IQNA – Baada ya kuonekana au kutokuonekana kwa hilali ya mwezi wa Shawwal katika mabara mbalimbali, Waislamu duniani wanaadhimisha Eid al‑Fitr katika siku tofauti.
Habari ID: 3482075 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/20
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 19 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482034 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/09
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 17 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482024 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/07
IQNA – Kituo cha Dar‑ul‑Qur'an cha Wanawake, kinachohusiana na Idara ya Usimamizi wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS), kinaandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa wasichana wadogo katika mji mtukufu wa Najaf.
Habari ID: 3482003 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA – Hafla kubwa ya futari ya pamoja ilifanyika katika kijiji cha Sernya Iluzan, kijiji kikubwa zaidi cha Waislamu katika eneo la Watatar wa Penza, nchini Urusi, ikiwakusanya mamia ya waumini.
Habari ID: 3482001 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Tisa ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3482000 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27
IQNA — Hujuma kubwa ilizuiwa Jumanne jioni katika Msikiti wa Kati wa Manchester, pale wajitolea waliokuwa makini walipomkabili na kumzuia mwanamume aliyeingia msikitini wakati wa swala za Tarawehe, akiwa amebeba begi lenye shoka, nyundo na kisu.
Habari ID: 3481997 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26
IQNA — Katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, dua za Waislamu wa Ufilipino mjini Manila zinabeba ombi maalumu.
Habari ID: 3481996 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Nane ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481995 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Saba ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481988 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Sita ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481987 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/24
IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu yajulikanayo kama “Wa Rattil” limeanza kurushwa kupitia mtandao wa Thaqalayn TV, sambamba na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481969 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/21
IQNA – Ataba (uongozi na usimamizi) wa Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, Iraq, umetangaza kukamilika kwa maandalizi yote ya kuandaa hafla ya Khatm Qurani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481963 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/20
IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya Kwanza ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
Habari ID: 3481958 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/19
IQNA-Jua lilipotua juu ya Gaza siku ya Jumanne, safu za waumini zilisimama kuswali, si ndani ya misikiti, bali juu ya magofu yake.
Habari ID: 3481957 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/19
IQNA – Kufuatia kuonekana kwa hilali ya mwezi mwandamo jioni ya Jumatano, Alhamisi ilitangazwa rasmi kuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani nchini Iran.
Habari ID: 3481956 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/19
IQNA — Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu ya Palestina imetangaza mpango jumuishi wa kuukaribisha na kuadhimisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al‑Aqsa, uliopo katika mji mtakatifu wa al‑Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
Habari ID: 3481954 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18
IQNA — Wizara ya Awqaf ya Misri imetangaza kuwatuma wasomaji wa Qur’ani na maimamu katika nchi 22 wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481953 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18
IQNA — Wakati baadhi ya nchi za Kiarabu zimetangaza Jumatano kuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Waislamu katika mataifa mengine mengi wataanza kufunga Alhamisi.
Habari ID: 3481952 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/18
IQNA – Kipindi maalumu cha Qur'ani kwa ajili ya kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani kinatarajiwa kutayarishwa na mwanaharakati wa vyombo vya habari wa Misri, Amr Al‑Laithi.
Habari ID: 3481944 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/16