iran

IQNA

Rais wa Iran katika Mazungumzo ya Simu na Rais wa Ufaransa:
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amemwambia mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, kuwa Tehran iko tayari kuendelea kwa dhati kupitia njia za kidiplomasia ili kukomesha vita, huku ikisisitiza umuhimu wa kulindwa kwa haki za taifa la Iran.
Habari ID: 3482213    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07

IQNA – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitaka serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kusitisha kujipanga upande mmoja na kushirikiana na pande zinazoiwekea uadui Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 3482210    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/07

IQNA – Wakati mchakato wa kuwasafirisha waumini wa Iran kuelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ukiendelea kushika kasi, idadi kubwa ya visa za Hija kwa waumini hao tayari zimetolewa.
Habari ID: 3482208    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/06

IQNA – Afisa wa Hija kutoka Iran ametangaza kuwasili kwa zaidi ya waumini 6,500 wa Ki iran i mjini Madina kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hija kufikia mwisho wa usiku wa Ijumaa.
Habari ID: 3482196    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/03

IQNA – Msomaji mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Iraq amelaani vikali misimamo ya hivi karibuni ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al Afasi, inayounga mkono dhulma ya Wamarekani na Wazayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482190    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/02

IQNA – Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia (Urusi) amewasilisha ujumbe wa shukrani kutoka kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, kwa Mwenyekiti wa Baraza la Mufti wa Shirikisho la Russia.
Habari ID: 3482187    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01

IQNA – Mtaalamu wa Qur’ani Tukufu kutoka Lebanon amekosoa misimamo ya qari mmoja kutoka Kuwait akisema kuwa haina uhusiano na mafundisho ya Qur’ani.
Habari ID: 3482177    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/29

IQNA – Akikosoa kwa ukali misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid al‑Afasi, katika kuhalalisha mashambulizi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, msomaji wa Qur’ani kutoka Yemen ametoa wito wa kususiwa kwa al‑Afasi.
Habari ID: 3482173    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28

IQNA – Katika barua mpya aliyoandika kwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Leo wa Kumi na Nne, Mkuu wa Kitengo cha Masomo ya Kiislamu katika Akademia ya Sayansi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa shukrani kwa msimamo wake wa haki katika kukataa mienendo ya ukatili.
Habari ID: 3482172    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28

IQNA – Sheikh Osama Karbalayi, msomaji wa kimataifa wa Qur’ani kutoka Iraq, amesisitiza kuwa misimamo ya qari wa Kuwait, Mishary Rashid Al‑Afasi, katika kuhalalisha uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, inapingana na kiini cha mafundisho ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3482164    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/26

IQNA – Msafara wa kwanza wa Wa iran i wanaoshiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu umewasili Saudi Arabia.
Habari ID: 3482163    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25

IQNA – Msomaji mashuhuri wa Ibtihal kutoka Misri na jaji wa mashindano ya Qur’ani ametangaza kuwa atatayarisha kasida yenye maudhui ya Qur’ani ili kukabiliana na mashambulizi ya yaliyofanywa na qari mmoja kutoka Kuwait dhidi ya Iran na mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3482162    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/25

IQNA-Rais wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kusimama upande wa amani, utulivu na mahusiano ya kindugu katika eneo, akibainisha kwamba usalama wa eneo unapaswa kuhakikishwa na mataifa ya eneo hilo yenyewe.
Habari ID: 3482145    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/17

IQNA – Rais wa Marekani, Donald Trump, ameonyesha hasira dhidi ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kufuatia ukosoaji wake kuhusu vita vinavyoendeshwa na Marekani.
Habari ID: 3482139    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/13

IQNA – Kama ilivyo kwa baadhi ya mataifa mengine katika eneo la Asia Magharibi, wananchi wa Iraq wamejitokeza kusherehekea kile walichokitaja kuwa ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3482128    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa limetoa taarifa kuhusu ushindi wa kihistoria wa Iran katika vita vya tatu vilivyolazimishwa dhidi yake, pamoja na kukubaliwa kwa masharti ya Iran na upande wa adui.
Habari ID: 3482126    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/08

IQNA – Baadhi ya wanazuoni na maqari mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu wa Kiislamu katika siku za karibuni wametangaza msimamo wao wa kulaani vikali uvamizi ulioanzishwa na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3482123    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/07

IQNA – Qari wa Qur’ani Tukufu kutoka Kuwait ameunga  mkono shambulio vita haramu vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuibua hasira kubwa na ukosoaji kutoka kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3482115    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/03

IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.
Habari ID: 3482114    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/03

IQNA – Taasisi ya Qur’ani ya Yemen iitwayo “Noon” imeukosoa msimamo wa hivi karibuni wa Kituo cha Kiislamu cha Al‑Azhar cha Misri dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ikisema kuwa unakinzana na wito wa Qur’ani Tukufu wa kusimama upande was haki na uadilifu.
Habari ID: 3482100    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/28