IQNA – Kituo cha Karbala cha Utafiti, kilichoko chini ya uangalizi wa Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), kimetangaza wito wa kuwasilisha makala kwa ajili y Kongamano la 9 la Kimataifa la Kielimu kuhusu Hijja ya Arubaini.
Habari ID: 3480544 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/15
IQNA – Wanachuo wa kiume na wa kike wa Qur’ani zaidi ya 1,000 wameshiriki katika mpango wa kimataifa wa kuhifadhi na kufasiri Surah Sad uliofanyika mjini Qom, Iran.
Habari ID: 3480499 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/05
IQNA – Kongamano la Kimataifa la "Arbaeen na Utamaduni wa Muqawama" lilianza mjini Kerman, Iran, Jumanne.
Habari ID: 3480203 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/12
IQNA – Uongozi wa Haram ya Imam Hussein (AS) (Astan) umetangaza Ayatullah Mkuu Abdollah Javadi Amoli, kiongozi mashuhuri wa kidini kutoka Iran, kuwa "Mtu wa Mwaka wa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480149 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/02
Qur'ani Tukufu
IQNA – Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq, imetangaza ratiba kabambe kwa ajili ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Qur'ani mnamo 27 Rajab, 1446 (sawa na Januari 28, 2025).
Habari ID: 3480077 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
IQNA – Mkutano wa mashauriano kati ya Dar ol-Quran wa Haram Takatifu wa Imam Hussein (AS) na wanazuoni wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu jijini Najaf ulifanyika ili kujiandaa kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3480026 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10
Ahlul Bayt (AS)
IQNA – Toleo la pili la maonyesho ya maeneo matakatifu ya Shia yatafanyika katika vituo vya Kiislamu na kitamaduni barani Ulaya.
Habari ID: 3479938 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22
Arbaeen 1446
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa shukurani zake kwa wenye mawkib na taifa la kubwa la Iraq katika kipindi cha kumbukumbu ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3479419 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11