Muharram 1435
TEHRAN (IQNA)- Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo wameshiriki shughuli ya siku ya Ashura ya kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).
Habari ID: 3477351 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28
Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mapambano ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS) hapo mwaka 61 Hijria dhidi ya dhulma na ufisadi wa Bani Umayya ilijaa hamasa, kujitolea na kusabilia kila kitu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, haki na uadilifu, na kwa sababu hiyo imegusa sana nyoyo za Waislamu na hata wapenda haki na kweli wasio Waislamu na kuzusha vuguvugu na hamasa ya aina yake ndani ya nafsi za wapenzi wa mtukufu huyo.
Habari ID: 3477343 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/26
Muharram 1445
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliingia kwenye mitaa ya New York katika maombolezo ya Muharram.
Habari ID: 3477338 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/25
Mjue Imam Hussein -Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake- (AS)
TEHRAN (IQNA) – Tangu mwanzo wa safari yake ya kwenda Makka na kisha Karbala, Imam Hussein (AS) alisoma aya za Qur’ani Tukufu katika nyakati tofauti.
Habari ID: 3477323 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/22
Muharram
TEHRAN (IQNA)- Waislamu kote duniani wanaukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu ambapo umeanza Mosi Muharram.
Habari ID: 3477305 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/19
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, amesema Waislamu duniani kote wanapaswa kuungana chini ya bendera ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476640 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa toleo la 8 la Tuzo la Kimataifa la Arbaeen walitangazwa na kutunukiwa katika sherehe hapa Tehran siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3476523 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06
Ahul Bayt wa Mtume SAW
TEHRAN (IQNA)- Siku ya kukumbuka kuzaliwa Imam Ali bin Abi Talib AS ni maarufu kama inajulikana pia kwa jina la Siku ya Baba nchini.
Habari ID: 3476508 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04
Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema amepata mvuto wa kipekee wa kiroho alipokuwa akitembelea Haram (kaburi) takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3476293 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23
Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi wa Iraq (PMU) vimetoa mapigo makubwa kwa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS) katika Jimbo la Diyala la nchi hiyo wakati wa msimu wa Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS
Habari ID: 3475807 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) -Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wameshiriki katika marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein (AS).
Habari ID: 3475801 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18
Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa ushiriki wa wafanyaziara wa Kiislamu wapatao milioni 20 katika matembezi ya Arbaeen nchini Iraq mwaka huu ni muujiza.
Habari ID: 3475799 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17
Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni muujiza wa Mwenyezi Mungu na moja ya madhihirisho na vielelezo vya umoja wa Waislamu na akasisitiza kuwa: Ashura ingali hai na itaendelea kuwa hai.
Habari ID: 3475798 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaja tukio la kimiujiza la maandamano na matembezi ya Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu ya kunyanyua juu bendera ya Uislamu ya Ahlul Bayt-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yao-.
Habari ID: 3475797 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Gavana wa Karbala, Iraq ametangaza kuwa, wafanyaziara kutoka nchi 80 katika maadhimisho ya mwaka huu za Arbaeen mwaka huu wa 1444 Hijria Qamari sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475792 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, mapambano ya watu wa Palestina na Yemen ni muendelezo wa mapambano ya Ashura katika jangwa la Karbala mwaka 61 Hijria.
Habari ID: 3475790 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16
Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Mamilioni ya Waislamu wako katika safari ya kuelekea kwenye haram tukufu ya Imam Hussein (AS), ili kuonyesha mapenzi na kujitolea kwao kwa mjukuu kipenzi wa Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3475787 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15
Wahusika wa Karbala /3
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria au 680 Miladia, mrengo wa haki na ukweli ulikabiliana na mrengo wa batili na uwongo.
Habari ID: 3475784 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14
Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (PMU) kimegundi maroketi katika mji mtakatifu wa Karbala wakati siku ya Arbaeen inapokaribia huku idadi kubwa ya wafanyaziara wakiwa wamekusanyika kwenye mji huo mtakatifu.
Habari ID: 3475775 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/13
Wahusika wa Karbala /2
TEHRAN (IQNA) -Vita vya Karbala vinaleta mafunzo mengi. Miaka 1383 iliyopita tarehe 10 Muharram katika siku ya Ashura, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Kiislamu na ya mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na batili katika ardhi ya Karbala katika Iraq ya leo.
Habari ID: 3475769 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/12