al azhar

IQNA

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar katika mkoa wa Aswan, Misri, kimewatunuku zawadi na heshima maalumu dada watatu Wamisri waliokamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3481651    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/12

IQNA – Sheikh Ahmed Al-Tayeb, Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, amesisitiza kuwa kuzingatia kuhifadhi Qur'ani Tukufu ni msingi wa kujenga kizazi kipya cha vijana wenye uwezo wa kubeba ujumbe wa wema, rehema na amani – kiini cha risala ya Uislamu kwa ulimwengu.
Habari ID: 3481620    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/06

IQNA – Usajili wa wanafunzi wa kigeni wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar kwa mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Port Said umeanza rasmi.
Habari ID: 3481614    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Mielekeo ya Ugaidi kimeeleza wasiwasi wake kuhusu matumizi ya teknolojia ya Akili Mnemba (AI) na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) kwa madhumuni ya kuajiri wafuasi wapya.
Habari ID: 3481599    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/01

IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Wahitimu wa Al-Azhar imeandaa mashindano ya usomaji wa Qur’an ya “Sauti Njema” nchini Misri, tukio lililopokelewa kwa furaha na wanafunzi wa Al-Azhar kutoka mataifa mbalimbali.
Habari ID: 3481544    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/20

IQNA – Msikiti Mkuu wa Al-Azhar umetangaza uzinduzi wa matawi mapya 70 ya Taasisi ya Kuhifadhi Qur’ani ya Al-Azhar katika miji mbalimbali ya Misri.
Habari ID: 3481499    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/11

IQNA – Kisomo cha Qur’ani Tukufu kwa tarteel kilichorekodiwa na wanafunzi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kitaanza kurushwa hewani kupitia Idhaa ya Qur’ani ya Cairo kuanzia leo.
Habari ID: 3481496    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/10

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimezindua awamu ya kwanza ya mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu, maarufu kama Mashindano ya Sheikh Al-Azhar. Zaidi ya washiriki 150,000 wa kiume na wa kike kutoka mikoa mbalimbali ya Misri wanashiriki katika awamu hii ya mwanzo.
Habari ID: 3481476    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/06

IQNA – Sherehe maalum ya kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani Tukufu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar imefanyika katika mkoa wa Giza nchini Misri.
Habari ID: 3481464    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/04

IQNA – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmad al-Tayyib, amesema kuwa dunia inakumbwa na machafuko na ukosefu wa mantiki, hali ambayo chanzo chake ni kupuuzwa kwa maadili ya kidini na kiutu.
Habari ID: 3481456    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03

IQNA – Kituo cha Maendeleo ya Elimu kwa Wanafunzi wa Kigeni katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza uzinduzi wa matawi mawili mapya ya Shule ya Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Imam el-Tayeb.
Habari ID: 3481445    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01

IQNA – Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri amebainisha matumaini kuwa Italia itaungana na idadi inayoongezeka ya mataifa ambayo tayari yametambua rasmi taifa la Palestina.
Habari ID: 3481435    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/29

IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Itikadi Kali kimetoa onyo kali kuhusu matumizi mabaya ya teknolojia ya Akili Mnemba (AI) katika kuchochea chuki dhidi ya Waislamu nchini India.
Habari ID: 3481391    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/21

IQNA – Imamu Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu matukufu ydini na kuepa uka matusi au dharau dhidi matukufu yao.
Habari ID: 3481370    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/15

IQNA – Dr. Ahmed Omar Hashem, aliyewahi kuwa Rais wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar na mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wakuu wa taasisi hiyo, ameaga dunia alfajiri ya leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Habari ID: 3481335    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/07

QNA – Kwa jitihada za vituo vinavyohusiana na Al-Azhar nchini Misri, programu maalumu ya kufundisha Qur’ani Tukufu imezinduliwa kwa lengo la kuhudumia Kitabu Kitukufu cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3481318    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/02

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri utashiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa 8 wa Viongozi wa Dini za Dunia na Jadi utakaofanyika Kazakhstan.
Habari ID: 3481243    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/16

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza kuwa Siku ya Pili ya Kimataifa ya Khatm (Kuhitimisha) Qur'ani Tukufu itaadhimishwa siku ya Jumamosi, tarehe 30 Agosti.
Habari ID: 3481153    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti wa Oxford, nchini Uingereza na kuonya kwamba matendo ya aina hiyo huchochea uhasama na ni “tishio la moja kwa moja kwa mshikamano wa kijamii.”
Habari ID: 3481120    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22

IQNA – Mashindano ya tatu ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur’ani yanayoandaliwa na Msikiti Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri yatafanyika kwa ushirikiano na benki ya Kiislamu.
Habari ID: 3481046    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/06