صفحه نخست

فعالیت قرآنی

سیاست و اقتصاد

بین الملل

معارف

اجتماعی

فرهنگی

شعب استانی

چندرسانه ای

عکس

آذربایجان شرقی

آذربایجان غربی

اردبیل

اصفهان

البرز

ایلام

خراسان جنوبی

بوشهر

چهارمحال و بختیاری

خراسان رضوی

خراسان شمالی

سمنان

خوزستان

زنجان

سیستان و بلوچستان

فارس

قزوین

قم

کردستان

کرمان

کرمانشاه

کهگیلویه و بویر احمد

گلستان

گیلان

لرستان

مازندران

مرکزی

هرمزگان

همدان

یزد

بازار

صفحات داخلی

کد خبر: ۱۳۰۶۷۵۵
تاریخ انتشار : ۳۰ مهر ۱۳۹۲ - ۲۱:۳۰

Mfalme wa Brunei amesema sheria za Kiislamu zitaanza kutekelezwa katika mahakama za nchi hiyo hivi karibuni.



Sultan Hassanal Bolkiah wa Brunei amesema sheria za Kiislamu zitaanza kutekelezwa katika mahakama za nchi hiyo miezi sita ijayo. Amesema kuwa, utekelezaji wa sheria za Kiislamu nchini humo ni katika jitihada za kutekeleza amri za Mwenyezi Mungu.


Ni vyema kukumbusha hapa kuwa nchi ya Brunei iko kusini mashariki mwa Asia na mji mkuu wake ni Bandar Seri Begawan.


Jamii ya nchi hiyo ilikuwa watu laki nne mwaka 2001 na lugha yake rasmi ni Malai.


Dini rasmi ya Brunei ni Uislamu na zaidi ya silimia 60 ya watu wa nchi hiyo ni Waislamu. 1306425