IQNA – Paul Pogba, nyota wa soka wa Ufaransa, ameonyesha mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, wanaokabiliwa na mauaj ya kimbari ya Israel, kwa kuposti picha ya mtoto wa Kipalestina akiwa miongoni mwa vifusi na uharibifu wa Gaza kwenye ukurasa wake rasmi wa Instagram.
Habari ID: 3482645 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/18
IQNA – Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ iliyoko katika mkoa wa Hama Bouziane, jimbo la Constantine nchini Algeria, imejitolea kwa miaka 24 kufundisha na kuwezesha kuhifadhi Qur’ani Tukufu. Taasisi hii imekuwa mwanga wa maarifa na malezi ya kiroho, ikitoa mafunzo kwa mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike.
Habari ID: 3482627 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/15
IQNA – Harakati ya Muqawama wa Palestina ya Hamas imepongeza kauli ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa kusitishwa kwa vita katika ukanda wa Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3482623 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/14
IQNA – Katika tukio la kusikitisha na la kihistoria, miili ya mashahidi 112 imezikwa katika mazishi makubwa zaidi ya halaiki kuwahi kushuhudiwa katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3482590 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/05
IQNA-Katika mwendelezo wa kuonyesha ustahimilivu na ari ya kiimani katikati ya mapambano, wanafunzi 110 wa kike wenye kuhifadhi Qur’ani huko Gaza wamefanikiwa kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima katika kikao kimoja cha Khatm al-Qur’an.
Habari ID: 3482585 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/04
IQNA – Wanaharakati kwenye mitandao ya kijamii wamesambaza video yenye kugusa moyo ya msichana mwenye umri wa miaka 12 kutoka Gaza, ambaye kuhifadhi Qur’ani Tukufu kumekuwa kimbilio kwake.
Habari ID: 3482567 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
QNA – Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekaribisha kupitishwa kwa sheria nchini Ireland inayopiga marufuku uingizaji wa bidhaa kutoka vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina. Wizara hiyo imetoa wito kwa mataifa na mabunge yote duniani kuchukua hatua kama hiyo dhidi ya utawala unaokalia ardhi kwa mabavu.
Habari ID: 3482549 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/28
IQNA – Mji mtukufu wa Karbala nchini Iraq unaandaa Kongamano la 5 la Kimataifa la Nidaa al-Aqsa (Wito wa Al-Aqsa).
Habari ID: 3482540 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/26
IQNA – Hafla maalumu imeandaliwa kwa ajili ya kuwatunuku zawadi na kuwaenzi vijana 600 waliohifadhi Qur’ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3482530 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/24
IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amemtaja Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuwa ni mhalifu wa kivita, na kuitaka serikali ya Marekani kutekeleza hati ya kukamatwa kwake iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iwapo atatia mguu katika ardhi ya Marekani.
Habari ID: 3482524 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/22
IQNA – Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour kilichopo kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kinaendelea na shughuli zake za kutoa elimu ya Kiislamu licha ya changamoto chungu nzima zinazotokana na vita vya kikatili.
Habari ID: 3482476 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/12
IQNA – Katikati ya maangamizi yaliyosababishwa na vita vya mauaji ya kimbari vilivyotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza, Shule ya Qur'ani ya Noor iliyopo Khan Yunis inaendelea kujitahidi kufungua dirisha jipya la maisha.
Habari ID: 3482283 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/25
IQNA – Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wameilaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
Habari ID: 3482268 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22
IQNA – Katika programu iliyofanyika Gaza, watoto 65 walioshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Nuur” walisoma sehemu za Qur’ani Tukufu mbele ya walimu wao, kisha wakatunukiwa na kupongezwa na viongozi pamoja na wazazi wao.
Habari ID: 3482263 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/20
IQNA – Mufti Mkuu wa Oman ametoa wito kwa Waislamu kusimama kwa umoja katika kukabiliana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Kiislamu.
Habari ID: 3482224 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/10
IQNA – Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel vimegeuza mitaa mizima ya mji wa Gaza kuwa magofu ya simenti na vyuma vilivyopinda.
Habari ID: 3482219 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/09
IQNA – Utawala wa Israel unakabiliwa na ukosoaji wa pamoja usio wa kawaida kutoka Hispania na Brazil baada ya jeshi lake la wanamaji kuwakamata raia wawili wa nchi hizo kutoka katika meli iliyokuwa ikielekea Gaza katika maji ya kimataifa, kitendo ambacho serikali zote mbili zimesema ni kinyume cha wazi cha sheria za kimataifa.
Habari ID: 3482192 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/02
IQNA – Waandaaji wa msafara mkubwa wa kibinadamu wa meli unaoelekea Gaza wamesema kuwa vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimejaribu kuuzuia msafara huo, kwa kuzuia baadhi ya meli katika maji ya kimataifa kwa kutumia ndege zisizo na rubani (drones), kuvuruga mawasiliano na askari waliopanda meli kwa nguvu.
Habari ID: 3482184 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30
IQNA – Kwa zaidi ya miaka 50, Chama cha Leba kimekuwa kikichukulia Newham, Uingereza kama ngome yake salama ya kisiasa.
Habari ID: 3482170 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/27
IQNA – Kwa karne nyingi, Msikiti Mkuu wa Omari umesimama kama mlinzi kimya wa historia ya kielimu ya Gaza, hukoo Palestina huku maktaba yake ikihifadhi maandiko ya kale yaliyoandika simulizi za kupanda na kushuka kwa ustaarabu mbalimbali.
Habari ID: 3481992 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/25