iqna

IQNA

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Misri amesema kuwa lengo la mapinduzi ya Imam Hussein (Aleyhi Salaam) lilikuwa kufufua roho na kiini halisi cha dini, wakati ambapo maadili na thamani sahihi za Kiislamu zilikuwa zimepotea, na kilichobakia ni maumbo ya nje tu ya ibada na mila za dini.
Habari ID: 3480914    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/08

IQNA – Toleo la tatu la mpango wa majira ya joto wa Qur'ani wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limeanza kutekelezwa Jumapili.
Habari ID: 3480774    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/01

IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.  
Habari ID: 3480712    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/20

IQNA – Qur'ani Tukufu inashughulikia kwa ukamilifu ukuaji na maendeleo ya binadamu, amesema afisa wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar. 
Habari ID: 3480605    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/28

IQNA – Washindi wa mashindano ya kimataifa ya kukumbuka Qur’ani kwa wanafunzi wa kigeni wa Al-Azhar wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika nchini Misri mwishoni mwa wiki. Shirika la Kimataifa la Wahitimu wa Al-Azhar lilipanga sherehe hiyo kwa kushirikiana na Taasisi ya Hisani ya Abu Al-Ainain.
Habari ID: 3480582    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/22

IQNA – Naibu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ametaja kurejesha heshima ya mwanadamu kuwa ndilo lengo kuu la Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3480571    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/20

IQNA- Kikao cha kumi na nne cha kila wiki cha Tafsiri ya Qur'anI katika Msikiti wa Al-Azhar nchini Misri kitafanyika kwa mada "Msikiti wa Al-Aqsa katika Quran".
Habari ID: 3480536    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri. 
Habari ID: 3480503    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06

IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, imamu mkuu wa Al-Azhar ya Misri, amesisitiza haja ya kuunda hifadhidata za kurekodi uhalifu dhidi ya Waislamu na Uislamu (Islamophobia). 
Habari ID: 3480394    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18

IQNA – Naibu mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ametangaza utayarishaji wa qiraa ya Tarteel ya Qur’ani na wanafunzi 20 wa chuo hicho.
Habari ID: 3480349    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/11

IQNA - Imamu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb amesafiri kwenda Bahrain kushiriki mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Kiislamu.
Habari ID: 3480243    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/20

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kitawasilisha machapisho yake mapya katika toleo la 56 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo.
Habari ID: 3480058    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15

IQNA - Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Misri kimetangaza shindano la kuhifadhi Qur’ani miongoni mwa wanafunzi wake katika vitivo vya chuo hicho jijini Cairo na maeneo mengine ya nchi hiyo.
Habari ID: 3480006    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/05

Jinai za Israel
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha A-Azhar cha Misri kimebainisha matumaini kwamba mwaka wa 2025 utakuwa mwaka wa ushindi na amani kwa Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479990    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01

Muongozo
IQNA – Sheikh Abduh Al-Azhari, mwanazuoni kutoka Chuo Kikuu cha Al-Azhar nchini Misri, ameonyesha wasiwasi juu ya uwepo wa matoleo yaliyopotoka ya Qur'ani yanayopatikana kwenye mtandao au intaneti.
Habari ID: 3479978    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/31

Jinai
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani shambulio la kigaidi lililoua watu wawili na kujeruhi makumi kadhaa huko Magdeburg nchini Ujerumani.
Habari ID: 3479933    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21

Diplomasia
IQNA – Shekhe mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amepongeza misimamo ya Estonia dhidi ya utawala wa Israel.
Habari ID: 3479719    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08

IQNA - Imamu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesikitishwa na ukosefu wa juhudi za kufikia amani duniani.
Habari ID: 3479699    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/04

Qurni Tukufu
IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri alisema Qur'ani Tukufu ina miujiza mingi ya kisayansi ambayo imewashangaza wanasayansi katika nyanja tofauti.
Habari ID: 3479601    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/16

IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani ukatili wa Israel huko Lebanon na Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479499    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/27