IQNA

Janga la Minab Halitasahaulika Kamwe Nchini Iran

21:17 - March 08, 2026
Habari ID: 3482030
IQNA – Janga la kuuawa shahidi kwa wanafunzi 165 katika shambulio la kigaidi la Marekani na Israel, mnamo Feruari 28 2026, dhidi ya shule ya wasichana katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ni hasara kubwa ambayo taifa la Iran halitasahau kamwe.

Iran Never to Forget Minab Tragedy

Habari zinazohusiana
Kishikizo: imam khamenei shahidi
captcha