IQNA

Mkutano Wajadili Mikakati ya Kuendeleza Mradi wa Kuhifadhi Qur’ani nchini Iraq

14:47 - May 05, 2026
Habari ID: 3482204
IQNA – Jopo la Kisayansi la Qur’ani Tukufu limefanya mkutano uliowakutanisha walimu wa mradi wa hifdhi ya Qur’ani wa jopo hilo kwa ajili ya kuchunguza mbinu na mikakati ya kuuboresha mradi huo mjini Baghdad, Iraq.
 

3497338

Kishikizo: iraq qurani tukufu
captcha