TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Muungano wa Wasomaji na Waliohifadhi Qur'ani nchini Indonesia amesema hivi sasa kuna vituo 23,000 vya kufunza Qur'ani katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3472003 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiimaini Marekani hata kidogo na uzoefu mchungu wa mazungumzo yaliyotangulia na Marekani katika fremu ya JCPOA kamwe hautarudiwa tena kwani hakuna taifa lolote huru na lenye akili litakubali kufanya mazungumzo chini ya mashinikizo."
Habari ID: 3472000 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiingozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu suala la Palestina na njama za uhaini za Marekani kupitia mpango wake wa 'Muamala wa Karne' ni kadhia ya kwanza kwa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471987 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesem siri ya kuendelea kubakia hai na kuwa na mvuto fikra za Imam Khomeini MA, inatokana na sifa maalumu ya shakhsia na tunu aliyopewa na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471986 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05
TEHRAN (IQNA) – Mamillioni ya wananchi wa Iran walioshiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambapo wametangaza azma yao ya kuendelea kuunga mkono ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3471978 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/31
Bi. Marziyah Hashemi
TEHRAN (IQNA) – Mmarekani-Mu iran i mwenye asili ya Afrika, Bi. Marzieh Hashemi anasema msingi wa Tauhidi (kumpwekesha Mwenyezi Mungu) ni nukta ambayo ilimvutia katika Uislamu na kumfanya asilimu.
Habari ID: 3471967 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/21
Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC), amesisitiza kwamba maadui wamefikia mwisho wa njia na kwamba licha ya haiba yao ya kidhahiri lakini mifupa yao imeoza kwa ndani.
Habari ID: 3471961 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/17
TEHRAN (IQNA)- Mkurugenzi wa Kitengo cha Kimataifa cha Maonyesho ya 27 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran amesema kushirikiana na taasisi za kimataifa za Qur'ani ni moja kati ya malengo muhimu ya maonyesho ya mwaka huu.
Habari ID: 3471959 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/16
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran ya Kiislamu wameandamana nchi nzima baada ya Sala ya Ijumaa kuunga mkono hatua zilizochukuliwa na serikali ya Iran kusimamisha utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).
Habari ID: 3471950 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha majukumu ya Hawza (vyuo vikuu vya kidini) na maulamaa katika kubainisha maarifa ya Uislamu na kufanya juhudi kwa ajili ya kufikiwa hilo katika jamii na kusisitiza kwamba, maulamaa wakiwa warithi wa Manabii wanapaswa kufanya hima kubwa ili tawhidi na uadilifu vipatikane kivitendo katika jamii.
Habari ID: 3471949 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/09
TEHRAN (IQNA) -Iran imesimamisha kwa muda utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kuhusu mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA), ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo muhimu ya kimataifa.
Habari ID: 3471946 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/08
TEHRAN (IQNA)- Hatua ya serikali ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA imekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanunuzi wa mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la kimataifa na pia kutoka kwa wakuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC).
Habari ID: 3471940 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/04
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema leo Jumatano wakati huu wa kukaribia maadhimisho ya Siku ya Mwalimu nchini Iran kwamba kama taifa litashikamana na kuwa kitu kimoja, basi njama zote za adui zitamrudia mwenyewe.
Habari ID: 3471938 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/02
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran Jamhuri ya Kiislamu amesema nchi hii katu haitasitisha uuzaji wa mafuta ghafi yake ya petroli katika soko la kimataifa pamoja na kuwepo mashinikizo na vikwazo vipya vya Marekani.
Habari ID: 3471936 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/30
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kundi lenye misimamo mikali la Timu B linamchochea Rais Donald Trump wa Marekani aanzishe vita dhidi ya Iran.
Habari ID: 3471932 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/29
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) -Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, ulimwengu wa Kiislamu leo unakabiliwa na tatizo la misimamo mikali na utakfiri.
Habari ID: 3471931 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/28
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uhusiano wa mataifa mawili ya Iran na Pakistan ni wa moyoni uliokita mizizi vyema na kusisitiza kuwa, uhusiano huo unapaswa kuimarishwa kadiri inavyowezekana hata kama maadui wa mataifa haya mawili watachukizwa na hilo
Habari ID: 3471924 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Tatu ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran maalumu kwa ajili ya wanawake yamemalizika Ijumaa mjini Tehran.
Habari ID: 3471914 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/13
TEHRAN (IQNA)- Harakazi za mapambano ya Kiislamu Iraq ambazo zimekuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi zimelaani vikali, hatua ya uhasama ya mtawala wa Marekani Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran katika orodha ya makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3471910 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/11
TEHRAN (IQNA)- Fainali za Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeanza rasmi Jumatano alasiri katika halfa iliyofanyika mjini Tehran.
Habari ID: 3471909 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/10