mazishi ya imam khamenei - Ukurasa 2

IQNA

IQNA – Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya Mazishi na Kuaga kwa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametangaza maelezo mapya kuhusu shughuli zilizopangwa kufanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482424   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/01

IQNA – Kufuatia kuanza kwa uratibu mpana kati ya taasisi za Iraq na Iran, Iraq inajitayarisha kuandaa misafara ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Seyed Ali Khamenei katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala.
Habari ID: 3482419   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/29