gaza

IQNA

IQNA- Utawala haramu wa Israel unaendelea kulaaniwa vikali  baada ya kushambulia kikatili sherehe ya harusi Gaza huku shirika mashuhuri la haki za kiraia za Waislamu nchini Marekani likitaka jumuiya ya kimataifa kuingilia kati.
Habari ID: 3481694    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/21

IQNA – Shule mpya ya Qur’ani imefunguliwa mjini Gaza kwa mchango wa kampeni ya wananchi wa Iran inayojulikana kama “Iran Hamdel” kwa ushirikiano na Taasisi ya Ahl al‑Quran ya Gaza.
Habari ID: 3481675    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/17

IQNA – Watoto arobaini na wanne wa mashahidi ambao wamehifadhi Qur’ani Tukufu wameheshimiwa katika hafla maalumu huko Gaza.
Habari ID: 3481661    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15

IQNA – Mkuu wa Shirika la Utan gaza ji la Umma nchini Uhispania (RTVE), José Pablo López, amemkemea Mkurugenzi wa Mashindano ya Muziki ya Eurovision kwa barua yake ya wazi kwa mashabiki ambayo haikutaja Gaza wala utawala wa Israel, akisema hatua hiyo ni “kushindwa” wakati mashindano hayo yanapitia mgogoro mkubwa wa kiheshima.
Habari ID: 3481653    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/13

IQNA – Licha ya vizuizi vya utawala katili wa Israel na ukosefu wa vifaa, Wapalestina Gaza bado wana hamu ya kujifunza na kuhifadhi Qur’ani Tukufu, na wanashiriki katika vikao vya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3481641    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/10

IQNA-Watu wa Gaza wametangazwa washindi wa Tuzo ya Shakhsia Bora wa Kiislamu Duniani kwa Mwaka, kutambua uthabiti wao katikati ya vita vya kikatili vya Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3481588    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/29

IQNA – Katika Siku ya Watoto Duniani, inayokumbusha kupitishwa kwa Mkataba wa Haki za Mtoto mnamo Novemba 20, 1989, watetezi wa Palestina na baadhi ya mashirika ya haki za binadamu wamelaani vikali utawala katili wa Israel kwa kuwalenga watoto wa Gaza kwa makusudi na kwa mfumo wa kikatili.
Habari ID: 3481551    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/21

IQNA – Katika kura ya maamuzi yenye uzito, Shirikisho la Soka la Ireland (FAI) limeunga mkono azimio linaloitaka UEFA kuifukuza Israel kutoka kwenye mashindano ya kimataifa na ya vilabu barani Ulaya.
Habari ID: 3481491    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/09

IQNA – Kuzungumzia suala la “ Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama” si chochote ila ni ndoto ya kufikirika, kwani maana yake ni kuwavua watu utashi wao na utambulisho wao, amesema mchambuzi wa kisiasa wa Kipalestina.
Habari ID: 3481446    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/01

IQNA-Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetan gaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481361    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/13

IQNA-Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesema ndege isiyo na rubani iliyorushwa kutoka Yemen imeshambulia mji wa kusini wa Eilat na kujeruhi watu 22 wakiwemo wawili ambao hali zao ni mahututi. Hayo yanajiri wakati jeshi la kizayuni likiwa lingali linaendeleza vita vyake vya kinyama na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3481288    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/26

IQNA – Katikati ya vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelea na mashambulizi yasiyokoma ya Israel dhidi ya Gaza, watoto wa Kipalestina waliopoteza makazi wanapata faraja kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu ndani ya kambi za wakimbizi.
Habari ID: 3481251    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/19

IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika Ukanda wa Gaza, ameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote.
Habari ID: 3481229    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/14

IQNA-Mbunge mmoja kutoka Uskochi nchini Uingereza amewasilisha hoja rasmi akitaka mashirika ya michezo barani Ulaya kuiondoa Israel katika mashindano ya kimataifa kutokana na mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.
Habari ID: 3481217    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12

IQNA – Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetaja baa la njaa linaloikumba Ukanda wa Gaza kuwa ni janga lililosababishwa na binadamu, ambalo linaweza kuzuilika na kurekebishwa endapo kutakuwepo na nia ya dhati ya kisiasa.
Habari ID: 3481208    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/09

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah, Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, amesisitiza kuwa watu wa Yemen wanaendelea kufuata mwenendo wa Mtume Muhammad (S.A.W) na mafundisho ya Qur’an Tukufu.
Habari ID: 3481183    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/04

IQNA-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo kali Alhamisi katika Makao Makuu ya Unmoja wa Mataifa jijini New York akilihimiza Baraza la Usalama na jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kuwalinda raia wa Gaza wanaokabiliwa na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3481151    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/29

IQNA – Msomi wa ngazi za juu wa Kiislamu Iran ametoa wito wa kufanya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu kuwa harakati kamili dhidi ya wapinzani wa Uislamu.
Habari ID: 3481143    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27

IQNA – Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa hatua ya pamoja kusaidia Gaza na Palestina.
Habari ID: 3481136    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/26

IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza vita huko Gaza na kuhimiza Denmark kutambua taifa la Palestina.
Habari ID: 3481135    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25