IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa rasmi mwishoni mwa kikao chake cha mjini Jeddah, Saudi Arabia na kulaani kwa nguvu zote njama za Marekani na Israel za kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3480334 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/09
IQNA – Wakati ulimwengu wa Kiislamu ukikaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani, Katibu Mkuu wa Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Hissein Brahim Taha, amemuomba Mwenyezi Mungu aujali mwezi huu uwe "hatua muhimu” katika ukombozi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3480284 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/01
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, akiwapongeza wapiganaji wa Muqawama kwa ushindi wao katika Ukanda wa Gaza, amesisitiza kwamba kazi kubwa ya viongozi na wapiganaji wa Muqawama wa Palestina ipo katika "umoja na mshikamano" na "kusimama imara" dhidi ya adui, kuendesha mchakato mgumu wa mazungumzo, pamoja na uvumilivu na ustahimilivu wa wananchi, ambavyo vimeinua heshima ya Muqawama katika eneo.
Habari ID: 3480233 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naeem Qassim, amesema katika hotuba aliyotoa kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuwaenzi makamanda waliouawa shahidi kwamba: Haj Imad Mughniyah alikuwa shakhsia wa kiusalama na kijeshi na mbunifu ambaye aliwaongoza Mujahidina kwa msingi wa moyo wa imani.
Habari ID: 3480230 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/17
IQNA – Mchambuzi wa kisiasa wa Iraq alisema vita vya Gaza vilikuwa sehemu ya njama ya Marekani-Uzayuni za kuangamiza harakati za Muqawama au mapambano ya Kiislamu katika eneo la Asia Magharibi. Akizungumza katika mahojiano na IQNA kuhusu hali ya Gaza na usitishaji mapigano kati ya Hamas na utawala wa Israel, Sannan al-Saadi amesema Rais wa Marekani Donald Trump sasa anatafuta kukamilisha mradi huu.
Habari ID: 3480225 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/16
Kadhia ya Palestina
IQNA-Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamejitokeza katika kona zote za nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kushiriki maandamano ya kuunga mkono kadhia ya Palestina na kupinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Gaza.
Habari ID: 3480221 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/15
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa Wapalestina, Waarabu, Waislamu na watu huru kote duniani kushiriki katika harakati ya kimataifa siku za Ijumaa, Jumamosi na Jumapili, ili kupinga mipango ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuwaondoa Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kulikalia kwa mabavu eneo hilo.
Habari ID: 3480219 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/14
IQNA-Harakati ya Mpambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekariri upinzani wake dhidi ya matamshi yaliyotolewa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu suala la kuwahamusha makazi Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza kwa kisingizio cha kulijenga upya eneo hilo.
Habari ID: 3480213 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13
Jinai za Israel
IQNA – Mwaka jana ulikuwa mwaka wa vifo vingi zaidi katika historia ya waandishi wa habari, ambapo vifo 124 viliripotiwa, ambapo utawala wa Israeli unahusika na asilimia 70 ya vifo hivyo. Hii ni kulingana na Tume ya Kulinda Waandishi wa Habari (CPJ).
Habari ID: 3480209 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13
Kadhia ya Palestina
Trump kupoteza dau lake kuhusu Gaza, asema mchambuzi
IQNA – Mchambuzi kutoka Tunisia anasema kwamba Rais wa Marekani Donald Trump atashindwa katika dau lake kuhusu Gaza kwani mpango wake wa kuwafurusha Wapalestina kutoka eneo lililozungukwa umepokelewa kwa upinzani mkubwa.
Habari ID: 3480202 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/12
IQNA - Safari ya leo ni katika mkutano na Rais wa Baraza la Utawala la Hamas, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ambapo aliheshimu mashahidi wa Gaza pamoja na makamanda wa mashahidi, hasa shahidi Isma'il Haniyyah, akizungumza na viongozi wa Hamas na kusema: 'Mmefanikiwa kuondoa serikali ya Wazayuni, na kwa kweli, kwa ridhaa ya Mwenyezi Mungu, Marekani haikuruhusu kutimiza malengo yao.
Habari ID: 3480183 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/09
Muqawama
IQNA - Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya utawala katili wa Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, yameanza kutekelezwa huku siku 471 za mauaji ya kimbari ya Israel yakipelekea zaidi ya Wapalestina 46,800 kuuawa huko Gaza.
Habari ID: 3480076 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19
Muqawama
IQNA – Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni umelazimika kusitisha mapigano na Harakati ya Kiislamu ya Ukombozi wa Palestina, Hamas, huko kwa sababu ya udhaifu na kukata tamaa. Hii ni moja ya heshima za mstari wa mbele wa upinzani, alisema Hujjatul-Islam Gholam Hossein Mohseni Ejei, akihutubia mkutano wa 13 wa "Gaza; Alama ya Muqawama" jijini Tehran.
Habari ID: 3480073 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/18
Kadhia ya Palestina
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kuwa, kulazimika utawala wa Kizayuni kukubali kusimamisha vita na kukomesha mauaji yake ya kimbari dhidi ya wananchi wa Ghaza, ni matunda ya Muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kusimama imara wananchi wa ukanda huo kwa zaidi ya miezi 15.
Habari ID: 3480062 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/16
Diplomasia ya Muqawama
IQNA – Msimamo wa Yemen katika mhimili wa muqawama unatokana na msingi wa Imani, Qur'an Tukufu na mwongozo wa Mwenyezi Mungu, amesema balozi wa nchi hiyo nchini Iran.
Habari ID: 3480032 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ametoa heshima kwa kamanda mkuu wa zamani wa kupambana na ugaidi wa Iran, shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, akisema alikuwa na nafasi ya kipekee katika kuwaunga mkono watu wa Palestina na muqawama wao.
Habari ID: 3479997 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03
Muqawama
IQNA – Katika ulimwengu wa Kiarabu, ni Yemen pekee ambayo imesimama thabiti dhidi ya utawala wa Kizayuni na kwa mshikamano na Gaza na Palestina.
Habari ID: 3479972 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Harakati za Ansarullah yaYemen amezungumzia uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kwamba kile kinachofanywa na adui wa Kizayuni ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3479962 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27
Jinai za Israel
IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imemwita balozi wa Vatican katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa ajili ya kusailiwa. Ni baada ya Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kukosoa vita na mauaji yanaytekelezwa na utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479957 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/26
Muqawa
IQNA-Zaidi ya walowezi haramu milioni moja wamekimbilia katika mahandaki huku wakiwa na hofu na wahka mkubwa baada ya kombora lililorushwa kutoka upande wa Yemen kutua katika eneo kubwa zaidi la mji wa Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandi la Israel.
Habari ID: 3479920 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/19