Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani imeshindwa katika ndoto yake ya kubadilisha mfumo wa dunia.
Habari ID: 1411335 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/26
Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itapata ushindi katika kuyakabili na hatimaye kuyaondoa mashinikizo dhidi ya miradi yake ya nishati ya nyuklia.
Habari ID: 1411319 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, iwapo taifa la Iran litajikita katika kuimarisha uwezo wa ndani ya nchi, basi Marekani na madola mengine makubwa hayawezi kuthubutu kufanya chochote dhidi ya nchi hii.
Habari ID: 1406967 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, ni upumbavu wa mwisho wa adui kudhani kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itawekea mipaka na kikomo mipango yake ya makombora.
Habari ID: 1406354 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwaenzi na kuwaheshimu wafanyakazi na wale wote wanaohusika katika uga wa uzalishaji ni dharura ambayo imesisitizwa na Uislamu.
Habari ID: 1401876 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi na Imam wa Sala ya Ijumaa wa Jamii ya Masunni katika mji Sanandaj magharibi mwa Iran.
Habari ID: 1399942 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/26
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kuwepo idadi kubwa ya wanawake wenye vipaji, wasomi, wenye fikra nzuri na wateule katika Iran ya Kiislamu ni miongoni mwa neema za Mwenyezi Mungu na mojawapo ya fahari kubwa zaidi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 1397288 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/20
Mashindano ya Qur’ani nchini Kenya yameingia wiki yake ya pili kwa kufanyika awamu ya mchujo katika Masjid Kambi eneo la Kibra katika mji mkuu, Nairobi.
Habari ID: 1390167 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/31
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amekosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji ya umati yanayofanyika katika Jamhuri ya Afrika ya Kati dhidi ya Waislamu. Ayatullah Sayyid Ahmad Khatami amebainisha masikitiko yake kuwa makundi ya Wakristo wenye misimamo mikali wameachwa kuendelea na mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu katika nchi hiyo ya Kiafrika.
Habari ID: 1380936 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/28
Spika wa Bunge la Uganda ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuzingatia zaidi suala la malezi ya vijana hasa wale ambao wanajihusisha na shughuli za kisayansi na kiufundi.
Habari ID: 1377673 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/20
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei Jumatatu alihutubia maelfu ya wananchi wa miji mbalimbali ya mkoa wa Azarbayjan Mashariki waliokwenda kuonana naye akilishukuru taifa la Iran kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya tarehe 22 Bahman (Februari 11) ya kuadhimisha miaka 35 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
Habari ID: 1376766 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/18
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu amesema kuhusiana na mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na mataifa sita yenye nguvu duniani kwamba, mazungumzo hayo yanaweza kutatua masuala yote kama nchi za Magharibi zitaacha kutoa visingizio.
Habari ID: 1373535 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/10